Thursday 22 January 2015

BREAKING NEWZ:UHAMISHO KWA WATUMISHI 4352 WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA JANUARY 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.

                                                              
Endapo utahitaji kuangaliziwa KAMA umehamishwa kituo cha kazi tafadhali fanya yafuatayo;

1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834 mfano PAUL PAUL(UHAMISHO-
   TAMISEMI)

2.Huduma hii utatozwa tshs.1000 tu amabyo utaituma kwa MPESA AU TIGO PESA
   KWENDA  NAMBA 0768260834(mpesa) 0653791475(tigo pesa).

3.Tutakujibu ndani ya dk.1 tu,Tuma kwanza pesa ndio utajibiwa.
4.TUNAOMBA UTUAMINI SMS ZOTE LAZIMA ZIJIBIWE PIA NIKUHAKIKISHIE
   KWAMBA,TUPO VIZURI.(usipige simu)
Share:

Tuesday 20 January 2015

AJALI: ZAIDI YA ABIRIA 40 WANUSURIKA KIFO BAADA YA GARI WALIOKUWA WAMEPANDA KUGONGANA USO KWA USO NA LORO TEGETA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Zaidi ya abiria 40 wanusurika kifo baada ya gari waliokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na lori Tegeta.
Zaidi ya watui arobaini wamenusurika kifo huku mmoja akikatika viungo vya  miguu na wengine kujeruhika vibaya baada ya lori  moja lilionekana kuwa ni la jeshi kugongana uso kwa uso na gari la abiria aina ya COSTA la ubungo Tegeta eneo la Tegeta jijini Dar es salaam.
Share:

BREAKING NEWZ:BAADA YA UDOM,SASA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO NAO WAGOMA ,SOMA IMEKUAJE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 


Habari zilizotufikia hivi punde MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG ni kwamba wanafunzi chuo kikuu cha bagamoyo wamegoma kuingia madarasani kutokana na sababu mbalimbali zinazowakumba chuoni hapo.
Sababu kubwa ikiwa ni kucheleweshewa pesa yao ya chakula ijulikanayo kama BOOM ,hadi mda huu chuo kikuu hicho kilichopo Pwani kilikuwa katika kufanikisha mgomo huo hautokei.
AFANDE AKIWA KATIKA KUHAKIKISHA USALAMA UNAKUWEPO(picha na maswayetu blog)
Share:

MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MWANAMKE mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Doreen John Mlemba, mwenyeji wa Same mkoani Kilimanjaro, mwishoni mwa mwaka uliopita alikamatwa kwa kuhusishwa na shehena ya madawa ya kulevya aina ya Heroin, yenye thamani ya shilingi bilioni 2.5.
Madawa hayo yalikutwa kwenye nyumba moja iliyopo eneo la Ununio, Tegeta jijini Dar es Salaam, ambayo ni mali ya Mbunge wa CCM (Jina linahifadhiwa) wa jimbo moja la mikoa ya Kanda ya Ziwa, Uwazi limefukunyua.
Taarifa toka…
Mwanamke (Doreen John Mlemba) anayedaiwa kukamatwa na unga.
Share:

MPYA:MBARONI KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

MBARONI KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa/Uwazi
DUNIA imekwisha! Wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24), mkazi wa Stakishari, Ukonga wilayani Ilala na Lucy Fred (23), mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam, wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga, Dar kwa kesi yenye jalada STK/RB/463/2015  wakidaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja.…
Share:

Monday 19 January 2015

MPYA:KWA WALE WOTE KIDATO CHA PILI AMBAO HAWAJAPATA MATOKEO YAO,JAZA FOMU HII KUPATA MATOKEO YAKO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu,endapo hujayaona matokeo yako ya kidato cha pili
Share:

Saturday 17 January 2015

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MATOKEO KIDATO CHA PILI 2014-2015,YATOKA KATIKA MFUMO WA GPA,UFAULU WAONGEZEKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                            
Habari yenu,kwanza napenda kumshukuru Mungu nawe msomaji wangu wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT,natumaini u mzima wa afya njema na unaendelea na maisha yako ya kila siku kama  kawaida.
Hatimae Matokeo ya kidato cha pili 2014 yatangazwa rasmi ,huku ufaulu ukiongezeka kwa 3%.
Kama kawaida yetu maswayetu blog tunakuletea matokeo hayo hapa ili ujionee mwenyewe wewe au mwanao kapata ngapi katika matokeo hayo;
Endapo utahitaji kuangaliziwa matokeo ya mwanao au matokeo yako tafadhali fanya yafuatayo;

1.Tuma jina lako kwenda namba 0768260834 mfano PAUL PAUL(MATOKEO FORM TWO
   ,SHULE-KIBAHA SEC)

2.Huduma hii utatozwa tshs.800 tu amabyo utaituma kwa MPESA AU TIGO PESA KWENDA
   NAMBA 0768260834(mpesa) 0653791475(tigo pesa).

3.Tutakujibu ndani ya dk.1 tu,Tuma kwanza pesa ndio utajibiwa.
4.TUNAOMBA UTUAMINI SMS ZOTE LAZIMA ZIJIBIWE PIA NIKUHAKIKISHIE
   KWAMBA,TUPO VIZURI.(usipige simu)

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING
FORM TWO SECONDARY EDUCATION EXAMINATION (FTSEE) 2015 RESULTS
EASTERN ZONE
CENTRE: S0119 - KIBAHA
School Overall Grade Summary  
AB+BCDEFTOT
M77320886563729101199
TOT77320886563729101199
CHGEKEPCBABACB
IIE/INHHIG/DO/
VSODSGYEORMDMK
ITG/WLSMLIAME
RCORKAIIIOCTMEE
ESRAIHSCSGUHARP
P.YPIIHSTYL.TCI
E..HSL..R.T.HEN
A..YLI..Y.U...G
TS...A.....R....
EE...M.....E....
CNORNAME OF CANDIDATEX...U..........GPACLASS
0001ABDALA S KOMBOMAAAAAAAAA
B+
AA5.0DISTINCTION
0002ABDALLAH M MGEMBAMAB+B+
B+AB+ABB+B+


4.4DISTINCTION
0003ABDALLAH O MWINSHEHEMAAA
AAAB+B+BB+


4.9DISTINCTION
0004ABDUL-AZIZ H MAYINGUMAAB
BAAB+B
A
FE4.6DISTINCTION
0005ABEDNEGO T KABIGIMAAA
B+ABCB+CB


4.4DISTINCTION
0006ADILI L ARTASHASTAMAAA
AAAAA
A
AA5.0DISTINCTION
0007ADRIANO G SIMBEYEMAAA
AAAAA
A
AA5.0DISTINCTION
0008AKUKWETI M NJELANIMAB+B+AB+ACCB+CD


4.4DISTINCTION
0009ALFRED F FUSSIMAB+B+
B+AB+BB+B+B+


4.3DISTINCTION
0010AL-HAIDARI H NGOMEROMAAAB+AAAAAAA


5.0DISTINCTION
0011ALI H MWINCHANDEMAAAAB+AAAAAA


5.0DISTINCTION
0012ALLY D MCHILLAMAAA
B+AAAAAA


5.0DISTINCTION
0013AMIRI H MGONJAMAAA
B+AAAAAA


5.0DISTINCTION
TAFADHALI BONYEZA HAPO CHINI KUANGALIA MATOKEO HAYO;


Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI TAREHE 17 JANUARY 2015-KUBWA ZAIDI WATU WATATU WASHIKILIWA KUHISIANA NA SAKATA LA ESCROW

..
Share:

SALUNI YA NGONO YAFUMULIWA! -PICHAZ+STORI KAMILI VIPO HAPA!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
HALI ni mbaya! Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali, mkanda mzima huu hapa.
Share:

Friday 16 January 2015

ORODHA YA MAJINA YA WALIOPANGIWA VITUO VYA KAZI KWA KADA YA AFYA 2014/2015-AJIRA ZA NURSING ZAONGEZWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wadau wa blog hii ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT yafuatayo ni majina ya watu waliopangiwa ajira mwaka huu 2015.
Endapo utataka kuangaliziwa jina lako tafadhali fanya yafuatayo;
1.tuma jina kwenda namba 0653791475 mfano JOHN PAUL(AJIRA AFYA)
2.Huduma hii itatozwa tshs.800 tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834 au Tigo pesa kwenda namba 0653791475.
3.tutakujibu ndani ya mda mfupi,thanks. 
TANGAZO MUHIMU KWA WAAJIRIWA WAPYA WOTE
View Results

Share:

VIDEO MPYA:DOWNLOAD VIDEO MPYA YA VICE-P IITWAYO NATAMANI HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DOWNLOAD HAPA;
Share:

EXCLUSIVEE.......DOWNLOAD na SIKILIZA WIMBO MPYA WA BEN POL - SOPHIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Wednesday 14 January 2015

BREAKING NEWZ:MGOMO WATOKEA CHUO KIKUU CHA DODOMA,WANAFUNZI 84 WASHIKILIWA NA POILIS,MWANAFUNZI MMOJA APOTEZA MAISHA HADI MDA HUU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY








UDOM wagoma

 WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA


Baadhi ya Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwa chini ya ulinzi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni hapo na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo mjini Dodoma leo.

Dodoma.

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Share:

Tuesday 13 January 2015

BREAKING NEEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WALIOPATA AJIRA WIZARA YA AFYA 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wadau wa blog hii ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT yafuatayo ni majina ya watu waliopangiwa ajira mwaka huu 2015.
Endapo utataka kuangaliziwa jina lako tafadhali fanya yafuatayo;
1.tuma jina kwenda namba 0653791475 mfano JOHN PAUL(AJIRA AFYA)
2.Huduma hii itatozwa tshs.800 tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834 au Tigo pesa kwenda namba 0653791475.
3.tutakujibu ndani ya mda mfupi,thanks.
Share:

Tuesday 6 January 2015

BREAKING NEEWZ:SEKRETARIETI YA AJIRA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI ,KILIMO,ENGINNERS,WALIMU MWISHO WA KUOMBA NI JANUARY 18 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/H/24 3 Januari, 2014
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa
mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa
na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki,
pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea
katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Share:

TAKWIMU:VYUO VINAVYOONGOZA KWA MATUMIZI YA SIMU ZA SMARTPHONE ,WAKATI WATUMIAJI WAKE WAKITOKA KATIKA FAMILIA DUNI-KIUCHUMI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
slide2
Habari yenu wadau pendwa wa blog hii ya MASWAYETU ,leo tunawaletea takwimu mpya za matumizi ya simu aina ya smartphone kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ukilinganisha na maisha ya nyumbani kwao jinsi yalivyo.
Kutokana na simu hizi kuwa gharama huku wanafunzi wa chuo wakilalamika kuongezewa pesa ya matumizi na serikali yao,ndipo tulipoamua kufanya takwimu hizi na kugundua kuwa kati ya wanafunzi 7 wenye smartphone 5 kati yao maisha ya nyumbani kwao ni duni.
Vyuo vifuatavyo ndivyo hadi mda huu vinaongoza kwa Matumizi ya smartphone Tanzania.

1.DODOMA UNIVESRITY(UDOM) - 68%
2.UNIVESRITY OF DAR ES SALAAM(UDSM)-64%
3.SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE(SUA)-61.29%
4.INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT(IFM)-60%
5.ST.AGUSTINE UNIVERSITY(SAUT-MWANZA)-56%
6.COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION(CBE)-55%
7.MUHIMBILI UNIVERSITY(MUHAS)-53%
8.TUMAINI UNIVERSITY-51%
9.JODARN UNIVESITY-51%
Share:

TAARIFA YA IKULU KUHUSU HABARI ILIYOCHAPISHWA NA TANZANIA DAIMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Rais hajadharau Bunge
Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa Chama cha Upinzani cha CHADEMA
la leo, Jumapili, Januari 4, 2015, limeandika habari kwenye ukusara wake wa mbele chini ya kichwa cha habari: ”Wabunge: Ikulu imetudhalilisha” hata kama wabunge wanaokaririwa katika habari hiyo ni wawili tu, Mheshimiwa Freeman Mbowe na Mheshimiwa David Kafulila.

Habari hiyo inadai kuwa Ikulu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuteua Mwenyekiti wa Bodi Mpya
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger