...
Wednesday, 5 October 2016
MWAMUZI MECHI SIMBA,YANGA AFUNGIWA NA TFF MIAKA MIWILI,KADI NYEKUNDU YA MKUDE YAFUTWA
Dar Es Salaam,Tanzania.
MWAMUZI Martin Saanya aliyechezesha mechi ya watani wa
jadi, Simba na Yanga Oktoba 1, mwaka huu amefungiwa miaka miwili kwa
pamoja na Msaidizi wake, namba moja, Samuel Mpenzu.
Habari za ndani kutoka Bodi ya Ligi ya Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF),zimesema...
Tuesday, 4 October 2016
MPYA:TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA UDOM N WANAOENDELEA 2016
ALL STUDENTS ARE REQUIRED TO PAY TUITION FEES AND DIRECT COSTS FOR THE ACADEMIC YEAR 2016/2017 BY 28TH
OCTOBER 2016. STUDENTS WHO WILL FAIL TO COMPLY WITH THIS NOTICE WILL
NOT BE ALLOWED TO CONTINUE WITH THEIR STUDIES.PAYMENT MUST BE...
Aliyetoa taarifa za maiti kufufuka ikiwa mochwari ashikiliwa na Polisi

Jeshi
la polisi mkoa wa Singida, linamshikilia askari mgambo mwajiriwa
hospitali ya mkoa, MG 7822 Emmanuel Daghau (42) kwa tuhuma ya kutoa
taarifa za uongo juu ya maiti kufufuka ikiwa kwenye chumba cha
kuhifadhia...