Klabu ya madrid ikiwa chini ya kocha zidane imefanikiwa kuchukua ubingwa wa UEFA baada ya kuifunga klabu ya juventus goli 4-1.
HIYO HAPO SUMMARY YA MCHEZO,
Juventus 1 - 4 Real Madrid
FT
Champions...
Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC)
PUBLIC NOTICE
APPLICANTION FOR DIPLOMA AND CERTIFICATE IN HEALTH PROGRAMMES OFFERED BY GOVERNMENT HEALTH TRAINING INSTITUTIO...
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT),
limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha Sita kwa
mwaka 2017, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria mafunzo ya JKT
kwa Mujibu wa Sheri...
Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa
Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuachia madaraka kwa
kushindwa kusimamia suala la mchanga wa dhahabu unaosafirishwa kwenye
makonten...
Wanafunzi wa kidato cha sita waliohitimu mwaka huu May 2017 takribani
14,747 sawa na asilimia 23.2%, wamepangiwa katika vituo mbalimbali vya
Jeshi kati ya wahitimu 63,623, wanatakiwa kufika kambini kuanzia 25-30
May.
Taarifa imetolewa na Mkuu wa JKT
Akiongea na ITV amesema Orodha ya waliochaguliwa...
Habari zenu,
Maswayetu blog tunafanya usajili kwa wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali katika kozi za afya,kilimo etc mwaka wa masomo 2017/2018.
Pia tunatoa ushauri kabla ya kufanya application kulingana na matokeo yako uliyopata.
Gharama zetu ni nafuu sana.
Kama unataka ushauri unaweza ukauliza swali lako kwa kutuma na maksi zako ulizopata,kwa kutuma kwenda namba 0652740927
Karibuni...