Friday, 2 December 2016

Godbless Lema Anyimwa Dhamana Kwa Mara Nyingine Tena

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemnyima dhamana Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema. Mahakama hiyo imeeleza kuwa mawakili wamtuhumiwa huyo walipaswa kuonesha kusudio la kukata rufaa ndani ya siku10 kabla ya kukata rufaa. Hii ni mara ya tano mbunge huyo anakosa...
Share:

New AUDIO | Madada 6[Mkubwa na Wanawe] - Matobo | Download

...
Share:

Magazeti ya Leo Ijumaa tarehe 2.12.2016

...
Share:

HIZI HAPA KURASA ZA NDANI ZA MAGAZETI YA LEO IJUMAA DEC 2 2016

TANO BORA ZA MASWAYETU BLOG KWENYE HABARI ZA MICHEZO LEO.. ...
Share:

Thursday, 1 December 2016

Mganga auawa kwa kutaka kubaka mteja

MGANGA wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la Kashinje Kashinje (55), mkazi wa kijiji cha Singita kilichopo Kata ya Usanda wilayani hapa ameuawa kwa kupigwa na wananchi ikielezwa alijaribu kutaka kumbaka mteja wake. Mteja huyo ambaye ni mwanamke mwenye umri wa miaka 20 (jina linahifadhiwa)...
Share:

Jiji Arusha lasimamisha wafanyakazi 66

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji La Arusha, Athumani Kihamia ametangaza kusitisha mikataba ya wafanyakazi 66 kati ya 132 wasio na kazi za lazima katika halmashauri hiyo. Amewasimamisha kazi kwa lengo la kubana matumizi ili fedha zitakazookolewa zitaelekezwa kwenye matumizi ya miradi...
Share:

Scorpion’ akiri kupata mafunzo ya kareti Ifakara

MSHITAKIWA katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Salum Njwete (34) ‘Scorpion’, amekiri kupata mafunzo ya kareti kutoka chuo cha mafunzo cha Ifakara aliyoyafanya mwaka 1989 hadi 1995. Aidha, upande wa mashitaka katika kesi hiyo umemuongezea mashitaka ya shambulio kupitia kifungu namba...
Share:

Sheria ya kukata 15% za mkopo wa HESLB yasainiwa

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli tayari amekwishasaini mabadiliko ya sheria yanayomtaka mwajiri kukata asilimia 15 ya mshahara wa mwajiriwa ambaye ni mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu kwa ajili ya kulipa deni lake analodaiwa na Bodi ya Mikopo ...
Share:

Sababu za kuanguka ndege ya Brazil zatajwa

Visanduku vya mawasiliano ajali ya ndege ya Brazil vyapatikana Ndege iliyokuwa imewabeba wachezaji wa timu ya mpira kutoka nchini Brazil ambayo ilipata ajali nchini Colombia inasemekana kwa muujibu wa taarifa zilizovuja ndege hiyo iliishiwa mafuta kutoka katika kifaa cha kurekodia mawasiliano. Katika...
Share:

FA YAMTANGAZA GARETH SOUTHGATE KUWA KOCHA MKUU WA ENGLAND

...
Share:

Magazeti ya Leo Alhamisi december 1 2016

...
Share:

KURASA ZA NDANI MAGAZETI YA LEO ALHAMISI DECEMBER TAREHE 1.12.2016

TANO BORA ZA MASWAYETU BLOG KWENYE HABARI ZA MICHEZO LEO TANO BORA ZA MASWAYETU BLOG KWENYE KATUNI ZA LEO.. ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger