Saturday 15 July 2017

ANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2017 ACSEE RESULTS

Tumeamua kuweka matokeo ya kila shule kkt website

KUANGALIA SHULE YAKO

Share:

Wednesday 12 July 2017

ORODHA YA MAJINA AJIRA MPYA ZA WALIMU MASOMO YA SAYANSI SHAHADA NA STASHAHADA AWAMU YA PILI 2017


Ajira Mpya za Walimu wa Sayansi ,Hisabati na Mafundi Sanifu
Walimu na mafundi sanifu watakao pokea posho ya kujikimu na baadae kutoripoti na kuanza kazi katika vituo vyao vya kazi walivyopangiwa watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene leo katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Dodoma juu ya ajira mpya za walimu wa sayansi na hisabati awamu ya pili pamoja na mafundi sanifu wa maabara kwa mwaka 2016/2017.
Alisema walimu hao na mafundi sanifu wa maabara ambao wamepangiwa vituo vya kazi wanatakiwa kuripoti kuanzia tarehe 17 - 31 julai 2017 na kwa wale watakao pokea posho ya kujikimu na baadae kutoripoti watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria .
� kumekuwa na tabia kwa baadhi ya watumishi wanaopangiwa vituo vya kazi kupokea posho za kujikimu na kutokomea bila taarifa yoyote,hivyo basi niwasihi wale wote waliopangiwa waripoti mapema ndani ya tarehe hizo�alisisitiza
Waziri Simbachawene aliongeza kuwa watumishi hao wanatakiwa kufika kwenye vituo vyao vya kazi wakiwa na vyeti halisi vya taaluma vya kidato cha nne na cha sita,cheti halisi cha kitaalam cha kuhitimu mafunzo katika ngazi husika na cheti cha kuzaliwa.
Vilevile alisisitiza kuwa walimu hao pamoja na wataalam wanatakiwa kuripoti katika ofisi za Wakurugenzi wa Halmasahauri husika na baadae kuripoti kwenye shule walizopangiwa na hakutakuwa na uhamisho ndani ya Mkoa au Halmashauri.
Aidha Mhe. Waziri aliwataka Wakurugenzi wa Halmashauri ambazo walimu na wataalam hawa wataripoti wawapokee kwa kuzingatia taratibu na kanuni zote za utumishi na baadae kutoa taarifa mara baada ya tarehe ya mwisho ya kuripoti.
Walimu hao pamoja na mafundi sanifu wa maabara wametokana na tangazo la nafasi za kazi lilitolewa na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknologia mwezi aprili 2017 , ambapo kwa awamu ya kwanza walipatikana jumla ya walimu 3,081 na kwa awamu hii Jumla ya walimu 381 na mafundi sanifu wa maabara 137 wamechaguliwa .
Majina ya walimu na mafundi sanifu walioajiriwa yanapatikana katika tovuti ya Ofisi ya Rais -TAMISEMI.
Share:

Thursday 6 July 2017

magazeti ya leo alhamis july 6 2017

Share:

Sunday 25 June 2017

Magazeti ya Leo Jumapili ya June 25

Share:

Saturday 24 June 2017

Magazeti ya Leo Jumamosi ya June 24 2017




Share:

Friday 23 June 2017

UPDATES:HIZI HAPA JOINING INSTRUCTIONS ZOTE ZA FORM V/KIDATO CHA TANO(5) 2017/2018

Tokeo la picha la SERIKALI YA TANZANIA
Share:

Magazeti ya Leo Ijumaa ya June 23 2017


Share:

Wednesday 21 June 2017

Magazeti ya Leo Jumatano ya June 21 2017

Share:

Tuesday 20 June 2017

MAGAZETI YA LEO JUMANNE JUNE 20 2017



Share:

Sunday 18 June 2017

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNE 19 2017

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger