BONYEZA HAPA KUANGALIA MAJINA YOTE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA FORM 5 2015
Endapo utahitaji kuangaliziwa jina lako Fanya yafuatay...
Tuesday, 30 June 2015
Breaking news:HAYA HAPA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA 5 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BONYEZA HAPA KUANGALIA SELECTION KIDATO CHA TANO 2015 MAJINA YOTE YAPO HAPA...
PETR CECH ASAJILIWA ARSENAL KWA PAUNI 11
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Petr Cech akionyesha jezi ya Arsenal baada ya uhamisho wa pauni 11 na mshahara wake unatajwa kuwa ni pauni 100,000 kwa wik...
HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Basir Mramba (kulia), Gray Mgonja (kushoto) na Daniel Yona wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar....
DENTI KIDATO CHA KWANZA AFIA BWAWANI!
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
mwanaye, baba…
Na Kulwa Mwaibale MSIBA!
Mohamed Juma (14) ambaye alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Shule
ya Sekondari ya Toangoma wilayani Temeke, Dar amefia bwawani wakati
akiogele...
SOMA ZAIDI>>>>DENTI KIDATO...
Monday, 29 June 2015
RAIS NKURUNZIZA APIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais Pierre Nkurunziza akiwasili kwenye kituo cha kupiga kura kwa usafiri wa baiskel...
TID: NI KWELI NAVUTA BANGI!
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Funguka!
Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva,
Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya
bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya
‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa...
DIAMOND ATAITIWA AIRPORT DIAMOND KWA SAA MBILI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka...