Thursday, 12 June 2014

MATOKEO KOMBE LA DUNIA DK YA 75 :BRAZIL 2 CROTIA 1

 BRAZIL-KIKOSI
HATIMAE, Fainali za Kombe la Dunia zinaanza Leo hii huko Sao Paulo, Brazil wakati Wenyeji Brazil wataivaa Croatia katika Mechi ya Kwanza ya Kundi A itakayochezwa Arena Corinthians, au kwa Jina jingine Arena de Sao Paulo.
Share:

VIDEO:ANGALIA SPEECH YA KIJANA HUYU KUHUSU LOWASSA

 
Share:

SIKILIZA MAJIBU YA MBUNGE SALVATORY MACHEMLI WA CHADEMA KUHUSU PICHA ZA UTUPU ZILIZOSAMBAZWA MITANDAONI ZENYE SURA YAKE

 
Siku chache zilizopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambazwa picha mbalimbali za Wabunge wa Bunge la Tanzania zikionyesha wakiwa kwenye sehemu za faragha sehemu ambazo hutumiwa zaidi na wapenzi na zaidi ni namna  picha hizo  zilivyotoka  maana zingine zilikua ni zaidi ya nusu utupu. 
 
Salvatory Naluyaga Machemli mbunge wa Ukerewe kupitia Chadema ni miongoni mwa wabunge waliotajwa kuwepo kwenye orodha hiyo na ni baada ya kusambaa kwa picha zinazomuonyesha akiwa na binti wakiwa zaidi ya nusu utupu,Soudy brown akaongea naye.Majibu na kila kitu  kilichozungumzwa kipo hapo  chini. ANGALIA VIDEO HAPA
Share:

WAZIRI ANUSURIKA KUFA AKIWA NA GARI LAKE

Gari la Waziri wa  ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka likiwa katika kituo cha polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga baada ya kugonga punda
Share:

DENTI YATIMA AKATWA MGUU


MWANAFUNZI James Chotamasogo (20) aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari ya Road Baden Powel inayomilikiwa na Kanali Mstaafu, Idd Omar Kipingu, iliyopo jijini Dar amekatwa mguu wa kushoto katika Hospitali ya Ocean Road, kutokana na ugonjwa wa kansa.
Share:

SIKU 14 MAREHEMU TYSON HAJAZIKWA

Na Mwandishi Wetu
Share:

NEW AUDIO: GODZILLA FT G NAKO – NISOME

SIKILIZA WIMBO HUO HAPABONYEZA
Share:

KUELEKEA KOMBE LA DUNIA HII NDIO MISHAHARA YA MAKOCHA WA KOMBE LA DUNIA

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza, Fabio Capello ndiye anaongoza kwa kulipwa vizuri miongoni mwa makocha wote wa timu za taifa zinazoshiriki Kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil.
Share:

MADHARI YA SOKO LA KARUME LIKITEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU


Mali za wafanyabiashara zikiteketea.
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI-MASWAYETU


1_e4ed2.jpg
2_64c68.jpg
Share:

SOMA:HOTUBA YA MHE DKT. SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA (MB), WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI KWA MAAFISA ELIMU

HOTUBA YA MHE DKT. SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA (MB), WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
HOTUBA YA MHE DKT. SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA (MB), WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI, WAKATI WA KUFUNGA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MAAFISA ELIMU VIFAA NA TAKWIMU (SLOs) NA MAAFISA ELIMU TAALUMA (DAOs) (MSINGI NA SEKONDARI) TANZANIA BARA KUHUSU KUKABILIANA NA MAJANGA KATIKA TAASISI ZA ELIMU, YALIYOFANYIKA ADEM- BAGAMOYO  TAREHE 19/05/2014 - 06/06/2014                          .

Ndugu Dkt. Siston Masanja
Mgullah, Mtendaji Mkuu wa ADEM,
Share:

Wednesday, 11 June 2014

BRAKING NEWZ:AKRAI ACHARANGWA NA MAPANGA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KUTUO CHA POLISI

polisi
Mnamo tarehe 11/06/14 majira ya 0100hrs huko kituo kidogo cha Kimanzichana Pwani,watu wasiojulikana waliojifanya kuwa ni raia wema waliingia kituo kidogo cha Polisi Kimanzi Chana huku wakikimbia wakiwa na silaha za jadi kiasi cha askari wa zamu kuamini kuwa ni watu wanaohitaji msaada.
Share:

BIRTHDAY YA NAY WA MITEGO


Msanii wa muziki Jitaman (kulia) akilishwa keki na rafiki yake Nay wa Mitego.
Share:

DAVIDO AMSABABISHIA BALAA JACKLINE WOLPER


Share:

HUYU NDIYEMPENZI WA AGNES MASOGANGE


kufuatilia TRENDs za Agnes Masogange kwenye mtandao wa INSTAGRAM.
Kama mnavyojua dada yetu MASOGANGE  kwa muda sasa yupo nchini SAUZI na amekuwa sio mchoyo wa PICHA zake, wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM
Share:

MREMBO ATEMBEA UCHI SINZA



                           ...AKIWA CHINI NIDO NJE.

Share:

'MDADA ALIYEONEKANA KATIKA PICHA NA KOMBA AFUNGUKA, AZIMIA'

SIKU chache zimekatika baada ya tukio la kusambaa mitandaoni kwa picha tata zenye pozi kati ya mheshimiwa Komba na mrembo aliyejulikana kwa jina moja la Angel.
Angel Kissanga, mkazi wa Kinondoni jijini Dar anayedaiwa kupiga picha tata na mheshimiwa Komba.
Hatimaye mrembo huyo ameibuka na kuanika mambo mazito kama si makubwa, Risasi Mchanganyiko linakudadavulia.
Awali katika gazeti hili toleo la Jumamosi iliyopita ukurasa wa mbele kulikuwa na habari hiyo ikiwa na kichwa; KHAA! KOMBA! Katika habari hiyo picha zilizomuonesha mheshimiwa Komba akiwa na mrembo huyo zilipamba ukurasa huku mwenyewe (Komba) akidai ni picha za kutengeneza).
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger