Wednesday 10 September 2014

BREAKING NEEEWZ:TCU WATOA MAJINA TAKRIBANI 12000 YA WALIOKOSA VYUO MWAKA WA MASOMO 2014/2015,ORODHA KAMILI YA MAJINA HAYO YA WALIOKOSA VYUO HII HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                     
                                       
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT Leo tunawaletea majina ya wanafunzi waliokosa vyuo baada ya kuomba TCU,kwa mara ya kwanza zoezi lilioanza mnamo april na kuisha 31/08/2014.
Kama ilivyo kawaida yetu maswayetu blog team tumedhamiria kuwapa huduma inayostahili watanzania ambao wanahitaji huduma yetu.
Ili kujua kama jina lako lipo katika orodha iliyotolewa tafadahali  fanya yafuatayo;

1.TUMA JINA LAKO NA NAMBA YAKO YA FORM FOUR YA MTIHANI KWENDA NAMBA 0768260834.Mfano:PAUL,JOHN(S0711/0112/2011-TCU)
2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.800 AMBAYO ITAKUBIDI
   UITUME KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834.

3.HATUPOKEI VOCHA NAMBA,ILA KAMA HUNA MPESA RUSHA MDA WA MAONGEZI.
4.HUTAJIBIWA HADI UTUME PESA YA HUDUMA.
Share:

HIZI HAPA JOINING INSTRUCTIONS KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

                                                    
Habari yenu tena wadau wa blog hi pendwa ndani ya Tanzania na East africa kwa ujumla,leo tumewaletea JOINING INSTRUCTIONS za wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali vya ualimu ngazi ya stashahada 2014/2015.

Kama ilivyotangazwa na NACTE kuwa joining instructions zinapatikana katika website zinazoshahabiana(MOE,PMORALG&NACTE),tumeamua kuwarahisishia mambo watanzania waliochaguliwa vyuo vya ualimu.
Pia tumeamua kufanya hivi kutokana na kwamba form hizo ambazo zimetumwa kwenye masanduku yenu zinaweza zikachelewa au zisifike kwa wakati.
 MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma kwa watanzania watakaotaka kutumiwa form hizo  unatakiwa ufanye yafuatayo;
1.TUMA EMAIL ADDRESS YAKO,KWENYE MABANO ANDIKA JINA LAA CHUO ULICHOCHAGULIWA, KWENDA NAMBA 0768260834. 
2.TUMA TSH.900 KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834.(PESA YA HUDUMA)
Share:

Monday 8 September 2014

BREAKING NEWZ:ANGALIA ORODHA YA MAJINA WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU CHA UDOM NA BUGANDO KOZI ZA PHARMACY,NURSING&LABORATORY KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                          


List of Selected Candidates, Continuing Candidates, Joining Instructions and Registration Forms


Diploma in Pharmaceutical Sciences (DPS)    



Diploma in Radiography (DDR)    



Diploma in Medical Laboratory Sciences (DMLS)    



Bachelor of Pharmacy (BPHARM)    



Bachelor of Science in Nursing Education (BSNE)    



Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)    



Doctor of Medicine (MD)    



Clinical Postgraduate (M.MED)    


Master in Public Health (MPH)    

 
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE leo tena tunawaletea majian ya wanafunzi wa liochaguliwa chuo kikuu cha dodoma na bugando kwa kozi tajwa hapo juu.

Kama ilivyo kawaida yetu Tunaendelea kutoa huduma kwa wale wote mtakaotaka kuangaliziwa majina yenu kama Umechaguliwa.
Fanya yafuatayo kuangaliziwa jina lako;
Share:

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA YA JUU (MIAKA 3) MWA KA WA MASOMO 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                          
                                                 
WALIOCHAGULIWA VYUO VYA UALIMU 2014/2015
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO 
YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA YA JUU (MIAKA 3) MWA
KA WA MASOMO 2014/2015
MAELEKEZO:
Waombaji waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo ya Ualimu mwaka 
wa masomo 2014/2015 wanatakiwa kuripoti katika Vyuo waliv
yopangiwa tarehe 06/10/2014. Fomu za maelekezo (Joining 
Instructions) zitatolewa na chuo husika na zitatumwa kwa walio
chaguliwa tu. Waliochaguliwa wanatakiwa kufika vyuoni wakiwa
 na mahitaji yaliyoainishwa kwenye fomu ya kujiunga na Chuo. 
Aidha, fomu hizi zinapatikana pia kwenye Tovuti ya Wizara:
www.moe.go.tz; NACTE:www.nacte.go.tz; na 
TAMISEMI: www.pmoralg.go.tz
Muhimu:

1. Waombaji waliochaguliwa ni wale wenye ufaulu wa Daraja
 la I hadi III
Share:

Thursday 4 September 2014

BREAKING NEEEEWZ:HAYA HAPA MAJINA YA WALIMU NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA TAKRIBANI 12000 WALIOCHAGULIWA VYUO VYA UALIMU 2014/2015.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                             

 Habarri yenu tena wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOG LEO TENA TUMEWALETEA majina ya wanafunzi waliochaguliwa vyuo  vya ualimu mwaka wa masomo 2014/2015 .
Kama ilivyo kawaida yetu tutatoa huduma ya kuangalizia majina kwa wale wote mtakao hitaji huduma yetu,ili kuangaliziwa jina lako fanya yafuatayo:

1.Tuma jina lako na shule uliyomalizia.
2.Tuma tsh.800 kwa mpesa kama huna mpesa tuma kwa salio kwenda namba 0768260834.(pesa ya huduma)

3.Hatutajibu mtu ambaye hatatuma pesa.
4.Kama unatumia tigo,airtel au zantel tafadhali tafuta mtu mwenye voda utume pesa hiyo hatupokei vocha number.
5.Utajibiwa mda mfupi mara tu utakapotuma pesa yako.
6.endapo utamtumia namba hii mwenzako mwambie atume pesa ndo atajibiwa.

USIPIGE SIMU TAFADHALI HATUTAPOKEA SIMU YA MTU YOYOTE

Kuangalia majina hayo bonyeza hapo chini
Share:

Monday 1 September 2014

KAMBI YA MAKUTUPORA JKT NA MGAMBO JKT YAPUNGUZA MAJINA TOKA HERUFI Z HADI E - YA WALIMU DIPLOMA YALIYOKUWAPO AWALI ,TAFADHALI MPE TAARIFA MWENZAKO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

HABARI YENU WADAU WA BLOG HII PENDWA YA MASWAYETU BLOG KATIKA KUFUATILIA MAJINA YA WALIMU WANAOTAKIWA KWENDA JESI SEPTEMBER TUMEGUNDUA KUWA MAJINA YAAMEPUNGUZWA NA MENGINE YAMEBADILISHWA.
                                                    

YAFUATAYO CHINI NDIO MAJINA YA WALIMU WATAKAORIPOTI SEPTEMBER 13 2014,KAMA JINA LAKO HALIPO INA MAANA UTAKWENDA JANUARY 2015.

BLOG YA MASWAYETU INAPENDA KUTOA HUDUMA WA KUANGALIZIA MAJINA KWA WALE WATAKAOHITAJI KUJUA NA KUHAKIKISHA KUWA  WANAENDA KAMBI GANI.

ILI KUPATA HUDUMA HII UNATAKIWA KUTUMA SMS YENYE JINA LAKO NA NAMBA YAKO YA MTIHANI. KWENDA NAMBA 0768260834,HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.500 AMBAYO UNATAKIWA KUITUMA KWA MPESA.(tafdhali usipige simu-HUTAJIBIWA KABLA YA KUTUMA PESA HIYO).
MPE TAARIFA NA MWENZAKO.
 KUANGALIA MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI;
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger