Monday 3 October 2016

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA DIGRII CHUO KIKUU CHA MIPANGO DODOMA IRDP 2016/2017

 Image result for irdp dodoma
Kindly view the link below and download Selected Candidates to Join The Institute of Rural Development Planning (IRDP) for Bachelor Degree Programmes  for Academic year 2016/2017
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA MZUMBE UNIVERSITY MASTERS 2016/2017

 Tokeo la picha la MZUMBE.AC.TZ
Share:

New AUDIO | Sajna - Dactari wangu | Download

Share:

TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI AMBAO HAWAJAHAKIKI MAJINA YA MIKOPO YAO CHUO KIKUU MWENGE 2016


Image result for MWECAU.AC.TZ
All MWECAU students who failed to show up for HESLB verification are required to report to HESLB Offices by Monday 03/10/2016 to 05/10/2016; failure to do so, they shall no excuse
Here is a list of some of unverified students
Share:

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA AWAMU YA TATU, UHAMISHO NA KUONGEZWA KWA MUDA WA KUFANYA MAOMBI KATIKA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA) KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017


 
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
 (NACTE)
Share:

Waziri Nape azipiga MARUFUKU Simba na Yanga kutumia Uwanja wa Taifa

Baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti vya uwanja wa taifa katika mchezo wa Simba na Yanga uliopigwa  Jumamosi na kumalizika kwa sare ya goli ya moja kwa moja, serikali kupitia kwa Waziri wa Michezo, Nape Nnauye Imepiga marufuku uwanja wa taifa kutumika na timu za Yanga na Simba.

Waziri Nape amefanya maamuzi hayo baada ya jana Jumapili kufanya ziara katika uwanja wa taifa kushuhudia uharibifu wa viti uliotokea juzi Jumamosi .

Amesema kutokana na tukio ambalo limejitokeza, kuanzia sasa michezo ya timu hizo haitaruhusiwa kufanyika katika uwanja huo hadi pale ambapo serikali itawaruhusu.

“Uwanja huu hautatumika kwa Yanga na Simba mpaka pale tutakapoamua vinginevyo hapo baadae, hawatatumia uwanja huu watafute viwanja vingine, sababu hapa kuna pesa za walipa kodi, kuna pesa za watanzania.

“Wanaotakiwa kutumia uwanja huu ukiwa mzuri kama ulivyo ni wengi kuliko Yanga na Simba, wapo wengine ambao ni wastaarabu wanaweza kutumia uwanja huu,” aLIsema Waziri Nape.

Maamuzi mengine ni Simba kutakiwa kulipia gharama ya viti 1,781 vilivyoharibika, Simba haitapata mgao wa mchezo hadi walipe gharama za uharibifu, kamera za CCTV zitafungwa uwanja mzima na Yanga itatakiwa kulipa gharama ya mageti manne ya upande wa mashabiki wake yaliyovunjwa.
Share:

Prof. Lipumba Ateua Wakurugenzi Wapya CUF

Licha ya baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa Chama cha Wananchi (CUF) na wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutamka kutomtambua Profesa Ibrahim Lipumba kama mwenyekiti wa CUF, Lipumba ameendelea kufanya shughuli za chama hicho ambapo jana ameteua wakurugenzi wapya kwa madai ya kujaza nafasi za wakurugenzi alizotengua teuzi zao juzi.
Share:

Barua ya Baraza Kuu la CUF kwa Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi Kupinga Msimamo na Ushauri Wake Kuhusu Profesa Lipumba

Share:

SIKIKA Yaitaka Serikali Iache Siasa Upatikanaji wa Dawa.....Yatoa Mapendekezo 6 Kutatua Tatizo

Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU OCTOBER 3 2016

Share:

Sunday 2 October 2016

WATUMISHI WA SERIKALI WACHOMWA MOTO HADI KUFA WAKITUHUMIWA KUWA NI "WANYONYA DAMU" HUKO IRINGA MVUMI DODOMA


MNAMO TAREHE 01/10/2016 MAJIRA YA SAA 12:30 HUKO KIJIJI CHA IRINGA MVUMI KATA YA IRINGA MVUMI TARAFA YA MAKANG'WA WILAYA YA CHAMWINO MKOA WA DODOMA.

GARI NAMBA STJ 9570 AINA YA TOYOTA HILUX DOUBLE KEBEN MALI YA KITUO CHA UTAFITI WA UDONGO NA MAENDELEO YA ARDHI CHA SELIAN ARUSHA, LILICHOMWA MOTO NA WATU WALIOKUWEMO NDANI YA GARI HILO AKIWEMO DEREVA NA WATAFITI WAWILI MMOJA KATI YAO MWANAMKE, AMBAO MAJINA YAO HAYAJAJULIKANA WALIVAMIWA NA WANAKIJIJI CHA IRINGA MVUMI NA KUWAKATAKATA KWA MAPANGA,

PAMOJA NA SIRAHA ZA JADI KISHA KUWACHOMA MOTO HADI KUFA, CHANZO CHA TUKIO HILO NI MWANAMKE MMOJA AITWAYE CECILIA D/o CHIMANGA, MIAKA 34, KUPIGA YOWE KIJIJINI KUWAFAHAMISHA KUASHIRIA KWAMBA AMEONA WATU AMBAO ANAWAHISI NI WANYONYA DAMU (MUMIANI),

TAARIFA HIZO ZILIPOFIKA KIJIJINI NDIPO MCHUNGAJI WA DHEHEBU LA CHRISTIAN FAMILY CHURCH AITWAYE PATRIC s/o MGONELA, MIAKA 46, MGOGO MKAZI WA KIJIJI CHA IRINGA MVUMI, AMBAYE ALIKITANGAZIA KIJIJI KUPITIA KIPAZA SAUTI CHA KANISANI KUWA WAMEVAMIWA NA WANYONYA DAMU (MUMIANI) NDIPO WANAKIJIJI WAKAENDA KUCHOMA GARI NA KUWAUA NA KUWACHOMA MOTO.

BAADA YA TUKIO HILO, MSAKO UKIJUMUISHA ASKARI WA KAWAIDA, MAKACHERO NA KIKOSI CHA KUTULIZA GHASIA (FFU) WAKIWEMO MAOFISA WANNE, ACP ERNEST KIMOLA, SO1 DODOMA, SSP MOHAMED KILONZO RCO DODOMA, ASP OSCAR FELICIAN OC FFU DODOMA NA ASP MAULID MANU OC CID (W) CHAMWINO,
WAKAGUZI WAWILI, NA SECTION TATU ZA R&F, MIILI YA MAREHEMU HAO IMEHIFADHIWA KATIKA CHUMBA CHA MAITI HOSPITALI YA MISSION MVUMI, MSAKO UNAENDELEA.
Share:

Official VIDEO | Baraka Da Prince Ft. Ali Kiba - NISAMEHE | Watch/Download


Share:

Official VIDEO | Lady Jay Dee - Sawa na Wao | Watch/Download

Share:

Waziri Mkuu Ashangazwa Na Kodi Kubwa Soko La Dodoma,Aagiza Baraza La Madiwani Lipitie Upya Na Kumpa Majibu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameliagiza Baraza la Madiwani la Manispaa ya Dodoma lifanye marekebisho ya kodi inayotozwa kwenye soko la Majengo ambayo imepandishwa kutoka sh. 20,000 hadi sh. 150,000 kwa mwezi.
 
 Amesema anatambua maamuzi ya Baraza ni ya kikao halali lakini hakubaliani na ongezeko hilo ambalo ni sawa na asilimia 650 kwani linawaumiza wananchi.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Oktoba Mosi, 2016) wakati alipotembelea soko hilo akiwa kwenye ziara ya kukagua maeneo ya kutolea huduma za jamii mjini Dodoma.

Amesema soko hilo linatakiwa lifanyiwe mapitio ili liwekwe kwenye hali nzuri na Manispaa ihakikishe maboresho hayo yanafanyika bila ya kuwaumiza wafanyabiashara.

“Kwa kuwa uamuzi wa kupandisha kodi ulifanyika kisheria na kupitishwa na baraza la Madiwani, sitaki kuvunja sheria. Nawaagiza mkazungumze tena katika baraza na muangalie namna ya kupunguza gharama hizo,” amesema.

“Hali hii haiwezekani kuachwa iendelee, huku ni kuwaumiza wananchi. Mkurugenzi wa Manispaa nenda kaitishe tena kikao, mfanye mazungumzo upya kwenye baraza lenu na mje mnieleze mmekubaliana nini” amesisitiza.

Pia ameitaka Manispaa hiyo ihakikishe makusanyo yote ya fedha katika soko hilo yanakusanywa kwa njia ya kielektroniki ili fedha hizo ziweze kuleta tija na kuwataka Mkuu wa mkoa na wilaya kuwachukulia hatua wotewatakaobainika kuiba fedha hizo.

Amesema Manispaa hiyo inatakiwa kupanua masoko kwa kujenga masoko mapya makubwa katika maeneo ya Nkuhungu, Kisasa, Mlimwa na Barabara ya Iringa ili huduma hizo zisambazwe.

Mapema akisoma risala yake, Mwenyekiti wa soko hilo, Bw. Godson Rugazama alimueleza Waziri Mkuu changamoto zinazolikabili soko hilo kuwa ni pamoja na ongezeko la kodi isiyozingatia uhalisia wa maisha na shughuli za wajasiriamali sokoni hapo. “Kodi imeongezeka kutoka sh. 20,000 hadi 150,000 kwa mwezi,” alisema.

Mwenyekiti huyo alitaja changamoto nyingine ni uchakavu wa mifereji ya maji machafu, kuvuja kwa paa la soko, bidhaa kuuzwa katika maeneo yasiyokuwa rasmi na kusababisha wateja kutoingia sokoni.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu ametembelea hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma na kukagua maeneo mbalimbali zikiwemo wodi za wagonjwa, jengo la wazazi na jengo jipya la wagonjwa wa Bima ya Afya (NHIF).

Akiwa hospitalini hapo, pia alizungumza na watumishi wa sekta ya afya na kuwataka wawahimize wananchi wajiunge na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ambao unawawezesha mtu kulipia bima ya matibabu kwa ajili ya mhusika, mwenza wake na watoto/watemezi wanne na serikali inajazia kiasi kile kile alichochangia.

Akizungumzia miundombinu ya afya mkoani humo, Waziri Mkuu alisema mkoa wa Dodoma hauna shida ya matibabu au utoaji wa huduma ya afya kutokana na miundombinu iliyopo hivi sasa.

Aliwataka wafanye kazi kwa uadilifu na uaminifu na kuongeza tija katika utendaji kazi wao huku wakitanguliza utunzaji wa mali ya umma.

“Ninawasihi mjenge tabia ya huruma kwa wagonjwa huku mkitambua unyeti wa kazi mliyonayo. Ninaamini mtatunza vifaa mlivyonavyo na siyo kuvichukua na kuvipeleka kwenye zahanati zenu au maduka yenu binafsi ya dawa,” alionya.
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI OCTOBER TAREHE 2.10.2016

Share:

Saturday 1 October 2016

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE-SUA 2016/2017


Image result for SUANET.AC.TZ 
KUONA MAJINA <<BONYEZA HAPA>>
Share:

Breaking News:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO 2016/2017

 Image result for BODI YA MIKOPO 2016/2017

NOTICE TO LOAN APPLICANTS TO CORRECT NECESSARY INFORMATION

During the exercise of processing 2016/2017 loan application forms, the Board has come across loan applications which are missing some vital information such as applicant’s and guarantor’s signatures. For that reason, the Board would like to inform loan applicants with such incompleteness to visit HESLB offices in Dar es Salaam.

Loan applicants and/or their guarantors who have not signed their documents are required to physically visit HESLB offices on Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge, Dar es Salaam to append signatures to their loan applications from Monday 3rd September 2016.

Loan applicants who did not attach applicant’s photo, guarantor’s photo (to their application forms) or who attached uncertified photocopies of birth certificates, academic certificates, guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration cards; should send the missing particulars with covering letters indicating their full names and form four index numbers with year of completion e.g. S0143.0012.2013 via EMS through the following address:

The Executive Director,
Higher Education Students’ Loans Board,
P. O. Box 76068,
DAR ES SALAAM.
The deadline for correction of the shortcomings is Friday 7th October 2016.
All attachments must be certified by a Commissioner of Oaths.

NB:    The Board is:
•    cautioning loan applicants to be careful with some unscrupulous individuals who might take advantage of this opportunity to make financial demands.
•    Reminding loan applicants that correction of missing items is not a guarantee to be awarded loans.
•    Incomplete application forms will not be considered for further processing until the missing information is provided within specified time.
*The list of loan applicants with missing signatures and other attachments can be viewed through: 


KUONA MAJINA HAYO YA WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO <<BONYEZA HAPA>>
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger