MASTAA MATAJIRI WACHUNGUZWA
KIMENUKA! Jeshi la Polisi Tanzania kwa kushirikiana na taasisi
mbalimbali za serikali zimeanza kuwachunguza watu wenye majina makubwa...
Tuesday, 8 April 2014
ANGALIA MAJINA HAPA YA WALIOPANGIWA VITUO VYA AFYA (AJIRA) 2013/2014
ANGALIA MAJINA HAYO HAPA
http://www.moh.go.tz/images/newsroom/POSTING%20PHASE%20I-i%20FINAL%20APRIL%202014%20(1).p...
Monday, 7 April 2014
Thursday, 3 April 2014
Tangazo la kazi:JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAISSEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WAUMMAKumb. Na EA.7/96/01/G/0901 Aprili, 2014TANGAZO LA NAFASI ZA KAZISekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwamujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwana Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki,pamoja...
SIMULIZI TAMU YA WEMA SEPETU
Wema Sepetu.
WIKI iliyopita, Wema aliendelea kuelezea simulizi yake tamu
ambayo imetokea kupendwa na wasomaji wengi wa Gazeti la Amani. Aliishia
pale alipoweka wazi kisa cha kuachana na Chalz Baba, akaeda Marekani,
aliporudi akawa na Diamond: Tujikumbushe kidogo kisha tuendelee…
Mwandishi:
...
WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL PUBLISHER KISA STORI YA DIAMOND
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Wema
akiwa...
HALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR
HALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR
Maafande
wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Jeshi la
Polisi leo wameendelea na bomoabomoa ya meza za wafanyabishara
ndogondogo 'Wamachinga' kama walivyonaswa na kamera yetu maeneo ya Posta
Mpya…
Maafande
...