Thursday, 1 September 2016

KIDATO CHA SITA KWA MUJIBU WAFUNGA MAFUNZO-DC KASULU AFUNGA MAFUNZO YA OPERESHENI MAGUFULI (JKT) KAMBI YA 825 KJ KIGOMA

Mkuu wa Wilaya ya kasulu Kanali Martin Mkisi akikagua paredi ya vijana 1140 wa operesheni Magufuli kwa mujibu wa sheria katika kikosi cha 825 KJ kilichopo Mtabila katika Wilaya ya Kasulu, Mkoani Kigoma. Na Abel Daud, Globu ya Jamii, Kigoma Mkuu wa Wilaya ya kasulu Kanali Martin Mkisi...
Share:

New AUDIO | Jux x Vanessa - Juu[Snippet] | Download

...
Share:

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA NACTE :TAHADHARI KWA WAKUU WA VYUO, WADAU NA UMMA KWA UJUMLA

  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linatoa tahadhari kwa Wamiliki na Wakuu wote wa Vyuo vya Elimu ya Ufundi nchini kuwa kumeibuka matapeli wanaowaomba fedha au rushwa wakuu wa vyuo hasa vilivyopewa notisi na Baraza ya kushushwa hadhi...
Share:

Rais Magufuli Afungua Mkutano Mkuu Wa Wahandisi, Atembelea Kikosi Cha Anga Majumba Sita Ukonga

Na Sheila Simba-MAELEZO Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli amewataka wahandisi nchini kufanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa kati kupitia ujezi na uendelezaji viwanda.Amesema hayo leo jijini Dar es salaam katika...
Share:

SHINYANGA WAMESHUHUDIA KUPATWA KWA JUA,HALI YA HEWA IMEBADILIKA IMEKUWA YA KUVUTIA

Hii ndivyo ilivyo hali ya shinyanga mjini kwa sasa...
Share:

Kutoka Rujewa/mbarali Katika Kupatwa kwa Jua

LEO Septemba Mosi, watalii na wanaanga kutoka mataifa mbalimbali duniani wakiwemo wanafunzi wa shule wameungana kushuhudia tukio kubwa na la kihistoria la kupatwa kwa jua katika Kata ya Rujewa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya. Ikumbukwe kuwa tukio kama hilo la kupatwa kwa jua lilitokea...
Share:

Madalali wa NHC wavamia ofisi ya gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Freeman Mbowe na Kuanza Kutoa Vitu Nje

Madalali wa NHC wamefika katika ofisi za gazeti la  Tanzania Daima asubuhi hii na kuanza kutoa vifaa ofisini kutokana na deni la pango la mmiliki wa gazeti hilo, Freeman Mbowe. Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima, Neville Meena amesema wako kwenye msukusuko mkubwa lakini...
Share:

Rais Magufuli apongezwa kwa kupambana na rushwa na kujenga mazingira bora zaidi kwa uwekezaji nchini

Mwenyekiti wa Taasisi inayoshughulikia masuala ya Afrika (Africa Matters Limited) Mhe. (Baroness) Lynda Chalker wa Wallasey - Uingereza, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa juhudi kubwa alizozifanya kupiga vita rushwa na kujenga...
Share:

Waziri Mwinyi: Mipaka ya Tanzania iko Salama.

Na: Lilian Lundo- Maelezo Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia watanzania kwamba mipaka ya Tanzania ni salama. Mhe. Dkt. Mwinyi ameyasema hayo katika kipindi cha Tunatekeleza kinachorushwa na Televisheni ya Taifa (TBC)...
Share:

Kamati ya Bunge yaibana Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi

Wabunge wameibana Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB) kwa kuongeza posho na kufikia jumla ya Sh1 bilioni katika kipindi kifupi kiasi ambacho hakilingani na kazi wanayoifanya.  Kwa kipindi kirefu, bodi hiyo imekuwa ikitupiwa lawama kwa kuchelewesha...
Share:

magazeti ya leo alhamisi september tarehe 1.9.2016

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger