Monday 17 January 2022

BIBI ATAMANI KUZAA MTOTO NA KIJANA WA MIAKA 24


Bibi Cheryl McGregor na mume wake Quran McCain

Bibi Cheryl McGregor mwenye miaka 61, watoto 7 na wajukuu 17 anapanga kupata mtoto mwingine kwa njia mbadala ya kupandikiza (surrogacy pregnacy) na mume wake Quran McCain mwenye miaka 24.

Wawili hao wanasema wamejaribu kutafuta mtoto kwa njia ya kawaida hawajafanikiwa hivyo wanaangalia mwanamke atakayekuwa tayari kufanya hivyo waingie mkataba kwenye suala hilo.

Pia wanasema familia yao inawasapoti kwa kiasi kikubwa katika uamuzi wao huo wa kutaka kuwa na mtoto.

Chery na Quran walikutana mwaka 2012 wakati wanafanyakazi pamoja na wamepishana miaka 37.
Share:

MBUNGE SANTIEL KIRUMBA AZINDUA SACCOS YA UWT KAHAMA...ATOA BIMA ZA AFYA, MIL 5 KUWAPIGA TAFU


Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akijiandaa kumkabidhi shilingi Milioni 5 Mwenyekiti wa SACCOS ya UWT Kahama,  Ashura Ally (katikati) wakati akizindua SACCOS ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa CCM (UWT) wilaya ya Kahama. 

Na Mwandishi wetu - Kahama
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba amezindua SACCOS ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa CCM (UWT) wilaya ya Kahama huku akikabidhi shilingi Milioni 5 kwenye SACCOS hiyo ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kuwaunga mkono kwenye SACCOS hiyo ili waweze kujikwamua kiuchumi.

Mhe. Santiel Kirumba amezindua SACCOS hiyo ya UWT wilaya ya Kahama yenye jumla ya wanachama 133 kutoka kata 58 za wilaya ya Kahama, Jumamosi Januari 15,2022 wilayani Kahama.

Mhe. Santiel Kirumba pia ametoa bima za afya na kuzindua bima kwa wanawake wa kata 58 za wilaya ya Kahama kwa wanachama 133 wa SACCOS ya UWT wilaya ya Kahama.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa SACCOS ya Kahama, Ashura Ally Hati ya Usajili wa SACCOS ya UWT Kahama ‘SACCOS ya Wanawake Wilaya ya Kahama wakati akizindua SACCOS ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa CCM (UWT) wilaya ya Kahama.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akizungumza wakati akizindua SACCOS ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa CCM (UWT) wilaya ya Kahama. Mhe. Santiel alichangia shilingi Milioni 5 ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kuwaunga mkono kwenye SACCOS hiyo ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akizungumza wakati akizindua SACCOS ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa CCM (UWT) wilaya ya Kahama. Mhe. Santiel alichangia shilingi Milioni 5 ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kuwaunga mkono kwenye SACCOS hiyo ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akimkabidhi shilingi Milioni 5 Mwenyekiti wa SACCOS ya UWT Kahama  Ashura Ally wakati akizindua SACCOS ya Umoja wa Wanawake Tanzania wa CCM (UWT) wilaya ya Kahama. 
Mwenyekiti wa SACCOS ya UWT Kahama  Ashura Ally akionesha shilingi Milioni 5 zilizotolewa na Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba  ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kuwaunga mkono kwenye SACCOS hiyo ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba (kushoto) akikabidhi kadi za bima ya afya kwa mmoja wa wanawake wa UWT Kahama
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba (kushoto) akikabidhi kadi za bima ya afya kwa mmoja wa wanawake wa UWT Kahama
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba (kushoto) akikabidhi kadi za bima ya afya kwa mmoja wa wanawake wa UWT Kahama
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba (kushoto) akikabidhi kanga za Mhe. Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya wanawake wa UWT Kahama
Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba akizungumza na wanachama wa UWT Kahama




Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger