Sunday 2 June 2019

RC MONGELLA AZINDUA RASMI MATUMIZI YA MIFUKO MBADALA "BEI ITASHUKA"


Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akionyesha mifuko mbadaya ambayo ni rafiki kwa mazingira inayopaswa kutumika.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akizungumza kwenye zoezi la kuhamasisha katazo la Serikali kuhusu uzalishaji, usambazaji na matumizi ya mifuko (vibebeo) ya plastiki kuanzia leo Juni 01, 2019.

Mongella ametumia fursa hiyo kuwatoa hofu wananchi wanaodhani inauzwa kwa gharama kubwa akisema nayo itashuka bei kama ilivyokuwa mifuko ya "Rambo" ambayo wakati inaanza kutumika ilikuwa ikiuzwa kwa gharama kubwa na baadae ikashuka.

Zoezi hilo limefanyika katika eneo la Soko Kuu jijini Mwanza na kwenda sambamba na uzinduzi rasmi wa matumizi ya mifuko mbadala ambapo wananchi na wafanyabiashara wamehimizwa kuendelea kusalimisha mifuko ya plastiki katika ofisi mbalimbali ikiwemo Serikali za Mitaa.

Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Wilaya Nyamagana, Dkt. Philis Nyimbi amewahimiza wananchi wa Wilaya hiyo kuwa watiifu kutekeleza katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki na kutumia mifuko mbadala ambayo ni rafiki kwa mazingira.
Naibu Meya wa Jiji la Mwanza, Bhiku Kotecha amesema utekelezaji wa zoezi hilo utazingatia sheria hivyo wananchi waondoe hofu kwani zoezi hilo halitamuonea mtu yeyote na kwa wale ambao bado wana mifuko ya plastiki waendelee kuipeleka katika ngazi husika kama ilivyoelekezwa.
Afisa Mkaguzi kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Abel Sembeka akizungumza wakati wa zoezi hilo ambapo amesema matumizi ya mifuko ya plastiki iliyozuiliwa ni ile inayohusisha vibebeo kama vile "Rambo" na kwamba mifuko ya plastiki ya vifungashio kama karanga, binzari na miwa bado haijazuiliwa.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Nyamagana, akitoa salamu zake kwenye zoezi hilo ambapo amesema Serikali itasimamia katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kuzingatia sheria hivyo wananchi wasiwe na wasiwasi juu ya Serikali yao sikivu.
Viongozi mbalimbali mkoani Mwanza wakifuatilia zoezi la kuhamasisha katazo la Serikali kuhusu uzalishaji, usambazaji na matumizi ya mifuko (vibebeo) ya plastiki.
Wananchi na wadau mbalimbali wa mazingira wakifuatilia zoezi hilo.
Wadau wakiwa kwenye zoezi hilo.
Viongozi wa dini, wafanyabiashara wadogo na wananchi wakifuatilia zoezi hilo.
Wananchi na viongozi mbalimbali wa dini wakinyoosha mikono kuunga mkono katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akionyesha mifuko mbadaya ambayo ni rafiki kwa mazingira inayopaswa kutumika.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akigawa mifuko mbadala kwa baadhi ya viongozi jijini Mwanza ili kuhamasisha matumizi ya mifuko hiyo.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akimsikiliza mmoja wa akina mama wanaouza mifuko mbadala jijini Mwanza ambapo Mongella amesema baada ya muda mfupi ujao, mifuko hiyo itaanza kuuzwa kwa gharama nafuu baada ya wafanyabiashara wakubwa kumaliza taratibu za kuitoa bandarini.
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akigawa mifuko mbadala kwa baadhi ya wananchi jijini Mwanza ili kuhamasisha matumizi ya mifuko hiyo.
Meneja wa kiwanda cha Falcon kilichopo jijini Mwanza akionyesha baadhi ya bidhaa ikiwemo mbao zinazotengenezwa kwa kutumia mifuko ya plastiki ambapo amewahamasisha wananchi kukusanya mifuko hiyo na kwenda kuiuza kiwandani hapo badala ya kuitapanya ovyo na kuharibu mazingira.
Baadhi ya wajasiriamali wakisalimisha mifuko ya plastiki kwenye zoezi hilo ambapo kampuni ya kufanya usafi ya GreenWestPro ilitumia zoezi hilo kuhamasisha wananchi na wafanyabiashara kusalimisha mifuko ya plastiki.
Zoezi la kusalimisha mifuko ya plastiki likiendelea jijini Mwanza.
Wananchi wameshauriwa kusalimisha mifuko ya plastiki katika ngazi husika ikiwemo ofisi za Serikali za Mitaa badala ya kuitapanya ovyo na hivyo kuhatarisha mazingira.
Kampuni ya GreenWestPro ni mdau mkubwa wa mazingira ambapo inafanya shughuli zake za usafi na utunzaji wa mazingira katika majiji matatu nchini ambayo ni Dar es salaam, Mwanza na Dodoma.
Kampuni ya GreenWastePro imetumia fursa hiyo kuhamasisha wananchi kuachana na matumizi ya mifuko (vibebeo) ya plastiki na kujikita kwenye matumizi ya mifuko mbadala ambayo ni rafiki kwa mazingira.
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili June 2




Share:

Tamisemi: All girls who passed Form four will Join Form Five or Technical Colleges

Form Five selection, Selection form five 2019/2020 , form five selection 2019/20 first selection form five 2019 pdf tamisemi form five selection 2019 form five second selection 2019/2020 post form five 2019, necta form five selection 2019, www.tamisemi.go.tz form five selection, form 5 selection 2019 pdf download, form five second selection 2019/20

Tamisemi: All girls who passed the Form 4 to  join Form Five, Technical Colleges

Minister of State President’s Office Regional Administration and Local Government Hon. Seleman Jafo said all the girls who succeeded in the Fourth Form exam in 2018 last year have been selected to join the Form five with various technical colleges in the country.

Jafo, he made the same statement today in Dodoma while announcing students selected to join Form Five with vocational education colleges in the year of study that will begin in July, 2019.

“I would like to announce to you the good news that, for this year all the successful girls have been selected to join the Form five with various technical universities, of which a total of 45,816 girls.

Given the performance of the Fourth Form candidates for 2018, from grade one to third, he said 113,825 candidates among them are 47, 779 and 66,046 boys equal to 31.76 percent of all candidates who did the test.

In another phase, the Minister Jafo has called on the councils, especially those of the science and mathematics studies to complete Form five and six classes by March, 2020, which cited Councils as Kyerwa DC, Kilindi DC, DC, Handeni DC, Malinyi, Mtwara DC, Momba DC, Nanyumbu DC and Nanyamba DC, urging Regional Heads and District Heads and Directors of Local Government Authorities to manage closely and ensure the Government’s mandate for each of them and the Formula School is being fulfilled.

Last Minister Jafo has asked all selected students to take into account all the necessary precautions in the case of their final pre-deadline especially for those who are to join the prestigious universities (NACTE).

“We have given a date from 09 June, 2019 to 30 August to have all agreed to join the technical colleges and will fail to do so their positions will be filled with other students.” Said Jafo Minister.

President TAMISEMI’s office has been tasked with the responsibility of overseeing the election of five Formal students and technical colleges from 2014 after the announcement of the Fourth Form Outcomes.

Source: Tamisemi

YOU MAY ALSO LIKE

MORE NEWS ABOUT FORM FIVE SELECTIONS AND JOINING INSTRUCTIONS

The post Tamisemi: All girls who passed Form four will Join Form Five or Technical Colleges appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Saturday 1 June 2019

[FULL PDF DOWNLOAD] Form Five selection 2019

[FULL PDF DOWNLOAD] Form Five selection, Selection form five 2019/2020 , form five selection 2019/20 first selection form five 2019 pdf tamisemi form five selection 2019 form five second selection 2019/2020 post form five 2019, necta form five selection 2019, www.tamisemi.go.tz form five selection, form 5 selection 2019 pdf download, form five second selection 2019/20

Students selected to join form five and Technical Colleges 2019/20 academic year

 

GOOD NEWS!!: YOU CAN NOW EASILY FIND YOUR NAME (FORM FIVE SELECTION NAMES 2019) IN THE PDF FILE ATTACHMENT BELOW, SINCE IT IS NOW AVAILABLE AT UDAHILIPORTAL.COM

CLICK HERE TO ACCESS FULL PDF FILE- FORM 5 SELECTION 2019

 

MORE NEWS ABOUT FORM FIVE SELECTIONS AND JOINING INSTRUCTIONS

The post [FULL PDF DOWNLOAD] Form Five selection 2019 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano 2019

Share:

Yanafunguka Fasta : ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2019

Share:

Breaking : HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI 2019

Share:

WAVUTAJI SIGARA HATARINI KUSHINDWA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA


Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani na Upasuaji Harisson Chuwa kutoka Hospitali ya Agakhan, amesema miongoni mwa madhara yanayosababishwa na matumizi ya Tumbaku ni wanaume kushindwa kushiriki tendo la ndoa kutokana zao hilo kuathiri zoezi la kusukuma damu mwilini.

Akizungumza kwenye kipindi cha Supamix cha East Africa Radio, Dr Chuwa amesema mbali na wanaume kudai mfumo wa maisha, ikiwemo lishe bora hupelekea kukosa nguvu za kiume lakini pia matumizi ya Sigara na mazao ya Tumbaku, hupunguza nguvu za kiume.

"Madhara mengine ya matumizi ya tumbaku inaweza kusababisha mwanaume kushindwa kushiriki tendo, kwa sababu mishipa ya damu inashindwa kufanya kazi vizuri, ndiyo maana tunasingizia tuna upungufu wa nguvu za kiume, lakini si kweli ni mfumo wa maisha tu wa uvutaji wa sigara" amesema Dr Chuwa.

Aidha Dr Chuwa amesema kuwa "moshi wa sigara una madhara kwa mvutaji mwenyewe na aliyekuwa naye karibu, madhara yanaanzia kwenye saratani ya mapafu, hii ndiyo saratani inayosababishwa na 95% ya matumizi ya sigara, ndiyo maana utakuta wake, waume au watoto wa watu wanaovuta sigara wanapata saratani hii"

Madhara mengine yanayoweza kutokana na matumizi ya tumbaku ni mtoto anapokuwa tumboni, moshi wa sigara unaweza kumuathiri kukua kwa mapafu yake, anaweza kupata pumu na mapafu yanaweza kujaa makamasi, na wakati mwingine inamfanya ashindwe kupumua.

Chanzo- EATV
Share:

ATUPWA JELA MIAKA 30 KWA KUKUTWA NA BANGI


Mkazi wa Kijiji cha Majengo, Kata na Tarafa ya Mtama, Wilaya ya Lindi Ramadhani Haji Juma, amehukumiwa kwenda gerezani kutumikia kifungo cha miaka 30, baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na madawa ya kulevya aina ya Bangi yenye uzito wa Kilo 7.8 kinyume cha sheria.

Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Lindi, Liliani Rugalabamo,baada ya Mshtakiwa kukiri kosa lililomkabiri bila ya kulazimishwa.

Baada ya mshitakiwa kukiri kosa, Hakimu Rugalabamo alimuuliza mshtakiwa kama anazo sababu zitakazoishawishi Mahakama isimpe adhabu kali, Ramadhani Haji Juma aliomba asipewe adhabu kali, akidai ni mkosaji wa mara ya kwanza na alilazimika kujiingiza kwenye Biashara hiyo kwa lengo la kujipatia riziki ya kila siku.

"Mh,Hakimu naiomba Mahakama yako tukufu inisamehe na sitarudia kufanya kosa la aina hii tena kushiriki kazi hii "Amesema Ramadhani.

Kufuatia utetezi huo, hakimu Rugalabamo alirejea kwa Mwanasheria wa Serikali, Yahaya Gumbo iwapo anazo kumbukumbu za makosa ya zamani kwa mshtakiwa na kujibu hana, huku akiiomba mahakama impatie adhabu kali ili iwe fundisho kwake na wengine walio na tabia ya aina hiyo.

Hakimu Rugalabamo akimpatia mshitakiwa adhabu katika kesi hiyo Namba 41/2019, alipinga utetezi huo kwa kusema hauna mashiko, kwani zipo njia nyingi za halali kama vile kuitumia ardhi iliyopo kuzalisha mali, yakiwemo mazao ya chakula na biashara ili kuondokana na umasikini.
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 1




Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger