Staa wa muziki Chegge Chigunda ameweka wazi kuwa baada ya kuona ukubwa na mafanikio ya projekti ya filamu aliyofanya huko Nairobi, katika siku zijazo ataanza kuonekana katika Tamthilia ya Muendelezo ama Series ya kazi hiyo ambayo ilifanyika miaka kadhaa iliyopita.
The stakeholders and organisations that fight for
the rights of children have appealed for more awareness campaigns to
families and communities to shun from early marriages practices and
putting more efforts to reduce violence against them.