JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAISSEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WAUMMAKumb. Na EA.7/96/01/G/0901 Aprili, 2014TANGAZO LA NAFASI ZA KAZISekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwamujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwana Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki,pamoja...
Thursday, 3 April 2014
SIMULIZI TAMU YA WEMA SEPETU
Wema Sepetu.
WIKI iliyopita, Wema aliendelea kuelezea simulizi yake tamu
ambayo imetokea kupendwa na wasomaji wengi wa Gazeti la Amani. Aliishia
pale alipoweka wazi kisa cha kuachana na Chalz Baba, akaeda Marekani,
aliporudi akawa na Diamond: Tujikumbushe kidogo kisha tuendelee…
Mwandishi:
...
WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL PUBLISHER KISA STORI YA DIAMOND
HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Wema
akiwa...
HALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR
HALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR
Maafande
wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam kwa kushirikiana na Jeshi la
Polisi leo wameendelea na bomoabomoa ya meza za wafanyabishara
ndogondogo 'Wamachinga' kama walivyonaswa na kamera yetu maeneo ya Posta
Mpya…
Maafande
...
Wednesday, 2 April 2014
NAPE:CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE
Nape
Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi (CCM) akizungumza na
waadishi wa habari kwenye hoteli ya Bonelle mjini Chalinze wakati
akizungumzia maendeleo ya kampeni za chama hicho katika jimbo la
Chalinze, ambapo amesema kampeni zinaenda vizuri lakini wamekumbana na
Changamoto...
MAJINA YA WALIMU WA DIPLOMA WALIOBADILISHIWA VITUO
ORODHA YA WALIMU WA STASHAHADA WALIOBADILISHIWA VITUOANWANI CHUO MASOMO F BOX 334 UKEREWE BUNDA HISTORY/ENGLISH GAIRO TARIME(V)2 AGNESS KILEO F 31359 DSM MOROGORO HISTORY/ENGLISH MASWA MVOMERO3 AIDANI EDWIN M BOX 4256 MBEYA DAKAWA GEOGRAPHY/KISWAHILI KARAGWE ILEJE4 ANNA NGATUNGA F BOX 42100 DSM MTWARA GEOGRAPHY/KISWAHILI LINDI(M) LINDI(V)5 AYUBU ASHERI M 1004 IRINGA KLERUU PHYSICS/CHEMISTRY BUKOBA(V)...
WATANZANIA WENZANGU CCM hawakutaka Katiba Mpya na haitatokea
Nawasikitikia Watanzania wenzangu waliokaa mkao wa kula wakisubiri Katiba mpya.
Nasikia wengine wanafunga na kuomba ili Katiba ipatikane, wengine wamejawa tu na matumaini.
Ya Mungu mengi, inawezekana Katiba Mpya ikapatikana, lakini kwa mwendo huu, tayari matumaini yametoweka.
Kinachoendelea bungeni kwa sasa kimeanzia mbali. Mtoto wa nyoka ni nyoka, usijidanganye ukamsogezea kidole.
Wengi walijaa...
VIDEO:MAN U YAKAZA MWANZO MWISHO
London, England. Manchester United na Barcelona
zimeshindwa kutumia vizuri viwanja vyao vya nyumbani baada ya
kulazimishwa sare 1-1 na Bayern Munich na Atletico Madrid katika michezo
ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa jana.
Manchester United wakiwa kwenye uwanja wao wa Old
Trafford, walipata bao la kuongoza dakika 58, kupitia nahodha wake
Nemanja Vidic akiunganisha kwa kichwa...
UTAJIRI WA MASANJA KUFURU
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja
Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni
mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko
linakupa zaidi.
Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo...
Tuesday, 1 April 2014
MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO
PIPI
60 za madawa ya kulevya aina ya heroine yanayokadiriwa kuwa na thamani
ya shilingi milioni 60 yanadaiwa kukamatwa ndani ya Gereza la Keko jijni
Dar es Salaam baada ya mtu mmoja kuingia nayo akiwa ameyameza.
Madawa ya kulevya.
Kwa mujibu wa chanzo, mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Mashujaa...
LULU KAIBA BWANA WA MTU
Habari zinaeleza bifu lao limefikia hatua ya kuanikana waziwazi hadi
kumwagiana matusi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram lakini
huondoa majibizano yao machafu kila baada ya muda mfupi.
Chanzo cha habari hizi kinapasha kuwa ugomvi wa Lulu na Husna ni juu ya mwanaume huyo ambaye anaishi...