Monday, 19 September 2016

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA WENYEVITI WA BODI MBALIMBALI LEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSiBP8qdDml6LNtti6-3bZx3_CjdEOpqG7xzlYyKNKO6P-oPo0k2LmE9syIdqQ9qZSezmb-gH2weDyLssAZSLxWhsdB5isd_w0y2uMXSBD674vhCEgAsAO6hNpiKrFO3TwonqQIdJmIHk/s1600/2016-09-19-PHOTO-00009873.jpg
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU TUMAINI UNIVERSITY(SHUCO)-MBEYA 2016/2017

List of Selected Students to join Degree Programmes 2016/2017 TUMA – SHUCo-Mbeya Centre


Share:

PICHA SHOW YA TIGO FIESTA 2016 ILIVYOTIKISA MOROGORO JANA USIKU


Share:

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA LUMUMBA

 Image result for RAIS MAGUFULI
Share:

WCB Waliingia Makubaliano Na Saida Karoli

saida-karoli
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU SAUT-STELLA MARIS(STEMUCO-MTWARA 2016/2017-FIRST BATCH

 

 

Yafuatayo ni majina ya wanafunzi waliochaguliwa digrii,diploma na cheti kwa wanafunzi walioomba stella maris mtwara 2016/2017.Majina yote yapo ktk PDF moja

Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU MUM 2016/2017-FIRST BATCH

Image result for www.mum.ac.tz
Share:

Official VIDEO | Diamond Platnumz Ft. Rayvanny Salome ( Traditional ) | Watch/Download


Share:

Aliyeng’atwa ulimi Wakati Akipigana Denda na Mwanamke Ahofia Kuachwa na Mchumba Wake

Kijana Saidi Mnyambi (26) anayedaiwa kung’atwa 1/3 ya ulimi wake wakati wakinyonyana ulimi na mwanamke mmoja, ameingiwa na hofu kuwa mchumba wake anaweza kumwacha kutokana na kitendo hicho.
Kijana huyo mkazi wa Unyankhae, Manispaa ya Singida, aliyasema hayo juzi hospitalini alikolazwa .
Alisema hofu aliyonayo inachangiwa kwa kiasi kikubwa na tukio hilo kuwa gumzo kubwa ndani na nje ya Singida. 

“Kabla ya tukio hilo, uchumba wangu ulikuwa unaendelea vizuri na mambo yalikuwa yanaelekea kwenye kufunga ndoa lakini sasa nina hofu mwenzangu anaweza akapotoshwa na mambo yakaharibika. Nikitoka hospitalini nitalifuatilia jambo hili kwa ukaribu zaidi ili kuweka mambo sawa,” alisema Mnyambi. 
Kuhusu matibabu, Mnyambi alisema anaendelea vizuri na kwamba sasa anaongea vizuri kama binadamu wengine na maumivu yamepungua. 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Peter Kakamba alisema wanamshikilia mwanamke huyo (jina hajalitaja) aliyemng’ata ulimi Saidi na wanaendelea na upelelezi kabla sheria hazijachukua mkondo. 

Alisema mkuu wa upelelezi makosa ya jinai Mkoa wa Singida anakamilisha uchunguzi lakini akabainisha kuwa taarifa zilizoenea awali kuhusu tukio hilo ni tofauti na hali halisi. 
“Baada ya kumpata mwanamke anayetuhumiwa kumng’ata ulimi Mnyambi, zimepatikana taarifa mpya. Waandishi kuweni na subira tutawapatia taarifa zenye mashiko wakati wowote kuanzia sasa,” alisema Kakamba.
Share:

ACT-Wazalendo Wambipu Magufuli,Watangaza kufanya kongamano la kidemokrasia Septemba, 24

Share:

HIZI HAPA KURASA ZA NDANI MAGAZETI YA LEO JUMATATU SEP 19 2016

Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHGULIWA CHUO KIKUU MUM DIGRII- 2016/2017

  Image result for www.mum.ac.tz
MAJINA YA AWALI YA WALIOOMBA MUM, AMBAO WANASUBIRI UTHIBITISHO WA TCU
Majina yafuatayo ni wanafunzi walioomba kujiunga na MUM awamu ya kwanza na kuthibitishwa na chuo. Kutokana na kanuni; majina haya yanasubiri kuthibitishwa na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU); kwa sababu hizo chuo hakitatoa barua za maelekezo ya kujiunga na chuo hadi pale TCU watakapowathibitisha.
Hata hivyo, kila mwanafunzi mwenye taarifa kamili na sahihi kama alivyotutumia na kama zilivyo hapa hakuna shaka kuhusu kuchaguliwa kwake!!!
Kama umetuma maombi na jina lako halipo hapa tafadhali tupigie simu mapema kuanzia tarehe 19/09/16 hadi 26/09/16! Zingatia kuwa hii ni awamu ya kwanza na tutaendelea kutoa awamu nyingine!
HONGERENI!
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU SEPTEMBER TAREHE 19.9.2016

Share:

Sunday, 18 September 2016

Aliyekuwa mwandishi wa habari wa gazeti UHURU IRINGA Bw. Frank Kibiki amefariki jioni ya leo jijini Dar Es Salaam

Aliyekuwa mwandishi wa habari wa gazeti UHURU IRINGA Bw. Frank Kibiki amefariki jioni ya leo jijini Dar Es Salaam

ALIYEKUWA mwaandishi wa habari wa gazeti linalomilikiwa na Chama Cha Mapindizi (CCM), UHURU, Bw. Frank Kibiki amefariki jioni ya leo jijini Dar Es Salaam mara baada ya kuugua ghafla. Taarifa za awali zinasema kuwa marehemu alikuwa akiugua ugonjwa wa malaria kwa zaidi ya siku tatu na alikuwa akipata matibabu jijini Dar Es Salaam.

Marehemu Kibiki pia alishiriki ktk kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania nafasi ya kuwakilisha jimbo la Iringa mjini ktk nafasi ya ubunge. Taarifa zaidi endelea kuperuzi tovuti hii  au fatilia taarifa zetu za habari.
Share:

LIST OF STUDENTS SELECTED BY NACTE TO JOIN TUMA FOR ACADEMIC YEAR 2016/2017

TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA
LIST OF STUDENTS ADMITTED BY NACTE TO JOIN TUMA FOR ACADEMIC YEAR 2016/2017
Share:

Diamond Platnumz Ft Raymond [Rayvanny] – Salome (Traditional) | Mp3 Download

Share:

Download Ngoma Mpya ya Diamond Ft. Raymond - Salome #BrandNew

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger