Wednesday 4 August 2021

Social Worker at Save the Children

Social Worker     CHILD SAFEGUARDING: Level 3: √ the post holder will have contact with children and/or young people either frequently (e.g. once a week or more) or intensively (e.g. four days in one month or more or overnight) because they work country programs; or are visiting country programs; or because they are responsible for […]

This post Social Worker at Save the Children has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Head of Human Resources at TradeMark East Africa

Head of Human Resources    TradeMark East Africa (TMEA) is an ald-for-trade organisa­tion that was established with the aim of growing prosper­ity in East Africa through increased trade. TMEA. which is funded by a range of development agencies, operates on a notfor- profit basis. TMEA is funded by the development agencies of the following countries: […]

This post Head of Human Resources at TradeMark East Africa has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

RC Tabora Atoa Angalizo Kwa Watoa Huduma Wa Chanjo


NA TIGANYA  VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Buriani amewataka wafanyakaziwa sekta ya afya waliopewa jukumu ya kuendesha zoezi la kutoa chanjo ya UVIKO 19 kuwa waadilifu na kufanyakazi kwa uzalendo.

Ametoa kauli hiyo leo wakati wa uzinduzi wa utoaji wa chanjo ya UVIKO kwa makundi mbalimbali iliyofanyika Kimkoa mjini Tabora.

“Naelekeza pia kwa huu mgao wa COVAX FACILITY ni marufuku Hospitali yoyote (ya umma au binafsi) kulipisha Wananchi gharama yoyote katika zoezi hili la chanjo na lifanyike kwa uadilifu na kwa haki kwa walengwa wa sasa” amesisitiza

Balozi Dkt Batilda Buriani amesema kuwa chanjo hiyo kwa sasa zinatolewa kwa kufuata vipaumbele vya makundi yenye uhitaji mkubwa ambayo ni Watumishi wa sekta ya Afya, watu wazima wenye umri wa miaka 50 na kuendelea na  watu wenye magonjwa sugu.

Amesema uchanjaji kwa makundi yote nchini ni wa hiari au huru kwa kila mwananchi.

Balozi Dkt, Batilda amesema Tabora imepata kiasi cha chanjo 30,000 ambazo zitatoa  fursa kwa Wananch ambao wako tayari kuchanjwa kupunguza kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 pamoja na kupunguza hatari ya kupata ugonjwa na madhara makubwa endapo mtu atapata maambukizi.

Amesema kwa Mkoa wa Tabora umeanza rasmi utoaji wa chanjo ya UVIKO-19  tarehe 03 Agosti 2021 katika vituo vilivyoainishwa katika Mkoa ambavyo ni vituo vitatu (3) kwa kila Halmashauri na kufanya Mkoa wa Tabora kuwa na jumla ya vituo 24.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tabora (RMO) Dkt. Honoratha Rutatinisibwa amewataka watu waliochanja kuendelea kuchukua hatua za kujikinga na UVIKO 19.

Amesema katika nchi ambazo wamechanjwa wamepunguza vifo na kulaza wagonjwa.

Kwa upande wa Askofu wa Kanisa la Anglikana Dkt. Elias Chakupewa ameitaka jamii kuacha upotoshaji kuhusu chanjo badala yake waendelee kuwatia moyo wataalamu.


Share:

Fleet and Training Supervisor at TotalEnergies

Fleet and Training Supervisor     Job Description HSEQ   Ensure deployment of the PATROM rules and Branch standards and local regulations. Enforce HSEQ rules and procedures concerning transport activity. Quality Control of products to be within Tanzania quality specifications as per TBS. Participate in accident/incident analyses with the HSEQ Manager. Implement the corrective and preventive […]

This post Fleet and Training Supervisor at TotalEnergies has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Technical Integration Cluster Manager at CVPeople Tanzania

Technical Integration Cluster Manager   Tabora  CVPeople Tanzania | Full time Pact Overview: At the heart of Pact is the promise of a better tomorrow.  The promise of a healthy life.  Of a decent livelihood. Of sustainable natural resources that benefit communities.  Now more than ever in its 42-year history, Pact is helping millions of […]

This post Technical Integration Cluster Manager at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Watatu Waswekwa Rumande Kwa Ubadhirifu Wa Fedha Za Telesenta Sengerema


Na Faraja Mpina, SENGEREMA
Watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema wanaosimamia Redio Sengerema 98.8 FM wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa ubadhirifu wa shilingi Milioni 27,720,000 ikiwa ni bakaa ya shilingi Milioni 103 zilizotolewa na taasisi ya mawasiliano ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kwa ajili ya kuboresha Telesenta ya Sengerema

Maamuzi hayo yametolewa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Mathew baada ya kufika katika Telesenta hiyo na kusomewa taarifa ya matumizi ya fedha hizo iliyoonesha kuna bakaa ya shilingi Milioni 27,720,000 huku taarifa ya kibenki ya akaunti ya kituo hicho ikionesha fedha zote zimetumika na hakuna bakaa yeyote

Aidha, baada ya Mhandisi Kundo kuhoji kwanini taarifa ya kibenki inakinzana na taarifa waliyomsomea ndipo Meneja wa Kituo hicho Sostenes Tangalo kukiri kuwa wakati kituo kinapatiwa fedha na UCSAF suala la kurekebisha studio ya redio halikuwepo lakini katika manunuzi hayo ambayo yalifanyika kwa malipo ya fedha taslimu yaani cash wao wakaona wanunue na vifaa vya kurekebisha studio hiyo pamoja na samani

Baada ya maelezo hayo kuonesha kuna harufu ya ubadhirifu wa fedha za Serikali zilizotolewa na taasisi ya UCSAF ambayo ipo chini ya Wizara hiyo Mhandisi Kundo ameagiza Meneja wa Kituo hicho Sostenes Tangalo, mwanasheria Ilambona Mahuba na Afisa Habari kuwekwa ndani na taratibu za kisheria zifuatwe bila kukiukwa ikiwa ni pamoja na watuhumiwa hao kupewa haki ya kusikilizwa pasipo manyanyaso ya aina yeyote

Sambamba na hilo ametoa maelekezo kwa uongozi wa Wilaya hiyo kuunda kamati maalum ya kuchunguza mchakato mzima wa manunuzi yaliyofanyika itakayowahusisha Ofisi ya TAKUKURU, Usalama, OCD na Wataalam wa TEHAMA na Manunuzi katika wilaya hiyo na taarifa sahihi kuwasilishwa Wizarani

Katika hatua nyingine Mhandisi Kundo ameutaka uongozi wa Wilaya hiyo kutoa ushirikiano kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kupatiwa leseni ya kuendelea kurusha matangazo ya redio hiyo kwasababu leseni zinazotolewa huwa zina muda wa kutumika lakini pamoja na juhudi za TCRA kuwasiliana na uongozi wa redio Sengerema kwa ajili ya taratibu za kufuata zinazohusu leseni uongozi huo umekuwa ukikaa kimya

Mhandisi Kundo amezungumza hayo kujibu changamoto ya kusitishiwa leseni ya kurusha matangazo ya redio hiyo na TCRA iliyowasilishwa na Mbunge wa jimbo la Sengerema Mhe. Hamis Tabasamu

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari





Share:

BENKI YA EXIM YAJIVUNIA MAFANIKIO MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI


Waziri wa Madini Doto Biteko (katikati) akikabidhi cheti cha ushiriki wa Maonesho ya Biashara na Madini kwa Kaimu Meneja wa Benki ya Exim tawi la Shinyanga Bi. Sarah Titoi kiwa ni ishara ya kutambua mchango na ushiriki wa benki hiyo kwenye maonesho hayo yaliyohitimishwa hivi karibuni mkoani Shinyanga. Wengine ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati (kushoto) na Mwenyekiti wa Tume yaMadini Tanzania Prof .Idris Kikula.
Share:

Call Attendants at TANESCO SACCOS

CALL ATTENDANTS – 2 Posts   BACKGROUND: TANESCO Savings and Credit Co-operative Society was established In 1968 and registered un­der the Co-operative Societies Act No 17 of 1968 with registration number No 1843. TANESCO SACCOS is a licensed SACCOS with no. MSP 3-TCDC/2021/00230. TANESCO SACCOS opened up common bond to attract members from public and private […]

This post Call Attendants at TANESCO SACCOS has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 4,2021



Share:

Tuesday 3 August 2021

AVEMARIA BUGULASHI: MJIOLOGIA WA BARRICK MWENYE NDOTO YA KUFIKIA VIWANGO VYA KIMATAIFA


AveMaria Bugulashi
AveMaria Bugulashi (kwanza kushoto) akitoa maelezo kwa Waziri wa Ardhi.Mh.William Lukuvi alipotembelea banda la Barrick katika maonesho ya Sabasaba 2021.

 ***
-Atoa wito kwa vijana wa kitanzania kutoogopa masomo ya sayansi

“Kutokana na kuzaliwa katika mkoa wenye shughuli za uchimbaji wa madini nilijikuta tangu nikiwa mdogo nilitamani nikikua nifanye kazi zinazohusiana na madini, nilipokuwa shule ya sekondari ndoto yangu ilikuwa kusoma masomo yanayohusiana na fani hiyo, nashukuru ndoto yangu imetimia”, anasema Avemaria Bugulashi.

Avemaria Bugulashi, ni mtaalamu wa sekta ya madini katika mgodi wa kampuni ya Barrick wa North Mara, mwenye cheo cha Productive & Reconciliation Geologist, ambaye anaamini kuwa bado sekta ya madini inayo fursa kubwa ya kukuza uchumi wa Tanzania na kuwataka vijana wa kitanzania kutoogopa kusomea fani za sayansi ikiwemo utafiti wa madini ili ziwe na wataalamu wa kutosha.

Katika mahojiano hivi karibuni alisema kuwa alihitimu shahada yake ya kwanza ya Geology mwaka 2007 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ambapo mwaka uliofuata aliajiriwa na kampuni ya Barrick kama Graduate Geologist na baada ya hapo amekuwa akipanda daraja hadi kufikia nafasi aliyonayo hivi sasa.

“Najivunia kufanya kazi kazi na kampuni kubwa ya madini kama Barrick ambapo nimeweza kujifunza mambo mengi kuhusiana na masuala ya utafiti wa madini kupitia mafunzo mbalimbali ya ndani na nje ikiwemo kufanya kazi na wataalamu waliobobea katika fani hii”,anasema.

Anasema kuwa Barrick imewekeza kwa kiasi kikubwa katika matumizi ya teknolojia za kisasa na mifumo ya uchimbaji madini inayotumika katika migodi mingine yote mikubwa duniani kiasi kwamba matumizi ya teknolojia yanafanya kazi kuwa rahisi.

Pia anasema kuwa kampuni Imekuwa ikijali wafanyakazi wake kwa kuwapatia maslahi mazuri na kutoa motisha mbalimbali ambazo zinawafanya wajisikie vizuri na kuwa na maendeleo yao binafsi na familia zao.

“Kampuni pia inazingatia viwango vya kimataifa vya afya na usalama katika maeneo yake ya kazi kiasi kwamba tunafanya kazi katika mazingira mazuri na salama japo tupo sehemu za migodi ambazo bila kuzingatia kanuni za usalama zina uwezekano wa kuwa na ajali nyingi”,anasema.

Anatoa wito kwa kampuni kutoa fursa za wanawake wengi migodini tofauti na sasa ambazo kazi nyingi zinafanywa na wanaume na kuwataka wanawake kujiamini na kuchangamkia fursa za ajira zinapotokea mahali popote na kuondoa dhana kuwa kuna baadhi ya kazi zinapaswa kufanywa na wanaume pekee.

Matarajio yake ya baadaye, anasema anatamani kuwa Mjiolojia (Geologist) wa kimataifa hivyo, atazidi kujiendeleza zaidi kielimu Ili ndoto yake hiyo itimie. Anafurahia mafunzo mbalimbali ya ndani ambayo yanazidi kumjengea uwezo wa kumudu kazi yake vizuri na kuaminika.

Kuhusu mambo anayopendelea nje ya kazi yake anasema anapendelea kukaa na familia yake,kufanya mazoezi na kusoma vitabu na majarida mbalimbali mtandaoni yanayohusiana na fani yake. "Kutokana na mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia ni muhimu kusoma mambo mbalimbali ili usibaki nyuma",alisema.

Mtazamo wake kuhusu sekta ya madini nchini Bugulashi, anaamini pia kuwa sekta hii inazidi kukua, makampuni na wananchi wengi wanapenda kujihusisha na uchimbaji wa madini mbalimbali yaliyopo nchini. Aliipongeza Serikali kwa jitihada inazofanya kuhakikisha madini yanayochimbwa yananufaisha wananchi pia wawekezaji katika sekta hii wanatoa ajira kwa watanzania.
Share:

WAZIRI KABUDI AAGIZA UJENZI WA MAHAKAMA MANYONI UHARAKISHWE


Waziri wa Katiba na sheria Profesa Palamagamba Kabudi   baada ya kupokelewa  na Mkuu wa Mkoa  wa Singida  Dkt.Binilith  Mahenge.
Waziri wa Katiba na sheria Profesa Palamagamba Kabudi  akizungunza na viongozi wa taasisi mbalimbali za utoaji haki mkoani Singida.
Afisa Sheria Mkoa wa Singida Nasemba Mkambazi  akisoma taarifa za taasisi mbalimbali mkoani hapa za utoaji haki
Kikao kikiendelea.
Waziri Kabudi  akiwa  kwenye picha ya pamoja na viongozi  hao.
Waziri Kabudi akiteta jambo na Mkuu wa mkoa wa Singida  Dkt.Binilith  Mahenge.

**
Na Edna Malekela, Singida.

WAZIRI wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi amesema masuala yote yanayohusiana na msingi wa haki za binadamu, demokrasia, maadili kwenye utumishi wa umma na utawala bora vimeainishwa kwenye Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tofauti na kejeli za wapinzani.


Profesa Kabudi alitoa agizo hilo wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani hapa jana, alipokutana na viongozi waandamizi wa mahakama na wadau wa utoaji haki, wakati akikagua hali halisi ya mwenendo wa utoaji haki na utekelezaji wa sheria ya msaada wa huduma za kisheria iliyopitishwa na Bunge mwaka 2017.



Alisema kulingana na Ilani hiyo sura 6 ukurasa wa 161 hadi 181 inazungumzia ajenda ya Utawala Bora, Maadili kwenye Utumishi wa Umma, Rushwa, Demokrasia na Haki za Binadamu na kimsingi Wizara ya Katiba na Sheria ndio msimamizi katika kuhakikisha inapanua wigo kwa kuimarisha huduma hizo.



"Dhana na chimbuko la kuanzishwa kwa sheria ya msaada wa huduma za kisheria alisema ni utekelezaji wa takwa la Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)," alisema Kabudi



Katika hatua nyingine, aliagiza watendaji wa mahakama mkoani hapa kuharakisha mchakato wa kuandaa eneo litakalotumika kwa mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, ambayo pamoja na mambo mengine, inatarajia kujikita katika kushughulikia kesi za ujangili ili kuimarisha ulinzi wa mazingira


Hifadhi ya mto Kizigo uliopo kwenye msitu wa Rungwa wilaya ya manyoni mkoani hapa mbali ya kuwa na vivutio vya wanyama, pia mto huo ni moja ya chanzo muhimu kinachopeleka maji kwenye mto Ruaha ambao hutiririsha maji yake kwenye bwawa la kufua umeme la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere lililopo Rufiji.


"Ujenzi wa mahakama hii ambayo itashughulikia kesi za ujangili, kulinda utajiri wa asili na mali za asili haukwepeki na upo kwenye mpango wa mwaka huu wa fedha, nataka kufikia Ijumaa muwe mmeainisha eneo la ujenzi wake na mmeshughulikia vibali vyote nitafika kukagua," alisema.


Aidha, alisema kabla ya kutungwa kwa sheria hiyo msaada wa kisheria ulikuwa unatolewa kwa wale tu wenye makosa ya jinai, na makosa yenyewe ni yale ambayo adhabu yake ni kifo. Lakini sasa sheria hii mpya imeruhusu na kupanua wigo kwa fursa hiyo kutolewa kwa wananchi wote," alisema.



Kwa mujibu wa Ilani ya CCM pamoja na mambo mengine, imesisitizwa kwamba huduma hiyo ya msaada wa kisheria inapaswa kutolewa kwa kila halmashauri ya wilaya na ulenge zaidi makundi ya wanawake, watoto na wajane.


Kupitia ziara hiyo alikumbusha juu ya takwa la Ilani kuhusu kuimarisha mifumo ya upatikanaji wa haki za kupata elimu, afya, maji safi na salama na nyinginezo huku akiwataka watu kutambua kwamba hizo pia ni haki za msingi za binadamu na si zile za kisiasa pekee ambazo zimezoeleka na wengi.


Pia aliitaka jamii kuwa na mtazamo chanya katika kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa kujitokeza na kutoa ushahidi ili kurahisisha mwenendo wa mashauri hayo.


Akizungumzia suala la uendeshaji wa mashauri kwa kutumia lugha ya Kiswahili, Profesa Kabudi kupitia ziara hiyo alisema kwa sasa wapo kwenye hatua ya kutengeneza kamusi ya kiswahili cha kisheria itakayotafsiri sheria mbalimbali.


"Lugha hii ni fahari kwa taifa, na lengo hasa la kuendelea na hatua ya kutengeneza kamusi na kitabu cha kiswahili cha kisheria ni kuongeza 'access to justice' na tunatarajia mpaka ifikapo Juni 2022 kanuni za sheria mbalimbali zitakuwa zimetafsiriwa," alisema.


Katika hatua nyingine, Profesa Kabudi alionyesha kusikitishwa na namna watumishi walio wengi 'kubananga' (kuharibu) lugha ya kiswahili na kujikuta wakiingiza na kutumia ofisini lugha za mitaani zisizo na fasihi stahiki.


"Nimekasirika, nimefadhaika, nimeghadhabika kuona ndani ya serikali baadhi ya watumishi wameanza kupoteza umahiri wa kuandika kiswahili cha kiserikali na badala yake kinachotumika zaidi ni kile cha mtaani. Napenda ifahamike serikali ina kiswahili chake," alisisitiza na kuongeza;


Miaka ya nyuma ilikuwa mtumishi hawezi kupanda daraja bila ya kufaulu mtihani wa kiswahili kigumu uliotungwa na chuo cha utumishi wa umma magogoni..ni lazima tuanze kujifunza na kuandika nyaraka na miongozo kwa kutumia kiswahili cha serikali.


Awali, Afisa Sheria kutoka Ofisi ya Mkoa wa Singida, Nasemba Mkambazi, alisema miongoni mwa changamoto zinazokabili sekta ya utoaji haki mkoani hapa ni kuwepo kwa Mahabusi wengi katika baadhi ya magereza.


Suala lingine ni kesi nyingi za ukatili wa kijinsia kama zile za ubakaji, ulawiti na kuwapa mimba wanafunzi kukosa ufanisi kutokana na kupata ushirikiano mdogo kwa kukosa mashahidi wa kesi.


Pia Kazen alisema changamoto kama kutokuwepo kwa Mahakama Kuu ndani ya mkoa, uhaba wa vitendea kazi na watumishi wanaohusika na utoaji wa haki jinai, na baadhi ya wilaya kukosa mahakama za wilaya ni pigo na hali hiyo inafifisha ustawi wa utoaji haki.


Waziri Kabudi baada ya kukutana na viongozi waandamizi mkoani hapa anatarajia pia kwa nyakati tofauti kukutana na viongozi na watumishi wote wanaohusika na utoaji haki jinai kwenye wilaya za Ikungi, Iramba, Singida, Mkalama na Manyoni.
Share:

RC MTAKA AWATWISHA MZIGO VIONGOZI KANISA ANGLIKANA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka

Na Dotto Kwilasa, Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amewatwisha mzigo wa mambo makuu  matano viongozi wa dini wa Kanisa Anglikana kwa kuwataka kutimiza wajibu wao  kwa jamii katika masuala ya maendeleo na kuacha alama ya utumishi wao.

Miongoni mwa mambo hayo matano ni kuhamasisha wananchi kukubali kuchanjwa chanjo ya Ugonjwa wa Corona, kusuluhisha migogoro ya ardhi,kujiunga na mifuko ya bima ya afya pamoja na kuhimiza  masuala ya kilimo.

Mtaka ametoa ushauri huo hivi karibuni  katika  Mkutano Mkuu wa Sinodi ,Kanisa Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika uliofanyika katika Kanisa la  Anglikana Mlimwa jijini Dodoma.

Akifafanua hayo Mtaka amewataka  viongozi hao wa dini    kuwashauri waumini wao kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya Corona ambayo imezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesemà wao kama viongozi wa dini ni wajibu wao kuhamasisha masuala ya afya kwa jamii ili Kuondoa dhana ya udanganyifu uliopo ambao lengo lake ni kukwamisha zoezi hilo.

Amesema kuwa kwa viongozi na waumini watakaojitokeza kwenda kuchanjwa ofisi yake itawaandalia utaratibu mzuri wa kupata chanjo hiyo bila matatizo.

"Niwatoe  hofu kuwa chanjo hiyo ni salama na ndiyo maana Rais Samia Suluhu Hassani ameizindua kwa kuanza kuchanjwa yeye,suala la uhai wa mtu ni mtu mwenyewe, mtu si mali ya kanisa wala serikali ukifa anaondoka mwenyewe  duniani analiacha kanisa na nchi,"amesemà Mtaka.

Pamoja na mambo mengine Mtaka, amewahamasisha viongozi na waumini wao kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kupata unafuu wa matibabu pindi wanapopata udhaifu wa kiafya.

Aidha ametumia nafasi hiyo pia kueleza makakati wake wa kuinua zao la alizeti ikiwa ni Pamoja na  umuhimu wa kuijakinisha Dodoma kwa kutoa wito kwa kila  kiongozi na muumini kupanda miti ya kivuli na matunda katika makazi yao.

"Viongozi wa dini mnasimama mahali popote,nawaomba muisaidie Serikali kumasisha jamii kuachana na migogoro ya ardhi na badala yake kujikita kuendelea na juhudi za kujiletea maendeleo,"amesemà.

Kutokana na hayo ,Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Central Tanganyika, Dk Dickson Chilongani amemhakikishia mkuu huyo wa Mkoa kuwa watahakikisha wanasimamia yote aliyowaagiza .
Amesema ,ili jamii iwe na amani Kama ambayo wao husimamia neno hilo,lazima Viongozi wa dini wakubali kushirikiana na Serikali ikiwa ni pamoja na kufuata Sheria za nchi.


Share:

Human Relations Manager at Shree Hindu Mandal

Job Summary   Position: Human Relations Manager Reports to:  CEO Responsible for:  Staff employed at the SHM Hospitals Work station:  Dar es Salaam Institute overview Shree Hindu Mandal DSM [SHM] is a charitable organization formed in 1919 by the Hindu community in Dar es Salaam with the objective of welfare of her members. It grew and […]

This post Human Relations Manager at Shree Hindu Mandal has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Freelancer Sales Executive at Guardian Limited

Freelancer Sales Executive 7 Posts   The Guardian Limited is looking for self driven sales personnel to join our advertising Sales Team in Dar es Salaam, Dodoma, Arusha, Zanzibar, Tanga, Morogoro and Kilimanjaro. Responsibilities   Be responsible for aggressive development of new clients and growing existing business. Proactively develop new business avenues Devise and monitor business […]

This post Freelancer Sales Executive at Guardian Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

ORODHA YA VITUO VITAKAVYOTOA CHANJO YA CORONA MKOA WA SHINYANGA

Share:

Wakurugenzi Wapya wa Halmashauri za Jiji, Manispaa , Miji na Wilaya Watakiwa Kuripoti Makao Makuu TAMISEMI



Share:

Spika Job Ndugai Aomboleza Kifo Cha Waziri Kwandikwa



Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger