Saturday 24 July 2021

ANNA MGWIRA KUZIKWA JUMATATU ARUSHA


Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, na mgombea Urais nchini Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, Anna Elisha Mghwira anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake jijini Arusha Jumatatu Julai 26 ,2021.

Mghwira alifariki dunia Julai 22,2021 katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru jijini Arusha alikokuwa akipatiwa matibabu.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema mkoa huo umebeba jukumu la kuandaa mazishi ya Mghwira.
Share:

KCMC Online application 2021/2022 – How to apply to Kilimanjaro Christian Medical College KCMC [Step by step guide]

KCMC Online application 2021/2022: The eagerly awaited moment, the KCMC admission 2020/2021 season has come, this is one of the most essential times of the year to students who wish to pursue undergraduate studies at the Kilimanjaro Christian Medical College (KCMC). It is this time of the year that determines student’s future and hence students […]

This post KCMC Online application 2021/2022 – How to apply to Kilimanjaro Christian Medical College KCMC [Step by step guide] has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

ITA Online application 2021/2022 – How to apply ITA

ITA Online application 2021/2022: The eagerly awaited moment, the ITA admission 2021/2022 season has come, this is one of the most essential times of the year to students who wish to pursue undergraduate studies at the Institute of Tax Administration (ITA). It is this time of the year that determines student’s future and hence students […]

This post ITA Online application 2021/2022 – How to apply ITA has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

ISW Online application 2021/2022 – How to apply ISW

ISW Online application 2021/2022: The eagerly awaited moment, the ISW admission 2021/2022 season has come, this is one of the most essential times of the year to students who wish to pursue undergraduate studies at the Institute of Social Work (ISW). It is this time of the year that determines student’s future and hence students […]

This post ISW Online application 2021/2022 – How to apply ISW has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

IRDP Online application 2021/2022 – How to apply IRDP

IRDP Online application 2021/2022: The eagerly awaited moment, the IRDP admission 2021/2022 season has come, this is one of the most essential times of the year to students who wish to pursue undergraduate studies at the Institute of Rural Development Planning (IRDP). It is this time of the year that determines student’s future and hence […]

This post IRDP Online application 2021/2022 – How to apply IRDP has been posted by Udahiliportal

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

WAZIRI ALLY AFARIKI DUNIA, MAZISHI KUFANYIKA KESHO KWAO PONGWE


Waziri Ally wakati wa uhai wake

Aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa Kilimanjaro Band maarufu kama Njenje Waziri Ally amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam.

Taarifa kamili kuhusu ratiba ya mazishi yake iliyotolewa na Aboubakary Liongo kwa niaba ya familia inaeleza kuwa.

"Ndugu na jamaa wote kukutana Mwananyamala Hospitali asubuhi hii, tunatarajia mwili utasafirishwa leo saa tano asubuhi kwenda Tanga ambako msiba utakuwa barabara ya 21 karibu na kiwanda cha Chuma zamani na mazishi yatakuwa kesho Jumapili kijijini kwao Pongwe".
Share:

Senior Digital Health Advisors at Pathfinder International Tanzania

Senior Digital Health Advisor Job Category: Monitoring, Evaluation & Learning Requisition Number: SENIO01151 Posting Details Posted: July 21, 2021 Full-Time Locations   Watertown, MA, USA Dar es Salaam, Tanzania Dar es Salaam, TZA Washington, DC, USA DHA , Karachi, PAK Cairo, Egypt Cairo, EGY Nairobi, Kenya Nairobi, KEN Maputo, Mozambique Maputo, MOZ Niamey, NER Kampala, […]

This post Senior Digital Health Advisors at Pathfinder International Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Executive Director of Digital Health at Pathfinder International Tanzania

Executive Director of Digital Health Job Category: Executive Leadership Requisition Number: GLOBA01153 Posting Details Posted: July 21, 2021 Full-Time Locations   Washington, DC, USA Watertown, MA, USA Dar es Salaam, Tanzania Dar es Salaam, TZA Dhaka, Bangladesh Dhaka, BGD Ouagadougou, BFA Abidjan, Cote d’Ivoire Abidjan, CIV Kinshasa, Democratic Republic of the Congo Kinshasa, COD Cairo, […]

This post Executive Director of Digital Health at Pathfinder International Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Various Posts at Zuri Zanzibar Resort

Job Opportunities at Zuri Zanzibar Resort. Zanzibar is an archipelago in the Indian Ocean, lying on the eastern coast of Tanzania, which consists of Unguja and Pemba, the two largest islands, and about 50 smaller isles and sand banks. With just a few degrees dividing Zanzibar from the Equator, the tropical climate offers warm sunshine […]

This post Various Posts at Zuri Zanzibar Resort has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Graduate in Training (GIT) Program at Coca-Cola Kwanza

Graduate in Training (GIT) Program     Coca-Cola Kwanza is looking to place outstanding recent graduates into a one year Graduate in Training (GIT) program across exciting role opportunities including finance, logistics, manufacturing, and sales intelligence functions. This program will help develop world class leaders through functional and cross functional rotation, challenging assignments, business projects, integrated […]

This post Graduate in Training (GIT) Program at Coca-Cola Kwanza has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Operations Manager at Frankfurt Zoological Society (FZS)

 Operations Manager   FZS  Nyerere – Selous Conservation Project (NNP) (2 year post) Job Advertisement FZS Vision in Tanzania: Frankfurt Zoological Society (FZS) works in Tanzania to support its government partners to conserve wildlife and ecosystems focusing on protected areas and outstanding wild places. We work with and for people to secure biodiversity in key […]

This post Operations Manager at Frankfurt Zoological Society (FZS) has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULAI 24,2021








































Share:

Friday 23 July 2021

ALIYEIBA GARI NA KUTAMBA NALO MTAANI AGONGA NA KUUA WANAWAKE WANNE

Wanawake waliofariki dunia kwa kugongwa na gari
**
 Wakazi wa Kiharu katika huko Murang'a nchini Kenya wanaomboleza kifo cha wanawake wanne waliofariki dunia walipokuwa wakirudi nyumbani kutoka kanisani na gari lililokuwa limepoteza mwelekeo likiendesha na kijana mdogo aliyeiba gari hilo nyumbani kwao bila idhini ya wazazi wake.

Tukio hilo la kusikitisha ambalo lilipelekea kifo cha Jane Waiego, Mary Njeri, Margret Karura Waithaka na Mary Waithera limetokea Jumapili, Julai 18,2021.

 Ripoti ya NTV ilionyesha kuwa gari hilo lilikuwa likiendeshwa kundi la vijana ambao walitoweka pindi tu baada ya kutokea kwa ajaili hiyo kwenye ya barabara ya Murang'a- Kangema.

 Ripoti hiyo pia ilionesha kwamba mvulana aliyekuwa mdogo zaidi kati ya wenzake alikuwa amelichukua gari hilo kwao bila idhini ya wazazi wake.

Wanawake watatu walifariki dunia papo hapo naye mmoja alipoteza maisha yake akipokea matibabu katika hospitali ya rufaa ya kaunti ya Murang'a. 

Gari hilo lilipelekewa katika kituo cha polisi cha Murang'a huku uchunguzi ukianza rasmi.

 Familia zao zinaomba msaada wa kuandaa mazishi ya wanne hao.

 Tukio hilo linajiri takriban mwezi mmoja baada ya maafisa wa polisi kumkamata jamaa ambaye mtoto wake alinaswa kwenye kamera akiendesha gari la Toyota Prado TX katika eneo la Delview Park huko Thika.

 Kwenye video iliyosamba Jumapili, Juni 13, kijana huyo wa miaka saba alionekana akiendesha gari hilo la kifahari bila wasiwasi wowote huku akibadilisha gia kama mtaalamu.

 Kulingana na ripoti ya polisi, Ayub Kinyanjui Muigai alikamatwa katika eneo la Gatanga na maafisa wa trafiki kutoka Kikwara wakishirikiana na makachero wa DCI.

Chanzo - Tuko News
Share:

TANGA UWASA YAKUTANA NA WADAU KUPATA MAONI YA MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA

 

MKURUGENZI wa Tanga Uwasa Mhandisi Geofrey Hilly akizungumza wakati wa kikao cha wadau kilichofanyika leo kwenye ofisi zao za  Mwakidila  Jijini Tanga kulia ni Meneja wa Huduma kwa Wateja Tanga Uwasa Alawi Ahmed  kushoto Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Chumbageni (CCM) Jijini Tanga  Saumu Bendera

 

Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Chumbageni (CCM) Jijini Tanga  Saumu Bendera akizungumza wakati wa mkutano huo kulia ni MKURUGENZI wa Tanga Uwasa Mhandisi Geofrey Hilly akifuatiwa na  Meneja wa Huduma kwa Wateja Tanga Uwasa Alawi Ahmed
Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu Tanga Uwasa CPA Hussein Ubbena akizungumza wakati wa mkutano huo
Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala akizungumza wakati wa kikao hicho
Sehemu ya watendaji na madiwani wa Viti Maalumu (CCM) wakifuatilia kikao hicho


MKUTANO wa Wadau wa Tanga Uwasa kwa ajili ya kupata maoni kuhusu mkataba wa huduma kwa mteja ambao umefanyiwa marejeo mwaka 2021 umefanyika leo Jijini Tanga kwa kuwashirikisha Madiwani wa viti Maalumu,Maafisa Tarafa wa Jiji la Tanga na Maafisa Watendaji wa Kata.

Akizungumza wakati akifungua mkutano huo,Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly alisema wameamua kukutana na viongozi hao kwa sababu wana watu wengi ambao wanawawakilisha na maoni yao ni kwa ajili ya wananchi wote na sio yao tu.

Alisema kwa sababu wao ndio viongozi waliopo kwenye maeneo hayo hivyo wajitahidi kuhakikisha ushiriki wao kwenye mkutano huo unakuwa na tija kubwa na sio bora mambo yaende hivyo hakikisheni mnatumia vizuri uwepo wenu.

“Tunazungumzia mkataba wa huduma kwa mteja amesema mwenyekiti hapa ni utawala bora lazima mnapokuwa mnapeana huduma muwe na kitu ambacho kinawaunganisha na kitu kinatuunganisha ni huu mkataba haki na wajibu wa pande zote mbili mtoa huduma na mpokeaji wa huduma “Alisema

Alisema wawasilishaji wa mada watawapitisha ili iwe rahisi kwenu kueleza muundo wa mkataba upoje?haki na wajibu upoje,zawadi na adhabu zipoje na mwisho wa siku ukikiuka mkataba tunakufanyaje hayo mambo yote inabidi tuyajadili kwa pamoja leo hapa“Alisema

Aidha alisema huo mkataba ni kwa wale watu ambao wana huduma na wale ambao bado hawana maana mwisho wa siku wataomba kwa ajili ya kuunganishiwa maji kwa sababu kuna vitu ambavyo anapaswa kufanya yeye na mtoa huduma na ukishafahamu hivyo itakuwa rahisi.

“Hiki ni kikao cha wadau tunakaa kwa ajili ya kupitia kwa sababu ni zoezi shirikishi na watakapomaliza hapo wataenda kukutana na wadau wengine halafu baada ya maoni yao yakishafanyiwa kazi yatapelekwa kwa mdhibiti Ewura kwa ajili ya kupitishwa rasmi na baadae watatengeneza vitabu watavigawa kwa wadau wao kwenye ofisi mbalimbali ikiwemo za Kata na watatoa nakala za kutosha ili kila mmoja aweze kupata.

Awali akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti wa Kikao hicho ambaye pia ni Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Chumbageni (CCM) Jijini Tanga Saumu Bendera alisema madhubuti ya mkutano huo ni kupitia maboresho ya mkataba kwa wateja .

Alisema kama wanavyojua maboresho mkataba ni kwamba mteja kuna haki na wajibu na pia vilevile mtoa huduma hivyo ni jambo jema ambalo linawapa wigo mpaka wa kutambua mambo mbalimbali.

Alisema kama wanavyojua Serikali imekuwa ikifanya maboresho ya kila siku na huo maana yake ni utawala bora kwa hiyo wamefika kama wadau kuweza kusikiliza maboresho hayo na wao wajue haki zao na wajibu wao na pia mtoa huduma na baadae watapitia na kuchangia.

Naye kwa upande wake,Afisa Uhusiano wa Tanga Uwasa Devotha Mayala akizungumza katika mkutano huo wakati akiwasilisha mada ya Mkataba wa Huduma kwa Mteja wa Tanga Uwasa.

Alisema kwamba mkataba wa huduma kwa mteja unatakiwa kufanyiwa maboresho kila baada ya miaka mitatu na maboresho hayo yanapofanyika lazima wadau wahusishwe kuhusiana na nini ambacho kinajiri.

Alisema watawapitisha kwenye mkataba wote ili wapate kufahamu na kuona huo mkataba umehusisha nini na nini na maeneo gani ambayo yamefanyiwa maboresho.

Awali akizungumza wakati akiwasilisha mada kuhusu Haki na Wajibu wa Mteja Tanga Uwasa Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu Tanga Uwasa CPA Hussein Ubbena alisema lengo la mkutano huo ni matakwa ya sheria kwamba serikali inataka Taasisi zake zote zinazotoa huduma ziwe zinaingia mikataba ya huduma bora na wateja wake hivyo leo walikuwa wanatimiza takwa hilo la kisheria.

Alisema kwamba Mamlaka iliandaa mkataba wao wa kutoa huduma na leo wamefanya wasilisho kwa wadau ambao ni watendaji wa serikali za mitaa na madiwani viti waliwasilisha mkataba ambao waliitengeza kama drafti ili waweze kupata maoni yao jinsi ya kuuboresha na hatimaye uweze kutumika.


Share:

Picha : MATUKIO KUTOKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA –JIJINI DAR ES SALAAM LEO JULAI 23 2021


Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bw. Nyakimura Muhoji (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa baadhi ya Wanachama wa TUGHE Tawi la Tume ya Utumishi wa Umma, Ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam. (Picha na PSC).
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji (mstaafu) Mheshimiwa Dkt. Steven J. Bwana (wa tano kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi Hodari wa Tume baada ya kuwakabidhi Hati zao za Mfanyakazi Hodari wa Tume ya Utumishi wa Umma kutoka TUGHE kwa mwaka 2020/2021. Kushoto ni Bw. Nyakimura Muhoji, Katibu wa Tume. Hafla ya kuwakabidhi Hati hizo imefanyika leo Jijini Dar es Salaam. 
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma Jaji (Mstaafu) Mheshimiwa Dkt. Steven J. Bwana (kushoto) akizungumza na Wafanyakazi Hodari wa Tume ya Utumishi wa Umma (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam baada ya kuwakabidhi Hati zao za Ufanyakazi Hodari kwa mwaka 2020/2021 zilizotolewa na TUGHE, pamoja naye ni Bw. Nyakimura Muhoji (wa pili kushoto) Katibu wa Tume, Bw. Gift Lyimo (Afisa Utumishi) na Bw. Charles Mulamula, Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume. 
Bw. Nyakimura Muhoji, Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma akiwashukuru baadhi ya Wanachama wa TUGHE Tawi la Tume ya Utumishi wa Umma (hawapo pichani) waliofika Ofisini kwake leo kutoa shukrani kwa kuwa mwanachama wa TUGHE na kwa kutambua mchango wake alioutoa kwa Tume.
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji (Mstaafu) Dkt. Steven J. Bwana (kushoto) akimpongeza baada ya kumkabidhi Hati ya Mfanyakazi Hodari iliyotolewa na TUGHE, Bi. Nuru Abdallah Hanti (kulia) Afisa Utumishi (Idara ya Rufaa na Malalamiko) Tume ya Utumishi wa Umma aliyechaguliwa kuwa mfanyakazi bora na hodari wa Tume kwa mwaka 2020/2021, hafla imefanyika leo Jijini Dar es Salaam. 
Dkt. Garvin Kweka (wa kwanza kushoto) kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Kitengo cha Figo akifafanua jambo kwa Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Umma leo wakati wa mafunzo kuhusu UKIMWI/VVU mahali pa kazi yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. 
Dkt. Garvin Kweka kutoka Kitengo cha Figo, Hospitali ya Taifa Muhimbili akifafanua jambo kwa Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Umma (hawapo pichani) wakati wa mafunzo kuhusu UKIMWI/VVU kwa Wafanyakazi wa Tume leo Jijini Dar es Salaam.
Bi. Celina Maongezi (kulia) Katibu Msaidizi, Tume ya Utumishi wa Umma akipima afya na VVU kwa hiari wakati wa mafunzo kuhusu UKIMWI yaliyotolewa leo kwa Watumishi wa Tume, kushoto ni Dkt. Hamdani Kanaya kutoka Maabara ya TAMISEMI.  (Picha na PSC).
Share:

MBUNGE WA CHALINZE ATEMBELEA SHULE YA KIWANGWA ILIYOUNGUA MOTO


Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Mkoani Pwani Ridhiwan Kikwete akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Hajat Mwanaasha Tumbo leo Julai 23,2021 wamefika katika Shule ya Sekondari Kiwangwa na kujionea athari zilizotokana na moto ulioteketeza bweni la wasichana shuleni hapo ambapo wameazimia kurejesha mazingira katika hali yake ya kawaida ili watoto waendelee na masomo.

"Nimefika eneo la Shule ya Sekondari ya Kiwangwa kushuhudia uharibifu uliotokana na Moto uliounguza Bweni la Wasichana shuleni hapo. Shuleni hapo nimekutana na Katibu Tawala wa Mkoa Pwani Hajat Mwanaasha Tumbo. Tumejipanga kudhibiti na kuhakikisha hali inarudi vizuri kimasomo",alisema Mbunge wa Chalinze, Kikwete.

Bweni la wasichana Shule ya Sekondari Kiwangwa, lilishika moto na kuteketea kabisa usiku wa kuamkia leo Julai 23,2021 na hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hiyo.
Jengo la Bweni lililivyoteketea
Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete akizungumza na uongozi wa shule na mkoa
Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete akizungumza na uongozi wa shule na mkoa
Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete akitembezwa.
Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete akizungumza
Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Hajat Mwanaasha Tumbo (mwenye babibui nyeusi) akizungumza.
Share:

Mfanyabiashara Tabora Atiwa Mbaroni Kwa Kukutwa Akiuza Vifaa Tiba na Dawa Ambazo ni Mali ya Serikali


Na Lucas Raphael,Tabora  -TDMA
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba kanda ya magharibi imefanikiwa kumkamata mfanyabiashara Zakayo Bagomwa aneyemiliki Duka la Dawa  muhumu ilinaloitwa Maliza na Yesu  akiuuza dawa za kifua kikuu TB ,kadi za kliniki za Kina mama Wajawazito, kutoa huduma za matibabu ndani ya duka , vifaa tiba mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kenya vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 4,869,900.

Akizugumza na waandishi wa habari leo Kaimu meneja wa Mamlaka ya hiyo kanda ya magharibi Christopher Migoha alisema kwamba tukio hilo litokea julai 20 mwaka huu mara baada ukaguzi maalumu wa duka la dawa katika Kijiji cha Kanindo, Kata ya Kanindo, Tarafa ya Ulyankulu, Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Mkoa wa Tabora.

Alisema kwamba katika duka hilo  walikuta  Dawa za Serikali ya Tanzania zikiwa zimetunzwa na kuhifadhiwa kwa ajili ya kuuzwa kinyume cha Kifungu cha 312(1) cha Kanuni ya Adhabu Sura 16.

Alisema kuwa walikuta Vitendanishi vya kupima UKIMWI pamoja na Vitendanishi vya kupima Malaria ambavyo ni Mali ya Serikali ya Tanzania vikiwa vimehifadhiwa na kutunzwa kwa ajili ya kuuzwa kinyume cha Sheria.

Aidha kaimu meneja huyo alisema kwamba kwenye duka hilo kulikuwa na  Dawa zisizosajiliwa kutumika nchini zikiwa zimehifadhiwa na kuuzwa kinyume cha Sheria 

Migoha aliendelea kusema kwamba ndani duka  walikuta dawa mali ya Serikali ya Kenya zikiwa zimetunzwa na kuhifadhiwa kwa ajili ya kuuzwa  .

Alisema kwamba ndani ya duka hilo walikuta dawa zisizoruhusiwa kuuzwa katika maduka ya dawa muhimu na kukuta  dawa zikiwa zimetunzwa na kuhifadhiwa kwa ajili ya kuuzwa kinyume cha kanuni ya 63 ya Makundi ya Dawa ya Mwaka 2015.

Hata hivyo meneja huyo wa kanda ya magharibu alisema kwamba walikuta  dawa zilizokwisha muda wake wa matumizi zikiwa zimetunzwa na kuhifadhiwa kwa ajili ya kuuzwa kinyume cha Kifungu cha 75(1) cha Sheria ya Dawa na Vifaa Tiba Sura 219.

Alisema kwamba mmiliki hyo hakuweza kuwasilisha risiti za manunuzi wala mauzo ya dawa zote alizokutwa nazo kinyume cha  Kanuni za Uendeshaji wa Biashara ya Dawa za Binadamu.

Migoha aliendelea kusema kwamba kulikutwa Vifaa Tiba ambavyo ni Seti ya  kufanyia tohara vikiwa vimetunzwa kinyume cha Sheria pamoja na dawa za wangojwa wa kifuu kikuu ambazo hazikustahili kuwepo ndani ya duka hilo wala kuunzwa kwenye maduka ya dawa muhimu.

Aidha aliwataka wadau  wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA) na  Wafanyabiashara wote wa bidhaa za Dawa, Vifaa tiba na Vitendanishi kufanya biashara zao kwa kuzingatia Sheria ya Dawa na Vifaa tiba Sura 219 pamoja na Sheria zingine    .


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger