Sunday 20 January 2019

MBUNGE ZANZIBAR AMKINGIA KIFUA NDUGAI

...
NA DANSON KAIJAGE,DODOMA MBUNGE wa Viti Maalum kutoka Zanzibar Tahuida Nyimbo (CCM) amesema kuwa siku zote maamuzi ya Spika Job Ndugai hayajawahi kuwa ya kukurupuka. Nyimbo alisema kutokana na hilo ni jambo la aibu kuona baadhi ya wanasiasa kumkebei na kumdhalilisha huku wakiwa wanatamani kukwanisha utendaji wake wa kazi. Mbunge huyo alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya sakata la Spika Ndugai kutoa agizo la CAG kufika mbele ya kamati ya Bunge ili kuhojiwa kwa madai ya kutoa kauli ya kulidhalilisha Bunge alipokuwa akihojiwa na kituo…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger