Friday 27 October 2017

TUMAINI UNIVERSITY-TUMA: APPROVED (SELECTED) STUDENTS TO JOIN DIFFERENT BACHELOR PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC YEAR 2017/2018-ROUND 3

Image result for tumaini makumira
Share:

ARDHI UNIVERSITY: SELECTED APPLICANTS TO JOIN DEGREE PROGRAMMES 2017/2018-ROUND 3

Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA VYUMBA-HOSTEL CHUO KIKUU MZUMBE-MOROGORO 2017/2018

Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO BATCH 1 NA 2 CHUO KIKUU MUM 2017/2018


Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU MUM 2017/2018-BATCH 3

Tokeo la picha la MUM MOROGORO

Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU BUGANDO 3RD ROUND 2017/2018


Share:

TANGAZO KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA NA MASOMO 2017-2018


Logo
Share:

TANGAZO LA MUHIMU KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA UDOM 2017/2018

Logo
UNDERGRADUATE FIRST YEAR ORIENTATION TIMETABLE

Share:

TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO CHA IFM-DAR 2017/2018

Share:

HAYA HAPA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU UDSM 2017/2018

Home
Additional Admitted Students

Share:

BREAKING NEWS:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO ZANZBAR 2017/2018

Title Image

BODI YA MIKOPO YA ELIMU JUU 

ZANZIBAR INAWATANGAZIA 

WANAFUNZI WALIOTEULIWA KUPAT

A MKOPO MWAKA WA MASOMO 

2017/2018 - AWAMU YA KWANZA

Share:

Magazeti ya Leo Ijumaa ya Octoba tarehe 27.10.2017


Share:

Thursday 26 October 2017

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI..WAMO WAKUU WA MIKOA 6 NA MAKATIBU WAKUU


UPDATES:

Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa

Mkoa wa Manyara - Mkuu wa Mkoa ni Alexandar Pastor Mnyeti (Alikuwa DC wa Arumeru)

Mkoa wa Rukwa - Mkuu wa Mkoa ni Joachim Leonard Wangabo (alikuwa DC wa Nanyumbu)

Mkoa wa Geita - Mkuu wa Mkoa ni Bwana Robert Gabriel Lughumbi (alikuwa DC wa Korogwe)

Mkoa wa Mara - Mkuu wa Mkoa ni Adam Kigoba Ally Malima (aliwahi kuwa kwenye baraza la mawaziri awamu ya nne)

Mkoa wa Dodoma - Mkuu wa mkoa ni Bi. Christine Solomoni Mndeme (alikuwa DC wa Dodoma Mjini)

Mkuu wa Mtwara - Gelasius Gasper Byakanwa (alikuwa DC wa Hai)

Uteuzi wa Mabalozi
Dr. Aziz P. Mlima - Amekuwa Balozi (alikuwa Katibu Mkuu wizara mambo ya nje)

IGP Mtaafu Ernest Mangu - Amekuwa Balozi

Hawa Vituo vyao vya kazi vitatangazwa

Uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu wao
Ofisi ya Rais Ikulu - Katibu Mkuu Alifayo Kidata

Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na utawala Bora - Katibu Mkuu Dr. Lawrian Ndumbaro
> Naibu Katibu Mkuu - Bi. Dorothy Mwaluko

Ofisi ya Rais TAMISEMI - Katibu Mkuu Eng. Mussa Iyombe
> Naibu Katibu Mkuu (TAMISEMI Afya) - Zainabu Chaula
> Naibu Katibu Mkuu (TAMISEMI Elimu) - Dickson Nzunda

Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Katibu Mkuu Eng. Joseph Kizito Manongo (alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo hiyo)
> Naibu Katibu Mkuu - Bi. Butamo Kasuka Philipo

Ofisi ya Waziri Mkuu
>Kazi na Ajira - Katibu Mkuu Erick Shitindi
>Bunge na Waziri Mkuu - Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi
>Sera - Katibu Mkuu Faustine Kamuzora (amehamishwa kutoka ofisi ya makamu wa rais)

Wizara ya Kilimo - Katibu Mkuu Eng. Mathew Mtigumwe
>Naibu Katibu MKuu - Dr. Tomas Didim Kashilila

Wizara ya Mifugo na Uvuvi
> Mifugo - Katibu Mkuu Dr. Maria Mashingo
> Uvuvi - Katibu Mkuu Dr. Yohana Budeba

Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano
>Uchukuzi - Katibu Mkuu Dr. Leonard Chamuriho
>Ujenzi - Katibu Mkuu Eng. Joseph Nyamuhanga
>Mawasiliano - Katibu Mkuu Dr. Maria Msasabo
Naibu Katibu Mkuu Mawasiliano - Eng. Adelina Madete

Wizara ya Fedha na Mipango - Katibu Mkuu Dotto James Mgosha
> Naibu Katibu Mkuu Utawala - Bi. Suzan Mkapa
> Naibu Katibu Mkuu Fedha za Nje - Bi. Amina Shaaban
> Naibu Katibu Mkuu Sera - Dr. Hakingu M. Kazungu

Wizara ya Nishati - Katibu Mkuu Dr. Hamis Mwinyimvua (Anatoka ofisi ya Waziri Mkuu)

Wizara ya Madini - Katibu Mkuu Prof. Saimon S. Msanjila (alikuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu)

Wizara ya Katiba na Sheria - Katibu Mkuu Prof. Sifuni Mchome
> Naibu Katibu Mkuu - Bwana Amon Mbanju

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki - Katibu Mkuu Prof. Adolph Mkenda (ambaye ni Mchumi, anatoka Wizara ya Biashara na Uwekezaji)
> Naibu Katibu Mkuu - Balozi Ramadhan Muomba Mwinyi

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Katibu Mkuu Dr. Florence Nduruka
> Naibu Katibu Mkuu - Bi. Emmaculate Peter Ngwale

Wizara ya Mambo ya Ndani - Katibu Mkuu Meja Jenerali Projest Rugasira
>Naibu Katibu Mkuu - Balozi Hassan Simba Yahaya

Wizara ya Maliasili na Utalii - katibu Mkuu Meja Jenerali Gaudens Melanzi
> Naibu Katibu Mkuu - Dr. Aloyce Nzuki

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Katibu Mkuu Bi. Dorothy Mwanyika (alikuwa Naibu Katibu Mkuu wizara ya Fedha)
> Naibu Katibu Mkuu - Dr. Moses M. Kusiluka

Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji - Katibu Mkuu Prof. Elisante Ole Gabriel (ametoka wizara ya habari)
> Naibu Katibu Mkuu (Viwanda) - Bwana Ludoviki Nduhie
> Naibu Katibu Mkuu (Biashara na uwekezaji) - Prof. Joseph Bunjweshaiya

Wizara ya Elimu - Katibu Mkuu Dr. Leonard Akwelapo
> Naibu Katibu Mkuu - Dr. Epifan Mdoe (anatoka Wizara Ya Madini)
> Naibu Katibu Mkuu - Dr. Avie-Maria Semakaf

Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto
>Katibu Mkuu (Afya) - Dr. Mpoki Ulisubisya
>Katibu Mkuu (Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto) - Bi. Sihaba Nkinga

Wizara ya Habari Utamaduni Usanii na Michezo - Suzan Paul Mlawi (alikuwa Naibu Katibu Mkuu Utumishi)
> Naibu Katibu Mkuu - Bwana Nicolaus B. William

Wiazra ya Maji na Umwagiliaji - Katibu Mkuu Prof. Kitila Mkumbo
> Naibu Katibu Mkuu - Eng. Emmanuel Kalomelo
Share:

Wednesday 25 October 2017

MPYA:TCU IMETANGAZA TARTIBU ZA KUHAMA CHUO AU KOZI ULIYOCHAGULIWA ,DEADLINE NI TAREHE 20.11.2017

Tokeo la picha la tcu tanzania


kusoma taratibu za kuhama

Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO AWAMU YA PILI BATCH 2 2017/2018





Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetoa orodha ya awamu ya pili ya wanafunzi 11,481 wa mwaka wa kwanza waliofanikiwa kupata mikopo. 
Orodha hiyo ya wanafunzi ya awamu ya pili inapatikana hapa kwenye tovuti hii (www.heslb.go.tz) na itatumwa kwa vyuo husika. Vilevile, tunawafahamisha wanafunzi wanaoendelea na masomo na umma kwa ujumla kuwa tunaendelea kutuma vyuoni majina na fedha za mikopo ya wanafunzi wanaoendelea na masomo ambao wamefaulu mitihani yao.
Share:

TANGAZO LA MASOMO NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA CHUO CHA ST.DAVID COLLEGE OF HEALTH SCIENCES 2017/2018

Share:

TCU Yaanika Tarehe Rasmi ya Masomo Vyuoni, 45,000 Wapata Vyuo

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger