KUONA MAJI...
Wednesday, 2 November 2016
Serikali Yawatumbua Watumishi 1663 Kwa Kuzalisha Watumishi Hewa

Na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Dodoma
Watumishi
wa Umma 1,663 kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali,
Sekretarieti za Mikoa, na Mamlaka za Serikali za Mitaa wamechukuliwa
hatua za kinidhamu baada ya kubainika kusababisha watumishi hewa 19,629
hadi Oktoba 25, 2016.
Waziri
...
Tuesday, 1 November 2016
Third Selection:: Selected candidates to join Bachelor Degree Programmes at RUCU 2016/2017

1. Bachelor of Arts with Education
2. Bachelor of Accounting and Finance with Information Technology
3. Bachelor Business Administration
4. Bachelor of Science with Education (Mathematics & IT)
5. Bachelor of Science in Computer Science Information System
6....
HATIMAYE BODI YA MIKOPO YAWAPA MIKOPO WANAFUNZI WOTE WALIOKOSA MIKOPO MWAKA WA MASOMO 2016/17
Hatimaye bodi ya mikopo yawapa mikopo wanafunzi wote wenye uhiitaji na
majina yataaanza kutolewa jioni hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa
bodi ya mikopo alipokuwa akihojiwa na clouds radio f...
Mtihani wa Kidato cha Nne kuanza leo,NECTA Yatoa Onyo

Watahiniwa
408,442 wamesajiliwa na Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kufanya
Mtihani wa Kidato cha Nne unaotarajia kuanza leo hadi Novemba 18, mwaka
huu.
Akizungumzia
maandalizi ya mtihani huo, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde
alisema kati...
Polisi Kutoa Taarifa Ya Kifo Cha Mwanamasumbwi Thomas Mashali Siku Ya Jumatano
JESHI
la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kuwa wanaendelea na
upelelezi kufuatia kuuawa kwa mwanamasumbwi Thomas Mashali na watatoa
taarifa ya kifo hicho siku ya Jumatano.
Akizungumza
na waandshi wa habari jijini Dar es Salaam...
MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO CHUO KIKUU UDOM 2016/2017
Kama utahitaji kuangaliziwa jina lako kwa "usahihi" na "kasi ya ajabu" (ambapo utajibiwa ndani ya dk 1 tu) kama limepata mkopo tafadhali fanya yafuatayo;
1.TUMA EXAM NAMBA YAKO YA FORM 4 NA MWAKA ULIOMALIZA MFANO:S3409.0012.2013-HESLB KWENDA NAMBA 0652740927
2.HUDUMA...
Breaking news:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU TANZANIA IMETANGAZA RASMI KWA WANAFUNZI WOTE WALIOOMBA MKOPO KUANGALIA SASA MIKOPO WALIYOPANGIWA 2016/2017
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Inawatangazia waombaji wote wa mwaka wa masomo 2016/2017 ,kuangalia mikopo waliyopangiwa.
Kama utahitaji kuangaliziwa jina lako kwa "usahihi" na "kasi ya ajabu" (ambapo utajibiwa ndani ya dk 1 tu) kama limepata mkopo tafadhali fanya yafuatayo;
1.TUMA EXAM NAMBA...
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Yatoa Siku 90 Kwa Waliokosa Mikopo Kukata Rufaa

Bodi
ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90
kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka
wa masomo 2016/2017 kukata rufaa kwa njia ya mtandao ikiwa
hawajaridhsihwa na matokeo ya upangaji uliotangazwa hivi karibuni.
Serikali
...