Friday 24 January 2020

Wamiliki Wa Viwanda Watakiwa Kutoa Kushirikiano Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu

Na: Mwandishi Wetu
Wamiliki wa Viwanda nchini wametakiwa kutoa ushirikiano wa kutosha katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kukuza sekta hiyo ambayo imekuwa ni chachu ya maendeleo kwa Taifa.

Maagizo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshugulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (Mb) alipokuwa akifungua Mkutano wa Tatu wa wa Baraza la Tano la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu ambapo alipokea taarifa ya changamoto ambazo Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekuwa ikikabiliana nazo ikwemo suala la wenye viwanda kutokutoa ushirikiano wakati ofisi hiyo inapokusanya takwimu viwandani.

Waziri Mhagama alieleza kuwa Serikali imejiwekea mikakati maalumu katika kukuza sekta ya viwanda, ili kufikia maendeleo ya sekta hiyo taarifa sahihi zenye takwimu zilizochakatwa ni muhimu zikawepo katika kufanya maamuzi stahiki na kupanga mikakati ya maendeleo.

“Ili kufikia lengo la kuinua uchumi wa nchi, ni muhimu wenye viwanda wakatambua umuhimu wa uwepo wa takwimu sahihi ambazo zitaleta tija na ustawi wa sekta hiyo na hayo yamejidhihirisha hasa kupitia dhamira ya Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli katika kukuza uchumi wa nchi kupitia viwanda,” alieleza Mhagama

Aliongeza kuwa uwepo wa ushirikiano huo utaleta tija na ustawi wa sekta hiyo kutokana na upatikanaji wa taarifa za takwimu mbalimbali kuhusina na viwanda vilivyopo nchini ikiwemo tafiti za uzalishaji wa viwanda, kujua masula ya ajira, ujuzi ambao haupo nchini na umekuwa ukitoa ajira kwa wageni wa nje na pia kujua mahusiano ya ukuaji wa uchumi na sheria za kazi zinavyoshahabiana.

Sambamba hayo Waziri Mhagama ametoa maagizo kwa Kamishana wa Kazi kuhakikisha anashirikiana na kuwahusisha wataalamu wa takwimu wanapokuwa wanafanya kaguzi kwenye viwanda mbalimbali hapa nchi ili takwimu zitakazokuwa zinahitajika ziweze kupatina.

 “Jukumu kubwa mlilonalo wakati huu ni kuwapatia elimu ili watambue umuhimu wa kuwepo kwa takwimu za sekta hiyo na baada yah apo watakuwa na uelewa kuwa ni wajibu wao kutekeleza suala hilo kisheria,” alisema Mhagama

Naye Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa alieleza kuwa ushirikiano utakao kuwepo baina ya wataalamu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Idara ya Kazi na Wizara ya Viwanda na Biashara utasaidia kuimarisha njia bora ya ukusanyaji wa takwimu za sekta hiyo.


Share:

Senior Tax Associate at KPMG East Africa

KPMG is a leading provider of professional services, which include audit, tax and advisory. The aim of KPMG is to inspire confidence and empower change. KPMG has a notable ‘African Footprint’ and is well used to serving clients across the continent. Our East Africa practice comprises Tanzania, Kenya, Uganda and Rwanda. We are seeking dynamic individuals to take… Read More »

The post Senior Tax Associate at KPMG East Africa appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jobs at the US Embassy Tanzania -January 2020

Jobs at the US Embassy Tanzania -January 2020   Supervisory Budget Analyst/Accounting Technician-Click here to Apply The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position of Supervisory Budget Analyst/ Accounting Technician in the Financial Management Section. Salary:(TZS) TSh48,361,493/Per Year Series/Grade:LE – 0405 – 9 Agency:Embassy Dar Es Salaam Position Info: Location:Dar… Read More »

The post Jobs at the US Embassy Tanzania -January 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa January 24



















Share:

Rocktools Manager Job Vacancy at Sandvik Mwanza Tanzania

Sandvik Mining and Rock Technology is looking for a Rocktools Manager Currently we have an opening for a Rocktools Manager located in Mwanza, Tanzania. The successful applicant will be responsible for managing the sales, distribution, implementation and profitability of the Rock Tools department. This role is crucial in the technical and application support for Rock Tools within the business area.… Read More »

The post Rocktools Manager Job Vacancy at Sandvik Mwanza Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Child Protection Coordinator Job vacancy at Save the Children Kigoma- Tanzania

Child Protection Coordinator Job Vacancy at Save the Children Kigoma- Tanzania Job Description Child Protection Coordinator – (200000KH) TITLE: CHILD PROTECTION COORDINATOR TEAM/PROGRAMME: Child Protection LOCATION: Kigoma region Refugee Camp GRADE: 3 CONTRACT LENGTH: 1 year, renewable CHILD SAFEGUARDING: Level 3: the post holder will have contact with children and/or young people either frequently (e.g. once a week… Read More »

The post Child Protection Coordinator Job vacancy at Save the Children Kigoma- Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Thursday 23 January 2020

PHYSIOTHERAPIST ASSISTANT – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST PHYSIOTHERAPIST ASSISTANT – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Receiving and preparing patients on the area of physiotherapy; (ii)Preparing a room/space for patients treatment; (iii)Establishing patients’ records before start receiving treatmen; (iv)Offering physiotherapy treatment under the guidance of the physiotherapist such… Read More »

The post PHYSIOTHERAPIST ASSISTANT – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

NURSING OFFICER II – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST NURSING OFFICER II – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Providing health education to patients and relatives; (ii)Communicating effectively internally and externally; (iii)Ensuring that prescribed instructions are carried out; (iv)Setting and communicating standards of nursing care to the ward/department; (v)which are… Read More »

The post NURSING OFFICER II – 1 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

NURSE II – 3 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST NURSE II – 3 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Delivering quality health care to patients; (ii)Creating and maintaining harmonious working environment to all personnel; (iii)Liaising with staff in other disciplines who are contribution towards promoting well-being of patients; (iv)Involving patients and… Read More »

The post NURSE II – 3 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

ASSISTANT NURSING OFFICER II – 7 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC)

POST ASSISTANT NURSING OFFICER II – 7 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Delivering high quality nursing care to patients; (ii)Organizing and assisting clients and relatives towards patients’ well-being; (iii)Creating and maintaining harmonious working environment to all personnel; (iv)Liaising with staff in other… Read More »

The post ASSISTANT NURSING OFFICER II – 7 POST | KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE(KCMC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

LIVE: Hafla Ya Kukabidhi Nyumba Za Maafisa Na Askari Wa Magereza . Ukonga Dsm

LIVE: Hafla Ya Kukabidhi Nyumba Za Maafisa Na Askari Wa Magereza . Ukonga Dsm


Share:

Nafasi MPYA Za Kazi 200 Zilizotangazwa Mwezi Huu...Zipo za Benki na Mashirika Mbalimbali....BOFYA HAPA

Share:

Halmashauri Ya Wilaya Ya Ushetu Yapisha Bajeti Ya Shilingi Bilioni 30.7 Kwa Mwaka Wa Fedha 2020/21

SALVATORY NTANDU
Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Ushetu mkoani Shinyanga imepitisha Makadirio ya bajeti ya shilingi bilioni 30.744  itakayotumika katika mwaka wa fedha 2020/2021 ikiwa na ongezeko la asilimia 16 ya bajeti ghafi ya mwaka 2019/2020.

Akisoma Bajeti  hiyo Jana Januari 21 mwaka huu  kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu, Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo Adrew Hagamu katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika makao makuu ya Halmashauri hiyo Nyamilangano.

Hagamu alifafanua kuwa  fedha hizo zimegawanywa katika makundi ya fuatayo, shilingi bilioni 2,522,160,000 ni fedha za makusanyo ya ndani, shilingi bilioni 19,551,691,536 bajeti ya mishahara - Ruzuku (PE), shilingi bilioni 2,159,872,650 bajeti ya Matumizi mengineyo, na shilingi bilioni 6,510,851,707 za program za maendeleo.

“Jumla kuu ya fedha ambazo tunatarajia  kuzitumia katika bajeti ya mwaka 2020/21 ni shilingi bilioni 30,744,575,893 , zitatumika kuendesha shughuli zote za umma ikiwemo kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo imepitishwa baada ya kuibuliwa na wananchi kupitia kamati zao za maendeleo alisema Hagamu.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo,  Wandere Lwakatare alisema bajeti hiyo imezingatia vipaumbele vyote muhimu vya maendendeleo hususani katika sekta za afya, elimu, na Miundombinu  ili kuhakikisha kero zilizopo katika sekta hizo zinapatiwa ufumbuzi.

“Waheshimiwa madiwani tutahakikisha miradi  yote ambayo meiibua na imepitishwa katika  bajeti hii ya mwaka huu tunaitekeleza katika kata zenu,hakikisheni mnatoa ushirikiano kwa serikali katika ukusanyaji wa mapato husasani kati vyanzo ambavyo vipo katika maeneo yenu ya kazi” alisema Lwakatare.

Akizungumza kwa niaba ya Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu Makamo mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Tabu Katoto ambaye ni Diwani kata ya Igunda alisema kuwa bajeti hiyo imezingatia mapendekezo ya miradi mbalimbali iliyoibuliwa na wananchi kupitia kamati zao za maendeleo za vijiji na kata.

“Nitoe rai kwa mkurugenzi na wataalamu wa halmashauri hii hakikisheni mnatekeleza bajeti hii kikamilifu ili wananchi tunaowatumikia wawezekufaika nay ale ambayo tumeyaahidi kuyatekeleza kupitia ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) fedha za miradi kama vile afya na elimu zipelekwe kwa wakatika katika maeneo husika”alisema Katoto.

Bajeti hii imeongeza kwa asilimia 16 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2019-2020 ambayo ilikuwa shilingi bilioni 25,892,445,461.

Mwisho.


Share:

PERSONAL SECRETARY GRADE III – 2 POST | Institute Of Finance Management (IFM)

POST PERSONAL SECRETARY GRADE III – 2 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER Institute Of Finance Management (IFM) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Types letters, minutes and reports; ii.Ensures proper use and handling of computers; iii.Receives and directs visitors appropriately; iv.Makes and reminds about official appointments; and v.Performs other related duties as… Read More »

The post PERSONAL SECRETARY GRADE III – 2 POST | Institute Of Finance Management (IFM) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jafo akabidhi Mashine 7227 Za Kukusanyia Mapato Ya Kielektroniki

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa[TAMISEMI] Mhe.Seleman Jafo amekabidhi  mashine elfu saba ,mia mbili  na ishirini na saba[7227]  za kukusanyia mapato  ya kielektroniki [PoS]  kwa  serikali za mitaa huku akitoa kiama kwa halmashauri ambazo zitafanya uzembe katika ukusanyaji wa  mapato hayo.

Akizungumza jana  Januari ,22,2020  jijini Dodoma mbele ya wakurugenzi wa halmashauri,makatibu tawala wa  mikoa    ,Waziri Jafo amesema mashine hizo itakuwa ukombozi mkubwa wa ukusanyaji mapato na kuagiza Wakurugenzi kukusanya mapato vyema na haitakuwa kisingizio tena juu ya ukusanyaji mapato hayo.

Aidha,Waziri Jafo amesema pamekuwepo na suala la Wakusanya mapato  Wasiokuwa waaminifu kwa  baadhi ya halmashauri hivyo uwepo wa Mashine hizo itaongeza chachu ya Uwazi wa ukusanyaji mapato huku akiishukuru Wizara ya Fedha na Mipango kwa kusaidia Mashine hizo za PoS kwa kushirikiana na Serikali ya Norway.

Katika hatua nyingine Waziri Jafo ametoa rai kwa halmashauri ambazo  hazijalipa madeni ya Madiwani  kulipa mara moja kwani hadi sasa halmashauri kubwa inadaiwa  Milioni 758.


Share:

Naibu Waziri Mabula Aimwagia Sifa NHC Katavi

Na Munir Shemweta, WANMM KATAVI
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoa wa Katavi kwa kuwa moja ya mkoa wenye miradi mingi ya Shirika hilo.

Dkt Mabula alitoa pongezi hizo jana wakati akikagua miradi ya NHC kwenye mkoa wa Katavi akiwa katika ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi pamoja na ujenzi wa miradi inayotekelezwa na  Shirika la Nyumba la Taifa.

Miradi aliyoikagua Naibu Waziri Mabula katika mkoa wa Katavi ni ujenzi wa nyumba za watumishi katika Halmashauri ya wilaya ya Mlele, Ofisi na Nyumba ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) pamoja na ukumbi wa halmashauri ya Manispaa ya Mpanda. Pia alikagua mradi wa nyumba sabini za Ilembo ambapo Nyumba kumi kati ya hizo ziliuzwa na nyumba sitini zimepangishwa.

Alisema, mkoa wa Katavi unaweza kuwa mkoa wa kwanza ama wa pili kwa kuwa na miradi mingi ya Shirika la Nyumba la Taifa na hali hiyo siyo tu inaonesha jinsi Shirika lilivyo makini kwenye uwekezaji miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa nyumba za kuuza, kupangisha na majengo ya biashara bali inalifanya kuimarika kimkoa.

Akigeukia mradi wa Jengo la Biashara la Paradise lililopo Manispaa ya Mpanda, Dkt Mabula alilisifu jengo hilo kwa kuwa na mazingira mazuri ya kibiashara na kushauri taasisi za serikali katika mkoa wa Katavi kutumia fursa ya kupanga na kuwekeza kwenye jengo hilo kwa kuwa gharama zake ni nafuu ukilinganisha wapangishaji wengine.

Aidha, amelitaka Shirika la NHC mkoa wa Katavi kuhakikisha inalifanyia matangazo jengo hilo la biashara la Paradise kwa lengo la kuvutia wateja kupanga hasa ikizingatiwa kutolitangaza kunaweza kusababisha kukosa wateja.

Kauli hiyo ya kutaka kufanyika matangazo kwenye jengo hilo inafuatia Naibu Waziri Mabula kuelezwa na Kaimu Meneja wa Shirika la NHC  mkoa wa Katavi na Rukwa Masumbuko Majaliwa kuwa mpaka sasa jengo hilo la kibiashara limepangisha asilimia thelathini tu ya wateja.

‘’Mrudi kwenye kutangaza miradi yenu kupitia kipindi cha Maisha ni Nyumba na ikiwezekana kazi hiyo ifanyike mkoa kwa mkoa na mhakikishe miradi yenu mnaifanya kwa kasi, viwango na wakati ili kujenga trust kwa wateja’’ Alisema Dkt Mabula.

Kwa upande wake Meneja Mawasiliano wa NHC Muungano Saguya alisema, kwa sasa Shirika lake linafanya vizuri katika masuala ya ujenzi jambo lililosababisha kuaminwa na serikali ambapo katika mji wa serikali eneo la Mtumba Dodoma liliweza kujenga majengo ya Wizara nne na sasa Shirika linaendelea na utekelezaji wa miradi mingine kama vile ujenzi wa nyumba na ofisi za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) nchi nzima.

Awali Kaimu Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Katavi na Rukwa Masumbuko Majaliwa alimueleza Naibu Waziri kuwa kwa sasa NHC mkoa wa Katavi inatekeleza miradi mbalimbali katika mikoa ya Katavi na Rukwa.

Alisema katika mkoa wa Katavi Shirika la Nyumba linatekeleza miradi ya nyumba za watumishi Mlele, ukumbi wa manispaa ya Mpanda pamoja na ujenzi wa nyumba za walimu Kibaoni wakati upande wa mkoa wa Rukwa miradi inayotekelezwa ni ile ya mradi wa nyumba za makazi jangwani Sumbawanga pamoja na duka la dawa katika hopspitali ya rufaa mkoa wa Rukwa.


Share:

LIQUORER GRADE II – 1 POST | Tanzania Broadcasting Corporation (TBC)

POST LIQUORER GRADE II – 1 POST POST CATEGORY(S) RESEARCH,SCIENCE AND BIOTECH EMPLOYER Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) APPLICATION TIMELINE: 2020-01-22 2020-02-05 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.    Carries out coffee roasting outturns and pre-auction cupping preparations; ii.    Safe keeps and updates liquoring files of catalogues; iii.     Assists in writing bulking instructions and dispatches them to factories; iv.   … Read More »

The post LIQUORER GRADE II – 1 POST | Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger