...
Tuesday, 15 April 2014
TAZAMA AJALI HII ILIYOTOKEA LUGALO DAR
Lori la mchanga likiwa limeangukia gari dogo eneo la Lugalo, Makongo jijini Dar mapema leo.
Dereva wa gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100' akiwa amenasa katika gari lake baada ya kuangukiwa na lori.
AJALI hii imetokea leo asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla
eneo la Lugalo, Makongo ili...
TAZAMA MATUKIO YA NYUMBANI YA MZEE NGURUMO
Wawakilishi
wa Global Publishers, Sifael Paul (anayeandika kwenye daftari) na Elvan
Stambuli mwenye kizibao, wakiandika mchango wa Kampuni ambao ni
shilingi 500,000 kabla ya kuwakabidhi ndugu wa marehemu Muhidini Gurumo
leo jioni nyumbani kwa marehemu Makubuli, Dar, leo. Atazikwa kesho
Masaki,...
Monday, 14 April 2014
TAARIFA MUHIMU TOKA CCM TAWI LA UINGEREZA
CCM TAWI LA UINGEREZA - UNITED KINGDOM
Website ccmuk.org,Blog ccmuk.org/blog, Facebook page Chama Cha Mapinduzi Uingereza, twitter CCMUK1
Contacts Phone +44 74 04 863333, +44 7545 213515
E-mail - itikadi-uenezi@ccmuk.org
MAINA OWINO ANG'ATUKA UENYEKITI WA CCM TAWI LA UINGEREZA - UNITED...
Dk.Bilal,Waziri Magufuli wanusurika ajali ya chopa
Dk.Bilal,Waziri Magufuli wanusurika ajali ya chopa
Baadhi ya watu wakiangalia helikopta iliyokuwa
imembeba Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed
Gharib Bilal, muda mfupi baada ya ndege hiyo kuanguka eneo la Uwanja wa
Ndege Terminal One jijini Dar...
Thursday, 10 April 2014
JK: Gas, oil policy in place in October
President Jakaya Kikwete opens 19th Annual
Research Workshop organised by Research and Poverty Allevation (REPOA)
in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Tryphone Mweji)
President Jakaya Kikwete yesterday reassured
Tanzanians that the government will finalise the policy and legislation...
Bunge Maalum laanza kusikiliza taarifa za Kamati
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,
Samuel Sitta amesema mjadala kuhusu taarifa za Sura ya Kwanza na ya
Sita za Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
unatarajia kuanza...