Wednesday, 15 February 2017

AUDIO | YAMOTO BAND - KICHECHE | Download

...
Share:

NECTA: ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION MAY 2017

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA  Ref. ACSEE 2017  NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL  ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION MAY 201...
Share:

AUDIO | Diamomd Platnumz Ft. Sporah - Kosa Langu | Download [Extended]

DOWNLOAD...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO FEB 15 2017

...
Share:

Monday, 13 February 2017

Zitto Kabwe Amtaka Rais Magufuli Avunje Bunge

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amemshauri Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli kulivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania endapo analiona ni kikwazo kwake. Ushauri huo ameutoa jana ikiwa ni saa chache baada ya Rais Magufuli kukosoa uamuzi wa Bunge kumuita Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Share:

Yusuf Manji Alivyochukuliwa na Gari la Wagonjwa Polisi na Kisha Kupelekwa Hospital

Mfanyabiashara maarufu na Mwenyekiti wa Club ya soka ya Yanga Yusuph Manji amekua akishikiliwa na Polisi kituo cha kati Dar es salaam toka Alhamisi ya February 9 2017 baada ya kwenda kuhojiwa kutokana na kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwenye orodha ya watu 65 kwenye sakata...
Share:

Masaa 72 ya Askofu Gwajima Mahabusu ya Polisi

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati sakata la kutangaza na kushikiliwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam watu wanaotuhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya. Pia alieleza kushangazwa kwake na baadhi ya wawekezaji na wafanyabiashara...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEB 13 2017

...
Share:

Dkt. Slaa amtumia ujumbe Gwajima kuhusu Dawa za Kulevya

Vita ya kupambana na dawa za kulevya nchini iliyopamba moto zaidi na kuzua mijadala tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alipoanza kutaja majina ya watuhumiwa imemuibua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dkt. Wilbroad Slaa....
Share:

Sunday, 12 February 2017

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO BAADA YA KUKATA RUFAA BODI YA MIKOPO 2016/2017

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...
Share:

Askofu Gwajima Kaachiwa Huru na Jeshi la Polisi

Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima ameachiwa na Polisi leo jioni baada ya mahojiano yaliyodumu toka Alhamisi mchana kwenye kituo cha Polisi kati Dar es salaam kufuatia sakata la dawa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI FEB TAREHE 12.2.2017

...
Share:

Saturday, 11 February 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEB TAREHE 11.2.2017

...
Share:

Friday, 10 February 2017

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa Ya February 10

...
Share:

Agizo wa Rais Magufuli uwanja wa ndege Dar laanza kutekelezwa

Shughuli za ujenzi wa jengo jipya la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam (Terminal 3) jana tarehe 09 Februari, 2017 zimeendelea kama ilivyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza jana tarehe 08...
Share:

Thursday, 9 February 2017

TANGAZO:TUNAFANYA USAJILI WA VYUO VYA NACTE KWA WANAFUNZI WALIOMALIZA FORM 4 NA 6

Habari zenu, Je,wewe ni mhitimu wa kidato cha nne 2016 na kurudi nyuma? Nacte imefungua application kujiunga na vyuo katika ngazi ya cheti na diploma mwaka wa masomo 2017/2018 March intake. Maswayetu blog tutakusaidia kuomba kozi unayoipenda pamoja na kukupa ushauri kuhusu kozi ya kusoma nzuri yenye soko kwa sasa. Ada ya maombi ni kama ifuatavyo: Kwa eneo la Afya na Sayansi Shirikishi ada ya...
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI YA FEBRUARI 9,2017

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger