Wednesday 12 November 2014

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA WATAKAOSOMESHWA BURE NA WIZARA YA AFYA 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                       
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG yafuatayo ni majina ya wanafunzi watakaosomeshwa bure mwaka wa masomo 2014/2015
Tunaendelea kutoa huduma yetu endapo utahitaji kuangaliziwa jina lako tafdhali fanya yafuatayo kwa gharama ya tshs.800 tu ambayo utaituma kwenda namba 0768260834-mpesa au 0653791475-tigo pesa
1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 MFANO:JUMA   PAUL(UFADHILI AFYA)
2.TUTAKUJIBU NDANI YA DK.2 TU
3.HUTAJIBIWA HADI UTUME PESA.

KUANGALIA MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI;
Share:

Monday 10 November 2014

HAPPY BIRTHDAY BROTHER MDUMA,MUNGU AKUJALIE MIAKA MINGI TELE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Ilikuwa ni siku ya jumapili tarehe 09/10/2014 ambapo brother Mduma alikuwa na furaha ya ajabu baada ya kuzaliwa upya
                               
,na kuamua kufanya sherehe kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa hata mie mmiliki halali wa blog hii pendwa ya MASWAYETU nilikuwapo.
MASWAYETU BLOG hatukuwa mbali na tukio na tulifanikiwa kuchukua matukio muhimu katika birthday hiyo.
Share:

MPYA:HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA WALIMU WALIOHAMISHWA MWEZI OCTOBER 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
TANGAZO:

                                   
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina ya watumishi
wa Umma waliohamishwa kwa VIBALI MAALUMU MWEZI OCTOBER 2014
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa Nchini.
Aidha orodha ya watumishi waliohamishwa katika uhamisho wa kuanzia
Mwezi Feburuari 2012, Juni 2012, Desemba 2012, Juni 2013 na Desemba 2013

Share:

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA N A JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                               
                                
Habari yenu wadau wetu wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG,elo tumewaletea majina ya  Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na kidato cha nne mwaka 2013 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi baada ya usaili kukamilika,MASWAYETU BLOG tunaendela kutoa huduma ya kuangalizia majina endapo unataka kujua kama umechaguliwa ;
Ili kuangaliziwa jina lako fanya yafuatayo;
1.Tuma jina lako kamili kwenda namba 0768260834
    mfano.John paul(polisi 2014)

2.Huduma hii utatozwa tshs.1000 tu ambayo utailipia
   kwa mpesa na tigo pesa  kwenda namba   
   0768260834,na tigo pesa 0653791475 .

3.Hutajibiwa hadi utume pesa ya huduma.
4.Tutakujibu ndani ya mda mfupi mara tu tutakapopokea pesa yako.
Maelekezo Muhimu.
Share:

Saturday 8 November 2014

BREAKING NEWZ:UCHAGUZI MKUU TANZANIA FOOD AND NUTRITION STUDENTS ASSOCIATION(TAFONUSA) UMEMALIZIKA NA KUFANIKIWA KUPATA VIONGOZI WAPYA.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wanafunzi wa chuo kikuu cha SOKOINE  departiment ya FOOD SCIENCE AND TECHNOLOGY mapema leo hii wamefanya uchaguzi mkuu ili kupata viongozi watakaoongoza chama hicho mwaka wa 2014/2015.
Katika uchaguzi huo kulikuwa na nafasi tano zilizigombaniwa ambazo ni MWENYEKITI,MAKAMU MWENYEKITI,MWEKA HAZINA NA KATIBU,na kufanikiwa kupata viongozi wapya wafuatao;
HAWA NI BAADHI YA WANAFUNZI WA HN NA FCS KATIKA PICHA YA PAMOJA

Share:

Thursday 6 November 2014

MPYA:MOJA YA KIKAO CHA FOOD SCIENCE AND TECHNLOGY -SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE WAKIJADILI JAMBO

Mapema leo hii kulikuwa na kikao cha vijana wenye heshima ya pekee NCHINI HAPA TANZANIA vijana wa chuo cha KILIMO SOKOINE wanaosomea SAYANSI YA CHAKULA,Kuhusu mamabo yanayowahusu kama darasa,kilichofanyikia departiment ya ENGINEERING mnamo mida ya saa tisa arasili,na kujumuisha wajumbe takribani 98,mwaka wa pili na wa tatu.
MASWAYETU BLOG hatukuwa mbali kuwaletea matukio ya picha zote katika kikao hicho angalia picha hizo hapo chini;
Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WAKUUWA MIKOA NA WILAYA WAPYA NA MIKOA/WILAYA WALIZOPELEKWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Uteuzi mpya na uhamisho wa wakuu wa mikoa na makatibu wakuu wa wizara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi nyingine.
Share:

BREAKING NEEWZ:SERIKALI YAONGEZA MAJINA MENGINE MENGI YA KIDATO CHA NNE WATAKAOJIUNGA SPECIAL PROGRAMME UDOM 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
slide5
Habari yenu,chuo kikuu cha dodoma kimetangaza majina ya wanafunzi wengine watakaojiunga na mafunzo ya ualimu special programme udom mwaka wa masomo 2014/2015,hata hivyo zimebaki takribani siku mbili tu vijana hao waanze masomo yao,hivyo basi MASWAYETU BLOG TEAM tunakuomba wape taarifa vijana wote walioombaudom lakini hawakubahatika kupata nafasi hiyo hapo awali kuwa yawezekana wamechaguliwa;
Maswayetu blog tunaendela kutoa huduma ya kuangalizia majina kwa wale wote watakaohitaji kuangaliziwa kama wamechaguliwa kujiunga na chuo hicho katika special programme hiyo,ILI KUANGALIZIWA KAMA UMECHAGULIWA FANYA YAFUATAYO;

1.TUMA JINA LAKO NA EXAMA NAMBA.

2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.1000 TU AMBAYO
   UTAITUMA KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834
   AU TIGO PESA KWENDA NAMBA 0653791475

3.TUTAKUJIBU MARA TU TUTAKAPOPOKEA PESA
   YAKO.


KUANGALAIA MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI;
Share:

Wednesday 5 November 2014

BREAKING NEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA WATAKAOSOMESHWA BURE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                       
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG yafuatayo ni majina ya wanafunzi watakaosomeshwa bure mwaka wa masomo 2014/2015
Tunaendelea kutoa huduma yetu endapo utahitaji kuangaliziwa jina lako tafdhali fanya yafuatayo kwa gharama ya tshs.800 tu ambayo utaituma kwenda namba 0768260834-mpesa au 0653791475-tigo pesa
1.TUMA JINA LAKO KWENDA NAMBA 0768260834 MFANO:JUMA PAUL(UFADHILI
  AFYA)

2.TUTAKUJIBU NDANI YA DK.2 TU
3.HUTAJIBIWA HDAI UTUME PESA.
KUANGALIA MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI;
Share:

BREAKING NEWEEZ:MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA RASMI 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                             
Habari yenu wadau wapendwa wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT mu wazima wa afya?leo tena tumewaletea matokeo ya darasa la saba 2014/2015.

Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma ya kuanagalizia matokeo ya kwako,shule yako au kijana wako,fanya yafuatayo kuangaliziwa;

1.Tuma jina la mkoa,wilaya,shule na la mwanafunzi  kwenda namba  0768260834.( mfano paul
    juma,mkoa-arusha,wilaya-maswa,shule-pandahili)

2.Huduma hii itakutoza tshs.1000 tu ambayo utaituma kwa mpesa kwenda namba 0768260834,TIGO
   PESA-0653791475.

3.TUTAKUJIBU NDANI YA DK.MOJA TU TUNAOMBA UTUAMINI.
NOTE:HUTAJIBIWA HADI UTUME PESA
Tafadhali kuangalia matokeo hayo bonyeza hapo chini;
Share:

Tuesday 4 November 2014

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WOTE KIDATO CHA NNE WALIOKOSA NAFASI ZA KUJIUNGA NA UALIMU NGAZI YA CHETI,SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
NG'WANZA TEACHERS COLLEGE CHUO PEKEE KINACHOPOKEA WANAFUNZI WA CHETI 2014/2015
Habari yenu wadau wapendwa wa BLOG HII YA MASWAYETU leo tunawaletea taarifa njema kwa watu wote wanaotaka kujiunga na ualimu ngazi ya cheti na wanataka kujiunga,basi Chuo cha NG'WANZA KILICHOPO MASWA SIMIYU ni chuo pekee kinachoendela kupokea wanafunzi wote waliokosa nafasi kujiunga na cheti kwa mwaka huu tafdhali wahi nafasi ni chache sana.
Share:

UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWAKA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya washiriki wa mkutano
Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 (kwa Mamlakaza Wilaya) na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288 (kwaMamlaka za Miji) zinaelekeza kuwa Uchaguzi wa Viongozi wa Mitaa, Vijijina Vitongoji hufanyika kilabaada ya miaka mitano (5).
Share:

BREAKING NEWZ: ADOPTION OF NATIONAL CURRICULA FOR CERTIFICATE AND ORDINARY DIPLOMA PROGRAMMES

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Please be informed that NACTE is issuing curricula for six programmes namely;
  1. Accountancy (NTA Levels 4 – 6);
  2. Business Administration (NTA Levels 4 – 6);
  3. Community Development (NTA Levels 4 – 6);
  4. Computing and Information Technology (NTA Levels 4 – 6);
  5. Procurement and Supply (NTA Levels 4 – 6); and
  6. Records, Archives and Information Management (NTA Levels 4 – 6).
Share:

TANGAZO KWA UMMA KUTOKA UDOM :KUWENI MAKINI WATU HAWA,SI WAFANYAKAZI WA UDOM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
   TAARIFA KWA UMMA
   BWANA CHRISANTUS LUCAS MILANZI
Bwana Chrisantus Lucas Milanzi, mzaliwa wa Masasi Mtwara, ambaye picha yake inaonekana hapo juu, si mwajiriwa wa Chuo Kikuu cha Dodoma.
Share:

END OF CENTRAL TRANSFERS FOR ALL APPLICANTS WHO HAVE BEEN SELECTED TO JOIN VARIOUS UNDERGRADUATE PROGRAMMES FOR THE 2014/2015 ACADEMIC YEAR


            Tanzania Commission for Universities
           
                                                      
                            
           
            PUBLIC NOTICE
             
            END OF CENTRAL TRANSFERS FOR ALL
           APPLICANTS WHO HAVE BEEN
            SELECTED TO JOIN VARIOUS UNDERGRADUATE
            PROGRAMMES FOR
  THE 2014/2015 ACADEMIC                 YEAR
            The Tanzania Commission for Universities (TCU) hereby informs the general public and all the prospective students who have been selected to join various undergraduate programmes that:
            1. Central Transfers to undergraduate programmes across
Share:

Monday 3 November 2014

Bad News_MWANAFUNZI AFARIKI AJIKIANDAA KUFANYA MTIHANI WA FORM FOUR LEO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Habari tulizozipata hivi punde kutoka mkoani Simiyu ni kwamba mwanafunzi aliyefahamika kwa jina la Yunis Festo aliyekuwa anasoma kidato cha nne katika shule ya sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika kijiji cha Bulima wilaya ya Busega amefariki dunia .

Yunis Festo aliyezaliwa tarehe 26.02.1996 amefariki dunia  saa 11 alfajiri ya leo zikiwa zimesalia saa chache  tu kuanza kufanyika kwa mtihani wa kidato cha Nne kote nchini ulioanza leo.
Share:

Saturday 1 November 2014

MASWAYETU BLOG TEAM INAKUTAKIENI MITIHANI MEMA KIDATO CHA NNE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jumatatu ijayo tarehe 03/11/2014 wanafunzi wa kidato cha nne wanakwenda kuanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne. Hii ni hatua muhimu sana kwenye maisha yao kwani ndio itapelekea ndoto zao nyingine kuwa kweli. Kama mwananfunzi ana ndoto ya kuwa injinia, rubani, daktari au mwalimu, mitihani hii ni muhimu kwake kufaulu ili kuweza kuendelea na masomo yako.
Hapa napenda kushauri mambo kumi kwa wnafunzi wa kidato cha nne wanaokwenda kuanza mitihani yao. Kwa yeyote anayesoma hapa fikisha ushauri huu kwa mwanafunzi unayemjua, anaweza kuwa kuwa mtoto wako, mdogo wako, ndugu au hata jirani.
1. Kwanza kabisa nitoe hongera kwa wanafunzi wote waliovumilia miaka yote minne na hatimaye sasa mnakaribia kabisa mitihani yenu ya mwisho. Sio kazi ndogo hivyo unastahili pongezi.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger