Thursday, 2 June 2016

MPYA:HAYA HAPA MATOKEO YA WANAFUNZI WA UDAKTARI CHUO KIKUU CHA ST.FRANCIS IFAKARA 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   CLICK HAPO CHINI >>>>>>>>>>>>Provisional Results<<<<<<<<<<<<<<<&l...
Share:

BREAKING NEWS:CHUO KIKUU NIT WAGOMA ,KISA BOOM WANAFUNZI WAANGUKA HOVYO,NJAA IMETAWALA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Nit kimenuka,wanafunzi wanaandamana kudai hela zao za quarter 3 na 4, pia ubovu wa ratiba ya mwaka wa masomo ya chuoni. TAARIFA KAMILI INAKU...
Share:

Kimenuka!! JWTZ Yajitosa Mauaji Ya Watu 8 Tanga,Mkuu wa Majeshi Atangaza Msako usiku na Mchana

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY SERIKALI imetuma kikosi maalumu cha ulinzi, kikiongozwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya kuwasaka watu wanaodaiwa kuwa majambazi ambao wanaendesha mauaji ya kinyama mkoani Tanga. Uamuzi huo umechukuliwa baada ya watu wanane kuuawa kinyama...
Share:

MPYA:RAIS MAGUFULI ATOA HATMA YA WANAFUNZI 7000 WA SPECIAL DIPLOMA UDOM WALIORUDISHWA NYUMBANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Amezungumzia  wanafunzi walioenda chuo kikuu cha Dodoma waliofukuzwa ambao hawakuwa na vigezo vya kujiunga chuo na kushangazwa wanasiasa wanaowatetea.  Ameongezea kusema wanafunzi walioondoka wamefukuzwa na hata wanafunzi wote wangefukuzwa kama wangegoma. \ VIDEO ...
Share:

New AUDIO | Abdu Kiba - BAYOYO | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY DOWNLOAD ...
Share:

Video | Stan Bakora - Natafuta Kiki ya Raymond A.K.A Rayvanny | Watch/Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

VIDEO::HOTUBA YA RAIS MAGUFULI CHUO KIKUU CHA UDSM HII HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY IVE UPDATES UDSM ​ Yanayojiri ziara ya Magufuli chuo kikuu Dar es Salaam Wanafungua mkutano kwa kuimba wimbo wa Taifa wa Tanzania na na wimbo wa Taifa wa China Wengine waliohudhuria ni ya ni waziri wa elimu Joyce Ndalichako, rais msataafu Jakaya Kikwete, balozi wa...
Share:

NECTA: ADVERTISEMENT OF TENDER

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY      TANGAZO LA ZABUNI 27 MAY 2016.pdf ...
Share:

Serikali Yazidiwa Mzigo wa Vijana Wanaotakiwa Kujiunga JKT,Waziri Asema ni Vigumu Kuwachukua Vijana Wote Kutokana na Uhaba wa Fedha

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY VIJANA wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kwa mujibu wa sheria wamekuwa wengi kiasi cha kuifanya Serikali kushindwa kuwachukua wote, Bunge limeelezwa. Hivyo, kutokana na sababu hiyo, Serikali imeamua kuongeza idadi ya kambi...
Share:

Dr. Shein Aahidi Kutumbua Majipu ndani ya CCM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wanaCCM kufanya kazi kwa ajili ya kuimarisha chama na kuahidi kuyatumbua majipu hadi katika chama. Dk Shein alisema kwa upande wa serikali kazi ya kuunda serikali inaendelea na kuwataka watendaji...
Share:

Jambazi auawa Mwanza akirushiana risasi na polisi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY POLISI mkoani Mwanza imemuua jambazi baada ya mtu huyo akiwa na wenzake wawili kurushiana risasi na polisi waliokuwa doria baada ya kushindwa kutii amri ya kusimama walipotakiwa kufanya hivyo na polisi. Akizungumza ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 2

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Wednesday, 1 June 2016

Audio | Jay Moe - Pesa Madafu | Mp3 Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Audio | Jay Moe - Pesa Madafu | Mp3 Download DOWNLOAD Mp3...
Share:

Walioandaa mgomo UDSM kukiona

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wanafunzi walioandaa mgomo wa jana Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) huenda wakakumbwa na hatua za kinidhamu kwa kosa la kukikuka sheria ndogo ya Chuo kwa kuandaa mkusanyiko pasipo kibali cha Menejimenti. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo taaluma Florens Luoga amesema kuwa...
Share:

TCU:Mgogoro baina ya Uongozi na wanafunzi katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Francis (SFUCHAS), Ifakara

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY >>>Mgogoro baina ya Uongozi na wanafunzi katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Francis (SFUCHAS), Ifakara <<&l...
Share:

WIZARA YA ELIMU:SHINDANO LA PICHA LA AFRIKA "MY AFRICA PHOTOGRAPH COMPETITION

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY SHINDANO LA PICHA LA AFRIKA "MY AFRICA PHOTOGRAPH COMPETITION"  SHINDANO LA PICHA LA AFRIKA (280.36 kB)...
Share:

TANZIA:MWANAFUNZI WA SUA NDG.NYAVA RICHARD J AFARIKI DUNIA (R I P BROTHER)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kwa masikitiko makubwa MASWAYETU BLOG TEAM imepokea msiba kutoka serikali ya wanafunzi SUA kwamba mwanafunzi wa mwaka wa pili jina tajwa hapo juu kozi ya HUMAN NUTRITION amefariki dunia leo asubuhi tar 1.6.2016. MASWAYETU BLOG inatoa pole kwa familia na jumuiya nzima ya...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger