Friday, 21 March 2014

RAIS KIKWETE AKIHUTUBIA BUNGE HII LEO

Hii ni kutokana na mwaliko wa mwenyekiti wa bunge Samwel sit...
Share:

WAALIMU BINZA SHULE YA MSINGI,WAKANA KUWAZOMEA WALIMU WA SHANWA SHULE YA MSINGI

WAALIMU  BINZA SHULE YA MSINGI, WAKANA KUWAZOMEA WAALIMU WA SHULE YA MSINGI SHANWA KATIKA WILAYA YA MASWA Waalimu wa shule ya Msingi katika Wilaya ya Maswa wamekanusha vikali juu kudaiwa kuwazomea  Waalimu wenzao wa shule ya Msingi Shanwa zote zikiwa katika Mji mdogo wa Maswa Kwa mujibu wa Mwalimu mkuu msaidizi Shule ya msingi Binza Bibi Iviri Swai alisema kuwa Ofisi yake pamoja...
Share:

WAALIMU  BINZA SHULE YA MSINGI, WAKANA KUWAZOMEA WAALIMU WA SHULE YA MSINGI SHANWA KATIKA WILAYA YA MASWA Waalimu wa shule ya Msingi katika Wilaya ya Maswa wamekanusha vikali juu kudaiwa kuwazomea  Waalimu wenzao wa shule ya Msingi Shanwa zote zikiwa katika Mji mdogo wa Maswa Kwa mujibu wa Mwalimu mkuu msaidizi Shule ya msingi Binza Bibi Iviri Swai alisema kuwa Ofisi yake pamoja...
Share:

Thursday, 13 March 2014

DOGO JANJA WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA

DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA Na Chande Abdallah na Nyemo ChilonganiMADOGO wanaotikisa katika ulimwengu wa muziki Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ na Asilahi Isihaka ‘Aslay’ wamedaiwa kuvunja uchumba wa jamaa aliyefahamika kwa jina la...
Share:

ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI

ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI SAKATA la staa wa Bongo Fleva, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ kunusurika kuuawa na watu wasiojulikana kwa kutumia bastola limechukua sura mpya, safari hii, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa amejiandaa kuhojiwa...
Share:

AUNT ,WEMA WALA KICHAPO

KIMEWAKA! Habari zilizothibitishwa zinaeleza kuwa, sura mbili za mauzo kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kula kichapo kutoka kwa msanii mwenzao, Adam Kuambiana, Amani limeinyaka. Wema Sepetu. Tukio hilo lililoshuhudiwa...
Share:

PINGAMIZI LA MGOMBEA UBUNGE CHADEMA CHALINZE

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF                                                            ...
Share:

Wednesday, 12 March 2014

BWAWA LA MAGEREZA MASWA

Magugu maji katika lambo la mwantonja Maswa MAGUGU MAJI YAVAMIA LAMBO LA MWANTONJA MASWA Na Isaack Mbwaga  Maswa  Machi 11,2014   Mhariri Habari Mwananchi Mimea aina ya magugu maji yanatishia kufunika kabisa Lambo la...
Share:

Saturday, 8 March 2014

AFISA ELIMU AWAPA SOMO WALIMU WAKUU

WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI MASWA” WAFUNDWA”NA AFISA ELIMU SEKONDORI –NTAGAYE Waalimu wa shule za Sekondari katika Halimashauri ya Wilaya ya Maswa wameagizwa kuhakikisha na wanafuatilia kwa ukaribu ufundashaji wa Wanafunzi katika Shule zao ili kuinua kiwango cha ufaulu Wanafunzi Kauli hiyo alitolewa hivi karibuni na Afisa Elimu Sekondari wa Halimashauri ya Wilaya ya Maswa  Paulina...
Share:

CCM MASWA, YAONYWA

CCM MASWA  YAWEKA MSIMAMO KWA WAJUMBE WAKE KATIKA UTOAJI WA      MAONI KATIBA MPYA Wakati muda wa  Wajumbe wa Mabaraza ya katiba ngazi ya Wilaya kuanza mchakato wa kutoa maoni kutoka Kata mbalimbali za Wilaya ya  Maswa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Maswa tayari kimeweka msimamo kwa  Wajumbe wanachama wake ambao ni Wajumbe wa Baraza la katiba...
Share:

Thursday, 6 March 2014

MKURUGENZI WILAYA YA MASWA ACHA UBABE

MKURUGEZI MTENDAJI WA HALIMASHAURI YA MASWA, AACHE UBABE KWA WANDISHI WA HABARI Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashuri ya Maswa bibi Hilda Lauwo anataka kuongoza Halimashuri ya Maswa kwa ubabe jambo ambalo halita msaidia kwa namna yoyote katika mustakabali wa Halimashauri hiyo iwapo ataendelea kujenga mazingira hasi kwa wandishi wa Habari Katika hali isiyo ya kawida hivi karibuni alilibeza Gazeti...
Share:

Tuesday, 25 February 2014

BUNGE LA KATIBA; MWAKIFWAMBA, BATULI WAKWAA SKENDO

BUNGE LA KATIBA; MWAKIFWAMBA, BATULI WAKWAA SKENDO Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya WAKATI mchakato wa Bunge la Katiba ukianza leo mjini Dodoma, ishu hiyo imemtia kwenye tope Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba baada ya...
Share:

MBONGO ABAKWA CHINA, AFA

Stori: Mwandishi Wetu AMA kweli dunia hadaa, ulimwengu shujaa! Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na...
Share:

USTADH ALIVYOMCHINJA MTOTO

USTADH ALIVYOMCHINJA MTOTO Stori: Waandishi Wetu KUFUATIA tukio la Ustadh Mohamed Said Ngulangwa (36), mkazi wa Mbagala-Charambe jijini Dar kumchinja mtoto Jamal Salum Ally (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano kisha na yeye kuuawa na wananchi wenye hasira, Uwazi kama kawaida yake lilichimba...
Share:

FAMILIA YA MISS TZ YAGOMBEA MAITI

FAMILIA YA MISS TZ YAGOMBEA MAITI Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima FAMILIA ya Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu, inadaiwa kuingia katika mzozo mkubwa wa wapi pa kumzikia mwanafamilia mwenzao, Emmanuel Lewi Nambuo Temu (33) aliyefariki dunia Februari...
Share:

ASKOFU BILIONEA BONGO ATIKISA

ASKOFU BILIONEA BONGO ATIKISA Stori: Jelard Lucas ASKOFU na Nabii George David ‘Geordavie’ wa Kanisa la Geordavie Ministry ‘Ngurumo ya Upako’ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar hivi karibuni alifanya mkutano mkubwa na kutikisa nchi  kwa kuwa na magari...
Share:

DK. CHENI: FREEMASON WANANITESA

DK. CHENI: FREEMASON WANANITESA MINONG’ONO na uvumi unaotambaa kwa kasi kuwa anajihusisha na taasisi ya wajenzi huru (Freemasons), unazidi kumtesa msanii wa filamu za Kibongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dk. Cheni’ kwa madai ya kwamba anajisikia vibaya anaponyoshewa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger