Sunday 22 February 2015

PRESIDENT JK:ELIMINATE NON TARRIF BARRIERS-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Tanzania President Jakaya Kikwete
Non-tariff barriers deny the EAC opportunity to unlock the immense promise of integration and starves businesses of innumerable opportunities, Tanzania President Jakaya Kikwete said Friday.
Share:

MRITHI WA MAMA SALMA KIKWETE VITA NZITO!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mwandishi wetu

TAYARI imebainika kwamba, baadhi ya viongozi walioonesha nia ya kugombea urais mwaka huu wameanza kupigiwa debe na wake zao ndani ya mitandao ya kijamii ili waume hao watakapoibuka na ushindi wapate nafasi ya ‘u–First Lady’, Risasi Jumamosi linakupa zaidi!
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 22 FEBRUARY 2015-MASWAYETU BLOG,KUBWA ZAIDI MWANAJESHI ALIETEKWA ATESEKA MUHIMBILI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
.
Share:

Friday 20 February 2015

MPYA:NACTE YAFUTIA USAJILI BAADHI YA VYUO VINAVYOTOA FANI MBALIMBALI HAPA TANZANIA,ANGALIA VYUO HIVYO VILIVYOFUTIWA USAJILI NA AMBAVYO VIMEPEWA SIKU 30

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1 BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) NOTISI YA SIKU 30 YA KUSUDIO LA KUFUTA USAJILI NA KUSHUSHA HADHI YA USAJILI KWA VYUO/TAASISI ZA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Utangulizi Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheria ya
Share:

MPYA:SERIKALI KUAJIRI WALIMU 35,000 MWAKA 2015/2016 – WAZIRI MKUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imepanga kuajiri walimu zaidi ya 35,000 kwa ajili ya shule za sekondari ili kukabiliana na tatizo la uhaba wa walimu nchini.

Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Februari 19, 2015) wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa kata ya Kiwere, mara baada ya kukagua ujenzi wa maabara na kuzindua nyumba nne za walimu kwenye shule ya sekondari ya Kiwere, tarafa ya Kalenga, wilayani Iringa.

Waziri Mkuu alisema walimu hao watagawanywa kwenye shule kulingana na mahitaji yaliyokwishawasilishwa na kwamba watakapopata mgao wao
Share:

HIZI HAPA SCHORALSHIP ZA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI NCHINI CHINA,GERMANY NA RUSSIA KWA WANAFUNZI WA DIGRII YA KWANZA,MASTER NA PHD-ANGALIA HAPA MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                     
Tafadhali changamkia fasta kuomba mwisho wa maombi kwa schoraliship nyingi ni tarehe 3,thanks.
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WAKUU WA WILAYA WAPYA NA VITUO VYAO-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                       
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya ili kuboresha utendaji kazi. Mabadiliko hayo yamezingatia kuwepo kwa nafasi wazi ishirini na saba (27) zilizotokana na:
  1. Kufariki dunia Wakuu wa Wilaya 3
  2. Kupandishwa cheo Wakuu wa Wilaya 5 kuwa Wakuu wa Mikoa
  3. Kupangiwa majukumu mengine Wakuu wa Wilaya 7; na
  4. Kutengua uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 12
Share:

TAARIFA KUHUSU VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA KUJITOLEA NA KUDAI KUAJIRIWA NA SERIKALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

JESHI LA KUJENGA TAIFA

TAARIFA KUHUSU VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA KUJITOLEA NA KUDAI KUAJIRIWA NA SERIKALI

Jeshi la Kujenga Taifa lilianzishwa Julai 10, 1963 na serikali kwa lengo la kuwaweka pamoja vijana wa nchi hii na kuwapa malezi kuhusu uzalendo na umoja ili kuondoa dalili za matabaka zilizoanza kujitokeza katika jamii baada ya uhuru.

                Baadhi ya sababu za kuanzishwa kwa JKT ni:
      Kubadili fikra za vijana wa nchi hii kutoka ile hali ya ukoloni kutegemea nchi nyingine kuleta maendeleo.

·           Kukusanya nguvu za vijana wote wa nchi hii na kuzielekeza kwa umoja wao kufanya kazi pamoja kwa manufaa ya taifa.
Share:

Saturday 14 February 2015

BREAKING NEWZ:MATOKEO KIDATO CHA NNE(NECTA) 2014 YATANGAZWA RASMI-ANGALIA HAPA MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                          
Habari yenu wadau wapendwa wa blog hii ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT ,hatimae matokeo kidato cha nne 2014 yatangazwa rasmi .
Kama kawaida yetu Maswayetu blog tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia wale wote watakaotaka kuangaliziwa matokeo yao;
Enadpo utahitaji kuangaliziwa matokeo yako fanya yafuatayo,

1.TUMA NAMBA YA MTIHANI  MFANO S0710/0005/2013
    kwenda namba 0768260834

2.TUMA JINA LA SHULE  kwenda namba 0768260834
3.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.1000 TU AMBAYO
   UTAITUMA KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834
   AU 0653791475(TIGO PESA)

4.TAFADHALI TUMA KWANZA PESA NDIO UTUME
    NAMBA NA JINA LA SHULE  ,HUTAJIBIWA HADI
    UTUME  PESA

NOTE:SMS ZOTE ZITAJIBIWA NDANI YA MDA MFUPI THANKS.(usipige simu)
Share:

Tuesday 10 February 2015

TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUTUMA MAOMBI YA MAFUNZO YA STASHAHADA YA UALIMU KWA MWAKA WA MASOMO 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
(Ndugu wasomaji wetu wa blog hii ya MASWAYETU tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi kwenye blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote,tutaweka tangazo lako bure kwa siku tano baada ya hapo tunaweka mkataba kama utaridhika,Tafadhali wasiliana nasi kwa kupiga namba 0768260834 au 0653791475) pia like our facebook page here https://www.facebook.com/pages/MATUKIO-YA-WANAVYUO/495944367193545       
                                                  

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi  (NACTE) linapenda kuwataarifu wananchi kuwa limeongeza muda
Share:

BREAKING NEWZ:MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
(Ndugu wasomaji wetu wa blog hii ya MASWAYETU tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi kwenye blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote,tutaweka tangazo lako bure kwa siku tano baada ya hapo tunaweka mkataba kama utaridhika,Tafadhali wasiliana nasi kwa kupiga namba 0768260834 au 0653791475)
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU ECXLUSIVE BLOGSPOT kama kawaida yetu kuwapa kitu roho inapenda ,soma taarifa hiyo chini kuhusu utangazwaji wa matokeo ya kidato cha nne 2014 kama ilivyotolewa na Katibu baraza la mitihani.

                 

Share:

Sunday 8 February 2015

MPYA:DOWNLOAD HAPA RATIBA YA MITIHANI VYUO VYA UALIMU DIPLOMA NA CHETI 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
  
eb 05
Feb 05
Share:

Tuesday 3 February 2015

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATINUMZ-MARADHI YA MOYO HAPA MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA 02-02-2015,KOZI ZA FOOD SCIENCE,MICROBIOLOGY,BIOTECHNOLOGY

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

PDFPrintE-mail
Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wa ana kwa ana wanatakiwa kufika na vyeti vyao halisi (Orginal Certificates) mahali na tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo.
EXAMINATION RESULTS: COMMITTEE CLERK- MDAs AND LGAs
              
Na. EXAMINATION NUMBER  SCORE  REMARKS
1    CLERK-MDA-PSRS-1004    69    SELECTED
2    CLERK-MDA-PSRS-1058    63    SELECTED
3    CLERK-MDA-PSRS-1041    60    SELECTED
4    CLERK-MDA-PSRS-1069    60    SELECTED
5    CLERK-MDA-PSRS-1070    59    SELECTED
6    CLERK-MDA-PSRS-1130    59    SELECTED
7    CLERK-MDA-PSRS-1134    59    SELECTED
Share:

MAGAZETI LEO JUMANNE-KUBWA ZAIDI LOWASSA NA MWANDOSYA WANYUKANA-MASWAYETU BLOG

Share:

MAN UTD YAMALIZANA NA ANDERSON,AREJEA KWAO-MASWAYETU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
Share:

Monday 2 February 2015

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 02.01.2015-KUBWA ZAIDI JK AWAKATISHA WASAKA URAIS CCM-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger