Sunday 30 March 2014

MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM

MVUA ZALETA MADHARA MAKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM

Mvua  zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimeleta adha kubwa, huku baadhi ya wakazi wakilazimika kuhama baada ya makazi yao kukumbwa na mafuriko.
Gazeti la Mwananchi lilitembelea sehemu mbalimbali jijini jana na kushuhudia mafuriko makubwa, huku baadhi ya nyumba kuta zake zikiwa chini baada ya kuzidiwa na maji.
Kinondoni:wpid-img-20140328-wa0005.jpg
Katika maeneo ya Tanesco Mkoa wa Kinondoni Kaskazini, Msasani Bonde la Mpunga na Mikocheni A Mtaa wa Vyura, hali ilikuwa mbaya zaidi, pamoja na nyumba nyingi hasa za Msasani kuwa nzuri na za ghorofa, lakini zilikuwa zimejaa maji eneo la chini kiasi cha kutoingilika.
Msasani:
Eneo la Msasani ndilo lililoathirika kwa kiasi kikubwa na mafuriko, kwani barabara nyingi hazikupitika kirahisi kutokana na kujaa maji na kusababisha msongamano mkubwa wa magari.
Maeneo ya Hospitali ya TMJ, Ofisi za Tanesco na Jengo la Biashara la Shoperz Plaza, hali ilikuwa mbaya kutokana na maeneo hayo kujaa maji kwa kiasi kikubwa.
Katika Mtaa wa Vyura Msasani, ambako kuna kliniki maalumu inayotoa matibabu ya figo, maji yalikuwa yamejaa kiasi cha kuwekwa mashine za kunyonya kuyatoa nje.
Tabata:
Katika eneo la Tabata hali ilikuwa mbaya zaidi kwani kuna baadhi ya maeneo magari hayakuweza kupita kabisa kutokana na barabara nyingi kujaa maji.
Daladala zinazofanya safari zake kati ya Tabata Segerea-Mnazi Mmoja, zililazimika kuishia Buguruni kutokana na barabara ya Uhuru kujaa maji na kushindwa kupitika.
Share:

Mbowe-Tumalize mjadala kwa maridhiano badala ya vijembe

Mbowe-Tumalize mjadala kwa maridhiano badala ya vijembe

Baada ya mvutano mkali ndani ya Bunge Maalum la Katiba, Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe, ameshauri wajumbe kumaliza mjadala kwa maridhiano badala ya kulumbana na kurushiana vijembe.
 
 Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, alitoa ushauri huo juzi wakati akichangia mjadala wa mabadiliko ya kanuni ya 37 na 38 ya bunge hilo, yalipendekezwa na Kamati ya Kanuni ya Bunge hilo kuwa kila mbunge awe huru  kupiga kura ya wazi au ya siri.
 
Alisema mjadala unaoendelea  hautafika mwisho kutokana na pande mbili zinazokinzana kila moja kushikilia msimamo wake, hali ambayo inasababisha baadhi ya wabunge kutoka kwenye mada ya msingi na kuanza kudhalilishana.
 
“Mimi sitaki kujikita kwenye kura ya siri wala kura ya wazi, isipokuwa napenda kushauri kuwa suala hili ili lipate ufumbuzi tulipeleke kwenye kamati ya maridhiano badala ya kuendelea kulumbana kwani naamini kuwa tunaweza kuzungumza kwa muda mrefu na hatutafikia uamuzi,” alisema Mbowe.
 
Aliwaambia wajumbe kuwa yapo mambo mengi na mazito ambayo tayari yamekwishaamuliwa na bunge hilo kwa maridhiano, haoni sababu ya kuendelea na mjadala usiokuwa na mwisho badala ya kutumia njia hiyo ya maridhiano ambayo tayari imekwishaonyesha njia kwa baadhi ya mambo.
 
Wazo hilo liliungwa mkono na baadhi ya wajumbe hilo akiwemo Teddy Ladislaus, ambaye anawakilisha wanafunzi wa elimu ya juu.
 
Katika kuonyesha kuwa mawazo ya Mbowe yalizingatiwa na Mwenyekiti, kabla ya kuahirisha kikao hicho, Mwenyekiti Samwel Sitta aliteua baadhi ya wajumbe kuingia kwenye kamati ya muda ya maridhiano na kuwataka wakutane usiku huo.
 
Baadhi ya wajumbe kamati ya Muda ya Maridhiano ni Profesa James Mwandosya, Anne Kilango Malechela, Profesa Ibrahim Lipumba, Mbowe, Peter Mzirai, James Mbatia, Anna Abdallah, Dk. Asha Rose Migiro , Askofu Dornald Mtetemela, Amon Mpanju, Fredrick Werema na Hamad Rashid.
 
Kamati hiyo ilitakiwa kujadili suala hilo na kuwasilisha mapendekezo yake kwa Mwenyekiti kabla ya kupelekwa bungeni ili kutoa uamuzi wa mwisho.
 
Kanuni ya 37 na 38 ziliwekwa kiporo mwezi uliopita wakati wa kupitisha kanuni nyingine kutokana na wajumbe kushindwa kufikia mwafaka baada ya baadhi yao kutaka itumike kura ya siri wakati wa kufanya maamuzi huku wengine wakitaka iwe ni kura ya wazi.
 
Licha ya kanuni hizo juzi kuletwa bungeni kwa mara ya pili, bado wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba waliendelea kuvutana na kutofikia makubaliano, hali iliyomlazimu Freeman Mbowe kupendekeza suala hilo liamuliwe kwa maridhiano.
Share:

VIDEO:ANGALIA KAMPENI ZA UCHAGUZI CHALINZE


Share:

VIDEO: ANGALIA MKUTANO WA CHADEMA ULIVYOTAWANYWA KWA MABOMU


Share:

VIDEO:MATCH BETWEEN MANCITY AND ARSENAL

The above video shows the match played soon between arsenal and man city where arsenal played well and attain results of draw of 1 goal against man city.watch it below

Share:

Saturday 29 March 2014

video:current car company for insurance

just watch it here

Share:

VIDEO:HOW CANCER IS THE BIG PROBLEM

Just watch here below how cancer has caused a lots of problems in our life,just watch below


Share:

DR.BWIRE,JAMES MWALIMU BORA PHYSICS MATOKEO KIDATO CHA NNE 2013.

Hii hapa juu ni shule ya kata iliyopo mkoani simiyu ambayo imejitahidi ukilinganisha na shule kongwe za mkoa huo ambazo imezizidi,shule imefanyavizuri hasa katika somo la physics ambapo matokeo yake hapo chini yanajieleza yenyewe.

Walimu wafuatao wapewe pongezi kwa kusababisha matokeo hayo Bwire,James(Dr) ambaye ndo aliefanya vizuri katika somo la physics,wakati mwalimu wa biology Denis,Nkulu akionyesha mbwembwe zake katika somo la biology,pia mwalimu wa kemia mbwaga,innocent akionyesha juhudi katika somo la chemistry.

Hata hivyo walimu wafuatao hawakuwa mbali kuhakikisha shule hiyo ikifanya juhudi kwa kuleta matokeo hayo;nao ni Auguster,Rweyemamu(english),Rachel seni(History),ashiraf(geography)

ANGALIA MATOKEO HAYO HAPA CHINI.

 

 

 

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS

S2571 NG'WIGWA SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 0 DIV-II = 5 DIV-III = 10 DIV-IV = 15 DIV-0 = 12


CNO
SEX
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S2571/0001
F
29
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'C'
S2571/0002
F
27
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
S2571/0003
F
34
IV
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S2571/0004
F
42
IV
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0005
F
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0006
F
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0007
F
40
IV
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0008
F
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0009
F
*E
*E
---
S2571/0010
F
*E
*E
---
S2571/0011
F
34
IV
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'C' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S2571/0012
F
47
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0013
F
49
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0014
F
20
II
CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'B'
S2571/0015
F
28
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
S2571/0016
M
30
III
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'C'
S2571/0017
M
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'
S2571/0018
M
*E
*E
---
S2571/0019
M
46
0
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0020
M
42
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'E'
S2571/0021
M
42
0
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0022
M
46
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0023
M
37
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0024
M
49
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0025
M
25
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'D'
S2571/0026
M
*E
*E
---
S2571/0027
M
23
II
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'B'
S2571/0028
M
44
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0029
M
28
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'D' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S2571/0030
M
36
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S2571/0031
M
30
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'F'
S2571/0032
M
38
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S2571/0033
M
36
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0034
M
*E
*E
---
S2571/0035
M
37
IV
CIV - 'E' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0036
M
39
IV
CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0037
M
32
IV
CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S2571/0038
M
23
II
CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'D'
S2571/0039
M
36
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S2571/0040
M
35
IV
CIV - 'E' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0041
M
41
0
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S2571/0042
M
28
III
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'B+'
S2571/0043
M
35
IV
CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'D'
S2571/0044
M
27
III
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'D'
S2571/0045
M
48
0
CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0046
M
23
II
CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'B' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'B' CHEM - 'B' BIO - 'B+' B/MATH - 'C'
S2571/0047
M
35
IV
CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'C'
S2571/0048
M
47
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S2571/0049
M
48
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S2571/0050
M
24
II
CIV - 'B' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'B' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
S2571/0051
M
27
III
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D'
S2571/0052
M
-
ABS
CIV - 'X' HIST - 'X' GEO - 'X' KISW - 'X' ENGL - 'X' BIO - 'X' B/MATH - 'X'


EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION
SIMIYU
TOTAL PASSED CANDIDATES
30
EXAMINATION CENTRE GPA
4.4483
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
11/75
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)
545/3256
EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE
REGIST
ABSENT
SAT
WITHHELD
NO-CA
CLEAN
DIV I
DIV II
DIV III
DIV IV
DIV 0
52
5
47
5
0
42
0
5
10
15
12
EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE
CODE
SUBJECT NAME
REG
SAT
NO-CA
W/HD
CLEAN
PASS
GPA
REG/RANK
NAT/RANK
011
CIVICS
52
47
0
5
42
20
5.2381
52/141
864/4355
012
HISTORY
52
47
0
5
42
22
5.5238
71/141
1097/4322
013
GEOGRAPHY
52
47
0
5
42
22
5.4048
55/141
903/4352
021
KISWAHILI
52
47
0
5
42
32
4.7857
116/141
2319/4355
022
ENGLISH LANGUAGE
52
47
0
5
42
26
5.2143
97/141
1543/4355
031
PHYSICS
16
16
0
0
16
15
4.1875
4/140
312/3841
032
CHEMISTRY
29
29
0
0
29
20
4.8276
12/140
922/4052
033
BIOLOGY
52
47
0
5
42
31
4.4286
19/141
508/4351
041
BASIC MATHEMATICS
52
47
0
5
42
14
5.9524
40/141
708/4355
Share:

UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013


 

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA


UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013



Imetolewa Na:


KAIMU KATIBU MTENDAJI

29 MARCH, 2014


UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013
Baraza la Mitihani la Tanzania lilitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2013 tarehe 21/02/2014. Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Baraza limekuwa likipokea maswali mbalimbali yanayoashiria kuwa baadhi ya wadau wa elimu hawakuelewa vizuri kuhusu Viwango vya Ufaulu (grade ranges), alama ya chini ya ufaulu (pass mark) na Ufaulu wa jumla wa mtahiniwa (overall performance). Baraza la Mitihani linapenda kutoa ufafanuzi katika mambo hayo kama ifuatavyo:
1.        Viwango vya ufaulu (grade ranges) ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuwaweka pamoja watahiniwa wenye uwezo unaofanana katika somo husika na kuwatofautisha na watahiniwa waliopo katika kundi jingine. Makundi haya hupangwa ili kuwawezesha wadau kutambua namna watahiniwa walivyotawanyika katika viwango mbalimbali vya umahiri wa somo husika. Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likitumia makundi Matano (5) kwa kipindi kirefu hadi mwaka 2012. Aidha, Kuanzia Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2013, Baraza limeanza kutumia utaratibu wa Makundi Saba (7) ambayo ni A, B+, B, C, D, E na F. Utaratibu huu umelenga kupunguza mlundikano mkubwa wa alama katika kundi moja. Mgawanyo wa makundi hayo ni kama inavyoonekana kwenye Jedwali la 1.

Jedwali Na 1: Viwango vya ufaulu vilivyotumika katika Matokeo ya CSEE 2013.

Kundi
Gredi
Alama
Idadi ya Pointi
1
A
75 - 100
1
2
B+
60 - 74
2
3
B
50 - 59
3
4
C
40 - 49
4
5
D
30 - 39
5
6
E
20 - 29
6
7
F
0 -  19
7

Aidha, Idadi ya makundi ya ufaulu hutofautiana kati ya nchi na nchi kulingana na mahitaji ya nchi husika.  Kwa mfano; Kenya wana makundi Kumi na mbili (12), Malawi Tisa (9), Uganda Tisa (9), Nchi za Afrika magharibi (Nigeria, Ghana, Siera Leone na Liberia) makundi Tisa.

2.        Kwa kuzingatia viwango vya ufaulu vilivyoainishwa katika makundi saba yaliyopo kwenye Jedwali na 1, kiwango cha chini cha ufaulu ni gredi D na kiwango cha juu cha ufaulu ni Gredi A. Mtahiniwa atakuwa amefaulu somo husika iwapo atapata gredi D na kuendelea. Aidha, mtahiniwa aliyepata gredi E na F atakuwa hajafaulu somo husika.

3.        Madaraja ya ufaulu yamepangwa kwa mujibu wa kifungu cha 20 (1)-(6) cha Kanuni za Mitihani kinachoelekeza kuwa Ufaulu katika daraja la Kwanza hadi la Tatu upangwe kwa kuzingatia jumla ya alama (Points) na Ufaulu katika Daraja la Nne unapangwa kwa kuzingatia ufaulu wa chini aliopata mtahiniwa ambao ni gredi D katika masomo yasiyopungua mawili au ufaulu kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C katika somo moja. Hivyo, madaraja yaliyotumika ni kama yanavyoonekana kwenye Jedwali la 2.

Jedwali 2: Madaraja yaliyotumika katika CSEE 2013

Daraja
Pointi
I
7 – 17
II
18 – 24
III
25 – 31
IV
1.      Ufaulu katika somo moja kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C au
2.      Ufaulu katika masomo yasiyopungua mawili katika Gredi D
0
Alama chini ya D mbili

4.        Kwa mujibu wa Kanuni za Mitihani, ufaulu wa somo katika Gredi A hadi C utakuwa ni ufaulu wa “Credit” na Gredi D itahesabika kuwa ni “pass”. Aidha Gredi E na F zitakuwa alama za kufeli.

5.        Baraza la mitihani la Tanzania linapenda kutoa taarifa kwamba ufafanuzi wa sifa za kujiunga na mafunzo katika ngazi mbalimbali kwa kutumia mfumo huu mpya wa madaraja utatolewa na mamlaka husika ambapo Kamishna wa Elimu atalitolea ufafanuzi zaidi.




Imetolewa Na:


KAIMU KATIBU MTENDAJI
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger