Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika na Freemason, Andy Chande
Siri ya List za Viongozi wa Tanzania Yatajwa (Secret Society),
Freemason, imedaiwa kuwa na siri nzito na viongozi wakuu wa nchi yetu,
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
MWINYI NA ANDY CHANDE
Madai
hayo, yametokana na...
Saturday, 19 April 2014
JUST IN: MAGARI MAWILI YAGONGANA ENEO LA MAFIATI MBEYA MUDA MCHACHE ULIOPITA.
Magari hayo muda mchache baada ya ajali kutokea
Hili ni eneo la Mafiati ambapo ajali hiyo imetokea
Gari aina ya Mazda baada ya kupata ajali
Gari hiyo ya Mazda baada ya kupata ajali ambayo imesababisha kufumuka kwa Airbag upande wa Mbele.
Gari aina ya Ipsum muda mchache...
Friday, 18 April 2014
PICHA ZA UCHI ZA MWANACHUO ZAVUJISHWA MTANDAONI NA BOYFRIEND WAKE..JIONEE MWENYEWE HAPA...!

Ilikuwa asubui Ya kuamkia Leo nilipowasha simu yangu na kukutana na hizi picha kwenye group moja hivi whatsapp Jamaa aliozituma inadaiwa kuwa alikuwa na mahusiano na huyu mwanadada aliepiga picha za utupu....Hivi
jamani wadada hamkomi?!Kwanini mwapenda waamini wapenzi wenu vibaya...
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA TOKA VYAMA VYA UPINZANI JANA JIONI WALIGOMA NA KUTOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE.....HIZI NI PICHA ZA TUKIO HILO

Wajumbe
wa Bunge Maalum la Katiba ambao wanaunga mkono mfumo wa Serikali za
tatu wakitoa katika Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma baada ya kususia
kikao
Wajumbe
wa Bunge Maalum la Katiba ambao wanaunga mkono mfumo wa Serikali za
tatu wakitoa katika...
ALICHOKISEMA ZITTO KABWE BUNGENI LEO WAKATI AKICHANGIA KIKO HA

Dondoo muhimu za nilichoongea Leo Bungeni
1.
Hivi sasa Serikali ya 3 imejificha, ipo. Gharama ni zile zile. Sio
lazima tuwe na Marais 3, hatujengi ikulu Mpya. Gharama za Wizara za
Muungano zipo ndani ya Bajeti ya sasa ya Serikali mbili. Hakuna taasisi
Mpya zaidi ya Tume...