Sunday, 7 August 2016

MPYA:TAARIFA KWA WANAFUNZI SUA KUHUSU PESA YA FIELD AGUST 2016

  Ofisi ya DVC SUA imtoa taarifa kwa uuma na wanafunzi wote kwamba ,Chuo hadi sasa hakijapokea pesa ya field kutoka BODI YA MIKOPO,hivyo basi chuo kinwaomba wanafunzi waendelee kukaa nyumbani hadi hapo maelekezo mengine yatakapotolewa. IMETOLEWA NA OFISI YA DVC-SUA TAREHE 6.8.2016...
Share:

Waziri wa Kilimo Awanyooshea Kidole Maofisa Ugani Wanaoomba Rushwa

WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba amewanyooshea kidole maofisa ugani wa mifugo na uvuvi kwa maelezo kuwa wameacha kutimiza majukumu yao na badala yake wanakamata zana haramu za uvuvi, kuuza dawa na kuomba hongo. Dk Tizeba alisema hayo juzi alipotembelea...
Share:

Wazazi Wamuua Mtoto Wao Kwa Kipigoi

MWANAFUNZI aliyekuwa akisoma Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Zimba, Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, Susana Kauzeni (15) ameuawa baada ya kupigwa na wazazi wake wakimtuhumu kuwa ni mtoro sugu wa shule. Ofisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga (Shule...
Share:

Katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa Akamatwa Akituhumiwa Kufanya Uchochezi Kwa Kutumia Mitandao ya Kijamii

Wakati Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akiwa nje kwa dhamana baada ya kupandishwa kizimbani kwa makosa matatu yakiwamo ya uchochezi, Jeshi la polisi mkoani Geita limevamia Hoteli ya KG iliyopo mjini Geita aliyokuwa amefikia Katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa, Meshack...
Share:

John Shibuda Amkingia Kifua Rais Magufuli

Katibu Mkuu wa Chama cha Ada Tadea, John Shibuda amesema Rais John Magufuli “ni katili kwa wahujumu wa ustawi na maendeleo ya Taifa na rafiki kwa waadilifu”, na kuwataka Watanzania kumuunga mkono kwa ukatili huo ambao amesema unabezwa na baadhi ya watu. Shibuda, ambaye...
Share:

Polisi Waendelea Kumsaka Dr. Mwaka

Mmiliki wa kituo cha Foreplan Clinic, Juma Mwaka, maarufu Dk Mwaka’ bado hajauepuka mkono wa Serikali na sasa Jeshi la Polisi limesema linataka limtie mikononi mwake ndani ya saa 24.  Tangu Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano liapishwe mapema mwaka huu,...
Share:

Sakata la Oparesheni UKUTA Lailazimu Tume ya Haki na Utawala Bora Kuandaa kikao cha pamoja kati ya Chadema, CCM na Jeshi la Polisi

Tume ya Haki na Utawala Bora imeandaa kikao cha pamoja kati ya Chadema, CCM, Jeshi la Polisi na taasisi nyingine tatu, wakati joto la Operesheni Ukuta likizidi kupanda kwa viongozi wa Serikali na vyama vya siasa kutoa kauli zinazotofautiana.  Chadema imetangaza kufanya...
Share:

Waziri Atangaza kiama Kwa Trafiki

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yussuf Masauni amesema askari wa usalama barabarani watakaobainika kupokea rushwa watashughulikiwa kwa kuwa wataweka mitego kwa ajili ya kuwakamata. Alisema wananchi wamekuwa wakilalamikia askari hao kuwa wanapenda rushwa...
Share:

Serikali Yatangaza Mwongozo Mpya wa Elimu Kuwa Masomo ya Sayansi ni Lazima Yasomwe Na Wanafunzi Wote

SERIKALI imetangaza mwongozo mpya kuwa kuanzia sasa masomo ya sayansi ni lazima kusomwa na wanafunzi wote wanaosoma elimu ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.  Kwa mujibu wa Sera ya Elimu iliyopo, wanafunzi wanaosoma elimu ya sekondari wanaweza kuchagua...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 7.8.2016

...
Share:

Saturday, 6 August 2016

Sama Gizzle Ft. Darassa - Too Much (Cover) | Mp3 Download [New Song]

...
Share:

Friday, 5 August 2016

Idara ya Uhamiaji inawashikilia watumishi wawili wa Serikali ambao si rai wa Tanzania.

Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam John Msumule akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa taarifa ya kukamatwa kwa watumishi wawili wa Serikali ambao sio raia wa Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa ...
Share:

TRA yavuka lengo la ukusanyaji kodi mwezi Julai

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imevuka lengo la ukusanyaji wa kodi wa jumla ya kiasi cha shilingi trilioni 1 sawa na asilimia 95.6 tofauti na lengo lililokuwa limekusudiwa la kukusanya trilioni 1.1 kwa mwezi Julai 2016. Kiasi hicho ni sawa na ongezeko la asilimia 15.43...
Share:

Tundu Lissu afikishwa tena Mahakamani

HATIMAYE Jeshi la  Polisi Jijini Dar es salaam limemfikisha rasmi kizimbani Mwanasheria Mkuu wa Chadema ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo Singida Mashariki wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Tundu Lissu ambaye alikamatwa Juzi mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa...
Share:

MPYA:TAARIFA KWA WANAFUNZI WA UDOM KUHUSU PESA NA TAREHE YA KURIPOTI FIELD 2016

  ALL STUDENTS  COLLEGE OF INFORMATICS AND VIRTUAL EDUCATION THIS IS TO INFORM ALL STUDENTS REQUIRED TO ATTEND INDUSTRIAL PRACTICAL TRAINING WITHIN AND OUTSIDE THE UNIVERSITY THAT, THE TRAINING WILL START EFFECTIVELY ON MONDAY 15TH AUGUST, 2016. ISSUED BY CIVE MANAGEMENT 4TH AUGUST,...
Share:

MPYA:KUHUSU PESA YA FIELD WANAFUNZI WA UDSM 2016

...
Share:

Vyama 9 Vya Siasa Kufutwa Kabisa

Vyama tisa vya siasa kati ya 22 vyenye usajili wa kudumu vipo hatarini kufutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo na matakwa ya kisheria yaliyoviwezesha kupata usajili wa kudumu.  Hatua ya kufutwa vyama hivyo, vikiwamo baadhi visivyo na ofisi za kudumu (vyama vya mfukoni) itafikiwa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger