Ofisi ya DVC SUA imtoa taarifa kwa uuma na wanafunzi wote kwamba ,Chuo hadi sasa hakijapokea pesa ya field kutoka BODI YA MIKOPO,hivyo basi chuo kinwaomba wanafunzi waendelee kukaa nyumbani hadi hapo maelekezo mengine yatakapotolewa.
IMETOLEWA NA OFISI YA DVC-SUA
TAREHE 6.8.2016...
Sunday, 7 August 2016
Waziri wa Kilimo Awanyooshea Kidole Maofisa Ugani Wanaoomba Rushwa

WAZIRI
wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba amewanyooshea kidole
maofisa ugani wa mifugo na uvuvi kwa maelezo kuwa wameacha kutimiza
majukumu yao na badala yake wanakamata zana haramu za uvuvi, kuuza dawa
na kuomba hongo.
Dk
Tizeba alisema hayo juzi alipotembelea...
Wazazi Wamuua Mtoto Wao Kwa Kipigoi

MWANAFUNZI
aliyekuwa akisoma Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Zimba, Bonde la
Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, Susana Kauzeni (15) ameuawa baada ya
kupigwa na wazazi wake wakimtuhumu kuwa ni mtoro sugu wa shule.
Ofisa
Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga (Shule...
Katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa Akamatwa Akituhumiwa Kufanya Uchochezi Kwa Kutumia Mitandao ya Kijamii

Wakati
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akiwa nje kwa dhamana baada ya
kupandishwa kizimbani kwa makosa matatu yakiwamo ya uchochezi, Jeshi la
polisi mkoani Geita limevamia Hoteli ya KG iliyopo mjini Geita
aliyokuwa amefikia Katibu wa Chadema Kanda ya Ziwa, Meshack...
John Shibuda Amkingia Kifua Rais Magufuli

Katibu
Mkuu wa Chama cha Ada Tadea, John Shibuda amesema Rais John Magufuli
“ni katili kwa wahujumu wa ustawi na maendeleo ya Taifa na rafiki kwa
waadilifu”, na kuwataka Watanzania kumuunga mkono kwa ukatili huo ambao
amesema unabezwa na baadhi ya watu.
Shibuda,
ambaye...
Polisi Waendelea Kumsaka Dr. Mwaka

Mmiliki wa kituo cha Foreplan
Clinic, Juma Mwaka, maarufu Dk Mwaka’ bado hajauepuka mkono wa Serikali
na sasa Jeshi la Polisi limesema linataka limtie mikononi mwake ndani ya
saa 24.
Tangu Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano liapishwe
mapema mwaka huu,...
Sakata la Oparesheni UKUTA Lailazimu Tume ya Haki na Utawala Bora Kuandaa kikao cha pamoja kati ya Chadema, CCM na Jeshi la Polisi

Tume
ya Haki na Utawala Bora imeandaa kikao cha pamoja kati ya Chadema, CCM,
Jeshi la Polisi na taasisi nyingine tatu, wakati joto la Operesheni
Ukuta likizidi kupanda kwa viongozi wa Serikali na vyama vya siasa kutoa
kauli zinazotofautiana.
Chadema imetangaza kufanya...
Waziri Atangaza kiama Kwa Trafiki

NAIBU
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yussuf Masauni amesema askari
wa usalama barabarani watakaobainika kupokea rushwa watashughulikiwa kwa
kuwa wataweka mitego kwa ajili ya kuwakamata.
Alisema
wananchi wamekuwa wakilalamikia askari hao kuwa wanapenda rushwa...
Serikali Yatangaza Mwongozo Mpya wa Elimu Kuwa Masomo ya Sayansi ni Lazima Yasomwe Na Wanafunzi Wote

SERIKALI
imetangaza mwongozo mpya kuwa kuanzia sasa masomo ya sayansi ni lazima
kusomwa na wanafunzi wote wanaosoma elimu ya sekondari kuanzia kidato
cha kwanza hadi cha nne.
Kwa
mujibu wa Sera ya Elimu iliyopo, wanafunzi wanaosoma elimu ya sekondari
wanaweza kuchagua...
Saturday, 6 August 2016
Friday, 5 August 2016
Idara ya Uhamiaji inawashikilia watumishi wawili wa Serikali ambao si rai wa Tanzania.

Mkuu
wa Idara ya Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam John Msumule akisisitiza
jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa
taarifa ya kukamatwa kwa watumishi wawili wa Serikali ambao sio raia wa
Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa
...
TRA yavuka lengo la ukusanyaji kodi mwezi Julai

Mamlaka
ya Mapato Tanzania (TRA) imevuka lengo la ukusanyaji wa kodi wa jumla
ya kiasi cha shilingi trilioni 1 sawa na asilimia 95.6 tofauti na lengo
lililokuwa limekusudiwa la kukusanya trilioni 1.1 kwa mwezi Julai 2016.
Kiasi
hicho ni sawa na ongezeko la asilimia 15.43...
Tundu Lissu afikishwa tena Mahakamani

HATIMAYE
Jeshi la Polisi Jijini Dar es salaam limemfikisha rasmi kizimbani
Mwanasheria Mkuu wa Chadema ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo Singida
Mashariki wilaya ya Ikungi mkoani Singida.
Tundu
Lissu ambaye alikamatwa Juzi mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano
wa...
MPYA:TAARIFA KWA WANAFUNZI WA UDOM KUHUSU PESA NA TAREHE YA KURIPOTI FIELD 2016
ALL STUDENTS COLLEGE OF INFORMATICS AND VIRTUAL EDUCATION
THIS IS TO INFORM ALL STUDENTS
REQUIRED TO ATTEND INDUSTRIAL PRACTICAL TRAINING WITHIN AND OUTSIDE THE
UNIVERSITY THAT, THE TRAINING WILL START EFFECTIVELY ON MONDAY 15TH
AUGUST, 2016.
ISSUED BY CIVE MANAGEMENT
4TH AUGUST,...
Vyama 9 Vya Siasa Kufutwa Kabisa

Vyama
tisa vya siasa kati ya 22 vyenye usajili wa kudumu vipo hatarini
kufutwa kutokana na kushindwa kukidhi vigezo na matakwa ya kisheria
yaliyoviwezesha kupata usajili wa kudumu.
Hatua
ya kufutwa vyama hivyo, vikiwamo baadhi visivyo na ofisi za kudumu
(vyama vya mfukoni) itafikiwa...