Tuesday, 13 September 2016

Magazeti ya Leo Jumanne september tarehe 13.9.2016



Share:

Monday, 12 September 2016

MPYA:TAARIFA KWA UMMA KUTOKA NACTE KUHUSU MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHETI NA DIPLOMA VYUO VYA AFYA,KILIMO,MIFUGO,UALIMU NK 2016/2017

 


TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA PILI KATIKA KOZI ZA CHETI NA DIPLOMA KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017



Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi mbali mbali za cheti na diploma na Umma kwa ujumla kuwa uhakiki wa uteuzi wa awamu ya pili kwa waombaji wa cheti na diploma umekamilika na kwamba uteuzi huu sasa unaonekana kwenye kurasa binafsi (profile) za waombaji. Hii ina maana kuwa waliochaguliwa sasa wanaweza kuona mahali walipochaguliwa kupitia kurasa zao binafsi.

Hata hivyo, Baraza linaomba radhi kwa kuwa uhakiki wa uteuzi kwa baadhi ya vyuo haujakamilika hivyo Baraza litashindwa kuwaonyesha waombaji wa vyuo hivyo uteuzi wao. Vyuo hivyo ni pamoja na vyuo vya kilimo na uvuvi na baadhi ya vyuo vikuu.
Baraza pia linapenda kuwaarifu waombaji waliofanya maombi kwenye vyuo vya Ualimu vya Serikali kuwa uteuzi kwenye vyuo hivyo bado unasubiri mwongozo wa Serikali na hivyo watafahamishwa mara Baraza litakapopata mwongozo kutoka Wizara yenye dhamana ya Elimu juu ya uchaguzi huo.
Imetolewa na
Ofisi ya Katibu Mtendaji
NACTE
Tarehe: 10 Septemba, 2016
Share:

EID MUBARAK

Image result for eid mubarak 2016
Timu nzima ya MASWAYETU BLOG inawatakiwa 
 
Wadau wake wote popote pale mlipo, sikukuu 
 
njema 
 
 ya Idd el Hajj na tuisherehekee kwa amani na 
 
mapenzi tele kama ilivyolekezwa katika vitabu 
 
vitukufu vya Dini.

IDD MUBARAK
 
MASWAYETU BLOG TEAM!
Share:

Bweni la wasichana lateketea Manyoni


Manyoni. Bweni la Wasichana la Shule ya Sekondari Mwanzi wilayani Manyoni, Mkoa wa Singida, limeteketea kwa moto na kusababisha hasara ya zaidi ya Sh50 milioni huku wanafunzi 42 wakinusurika.
Hilo ni bweni la shule pekee wilayani Manyoni yenye kidato cha tano na sita.
Akizungumza muda mfupi baada ya kukagua bweni hilo, Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mathew Mtigumwe ameagiza timu maalumu iundwe kubaini chanzo cha moto huo.
“Pamoja na uchunguzi wa awali kuonyesha uwezekano wa moto huo kusababishwa na hitilafu ya umeme, tusibweteke, lazima uchunguzi wa kina ufanyike ili kubaini chanzo cha moto huu,” amesema Mtigungwe.
Pia, amesema kama kuna watu wamehusika, wakamatwe na kufikishwa mbele vyombo vya sheria.
Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Geofrey Mwambe amesema mali mbalimbali za wanafunzi zenye thamani ya zaidi ya Sh25 milioni zimeteketea, huku hasara ya Sh24.3 milioni ikipatikana kutokana na jengo hilo kuharibika.
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU SAUT SONGEA(AJUCO) 2016/2017

 Image result for ajuco songea

ARTS EDUCATION

1.KALAMBO EKLAND E M BAED
2 JACKSON MISAGO M BAED
3 SAMWEL MARCO M BAED
4 MRISHO HUSSEIN J M BAED
5 WAWA MWAJUMA MOHAMED F BAED
6 LUBAPULA TIHO LUMANIJA M BAED
7 NGAILO ROMANUS EMELAM M BAED
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU SEPTEMBER TAREHE 12.9.2016

Add caption

Share:

Sunday, 11 September 2016

NEWZ ALERT:RAIS DKT MAGUFULI AHIRISHA ZIARA YAKE YA ZAMBIA


Share:

MPYA:PADRI WA KANISA KATOLIKI ATANDIKA VIBOKO WASABATO WANNE HUKO MOSHI LEO

 Image result for kanisa katoliki
Habari yako,

Padri wa kanisa katoliki ,awatandika viboko waumini wa kanisa la kisabato waliokuwa wameenda kusali..

Maswayetu blog imepata AUDIO ya padri huyo akiwa kanisani na tumemaua kukuwekea hapa,


                                           << DOWNLOAD HAPA>>



Share:

New AUDIO | Mistari Ft. Fid Q - Kama Ngosha | Download

Share:

MPYA:TAARIFA YA MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE MANOSOMEA EDUCATION CHUO KIKUU MUM

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger