Sunday 2 April 2017

AUDIO | Yamoto Band - BASI | Download


Yamoto Bandi Safi
Share:

Thursday 30 March 2017

TAARIFA KUTOKA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU


Share:

Tangazo la kuitwa kazini Wizara ya Afya


Image result for nembo ya taifa tanzania
Share:

Monday 27 March 2017

RAIS MAGUFULI AFURAHISHWA NA WIMBO WA NAY WA MITEGO 'WAPO' WAZIRI AAGIZA NAY AACHIWE HURU

Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI AWAMU YA KWANZA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO MBALILMBALI KATIKA KOZI ZA CHETI NA DIPLOMA MARCH INTAKE 2017/18


BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI

(NACTE)


TAARIFA KWA UMMA
UTEUZI WA WAOMBAJI WA UDAHILI WA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA)
KWA AWAMU YA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017
Share:

Sunday 26 March 2017

Rais Magufuli atengua uteuzi wa katibu mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini

[​IMG]
Share:

Thursday 23 March 2017

Breaking news:WAZIRI NAPE ATENGULIWA NAFASI YAKE YA UWAZIRI WA MICHEZO,MWAKYEMBE ACHUKUA NAFASI YAKE

https://www.jamiiforums.com/attachments/c7lj_j7vuaazgne-jpg.485302/
Share:

Magazeti ya Leo Alhamis Machi 23, 2017

Share:

Wednesday 22 March 2017

Ripoti ya uvamizi Clouds hadharani: Makonda alitishia kuwaingiza kwenye skendo ya dawa za kulevya


Habari wakuu,
Ile kamati iliyoundwa na Nape Nnauye ya masaa 24 inawasilishwa leo, baada ya kuzungumza historia ya tatizo, msemaji anasema wamejaribu juhudi zote za kumpata mkuu wa mkoa wa Dar ikiwemo kumpigia simu na kumpelekea taarifa ofisi.

Share:

Sunday 19 March 2017

JPM Kuzindua Ujenzi wa Barabara za Juu Ubungo

Image result for fly over ubungo
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MACHI 19,2017

Magazetini leo Jumapili Machi 19,2017
Share:

TANGAZO LA KAZI KWA MADAKTARI WATANZANIA NCHINI KENYA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Ministry of Health, Community Development, 
Gender, Elderly and Children
VACANCIES
The Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children in Tanzania has announced 500 job opportunities to Doctors. 
The qualified candidates who are willing to work in Kenya are invited to apply through an e mail address maombiyakazi@moh.go.tz Please read the full announcement at the image below and apply before 27 March 2017
Please, share this announcement as much as you can.

You may also download this announcement in PDF File from the Ministry of Health Official Website, click here
Share:

Saturday 18 March 2017

TUNDU LISSU ACHAGULIWA KUWA RAIS WA TLS


Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa kumchagua rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama chao.

Uchaguzi huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama  wa TLS wamekutana kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya utendaji kazi wa chama hicho.

Matokeo ni kama ifuatavyo:
 
Urais: Kura zilizopigwa 1682
  1.     Tundu Lissu 1411  sawa na asilimia 88
  2.     Francis Stolla 64
  3.     Victoria Mandari 176
  4.     Godwin Mwapongo 64
==>Kwa upande wa nafasi ya Makamu wa Rais (TLS) mshindi ni Godwin Ngwilimi aliyekuwa Mwanasheria wa Tanesco na kutimuliwa kwa kupinga Escrow.

Council Members
  1.     Jeremiah Motebesya
  2.     Gida Lambaji
  3.     Hussein Mtembwa
  4.     Aisha Sinda
  5.     Steven Axweso
  6.     David Shilatu
  7.     Daniel Bushele
Share:

VIDEO | Shilla Mtamu Ft. Yamoto Band - Toto Tundu | Watch/Download

Share:

AUDIO | Jay Moe - Nisaidie Kushare | Download


Jay Moe - Nisaidie Kushare
Share:

MKUU WA MKOA ANUSURIKA KUFA KWA KUGONGWA GARI AKIFANYA MAZOEZI ASUBUHI HII


Watu wawili wamenusurika kifo baada ya gari dogo aina ya taxi kuwagonga wananchi waliokuwa katika mazoezi asubuhi ya leo Jumamosi Machi 18,2017 mjini Iringa huku mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akinusurika.
Ajali hiyo imetokea nje ya lango la kamanda wa polisi mkoa dakika tatu tu baada ya kuanza mazoezi kuelekea uwanja wa Samora. 
Ajali hiyo inadaiwa kusababishwa na uzembe wa dereva aliyekaidi amri ya askari wa usalama barabarani ambao walisimamisha gari hilo lililokuwa likitoka mwelekeo mmoja na wafanya mazoezi hao.
Majeruhi hao wamepata michubuko kiasi mwilini huku mkuu wa mkoa ambaye alikuwa karibu na majeruhi huyo hakuumia na gari hilo japo alikuwa karibu na majeruhi hao .
Majeruhi wamekimbizwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa
Askari polisi wakiwa wamemkamata dereva taxi aliyesababisha ajali
Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza kulia akimtazama mmoja kati ya majeruhi waligongwa na gari asubuhi hui wakiwa katika mazoezi
PICHA ZOTE KWA HISANI YA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Share:

Friday 17 March 2017

AUDIO | Nuh Mziwanda - Anameremeta | Download


Nuh Mziwanda
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger